CHADEMA jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo

CHADEMA jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo

Hivi unazani mleta maada CCM ilichokifanya Nini miaka yake yote,zaidi ya kuiba na kujilimbikizia Mali viongozi,ndio maana siasa wameifanya Kama biashara,kwa Nini wanalazimisha kushinda Kila siku,kwa Nini hawataki time huru

Kama huoni CCM ilichofanya basi unaishi Tunduma unashinda Zambia
 
Labda mimi ambacho ningeona next time wakirebishe ni muundo wa siasa wa chama chao yaani wajikite kwenye jambo fulani ili wananchi tuamue kuwafuata tofauti na sasa hivi wao ndio wanatufuta sisi. Yaani tumewayumbisha tulivyojisikia na wao wanafata tu. Awamu hii wakubali tu kuwa wamepoteza next time wajipange upya.




MAGUFULI4LIFE.
 
Kulingana na kampeni zao nimeona Chadema wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

Chadema ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka Chadema hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
Ni vizuri huu ushauri ukawapa Ccm wenzako maana mbingu na ardhi zimawakataa Ccm mwaka huu. Ccm haitakiwi duniani na hata mbinguni
 
Mzee mbona jibu liko wazi mitaani au unakaa nje ya Tanzania? Watanzania wameamua kumpa kura za kishindo Dkt Magufuli. Survey zote zilizofanywa kisayansi zimethibitisha ushindi wa kati ya 86%-90% kwa JPM. Watanzania wamemkataa mwakilishi mkazi wa Mabeberu. Jumatano weka kura yako kwa JPM maisha yaendelee ukiwa na amani ya roho na upunguze stress wakati matokeo yanatangazwa au jiandae kisaikolojia
Lakini bado hamjiamini jeshi,policcm, neccm, na vyombo vyengine vya ulinzi vyote mnavitumia ili tu mpate ushindi kwanini msitumie ubingwa wenu tu wakukubalika bali mnatumia nguvu kubwa ya kuwaengua wagombea kuwakamata na kila aina za hujuma?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, JPM tayari anamtaji wa wana CCM milioni 22 na wanafamilia yao nikiwemo mimi. Jumuisha na watanzania wengine wasio na vyama na wengine wa vyama vya upinzani watakaompigia kura. Ni kura za mafuriko mkuu, kama uko upande wa wakala wa mabeberu jiunge nasi tumpe kura JPM au anza kujiandaa kisaikolojia
Sikila mwana CCM atampgia kura JPM mm mwenyewe CCM ila sitampigia kura
 
Next time CHADEMA isilete mgombea anayeshabikia ushoga na ambaye ni mwakilishi mkazi wa mabeberu.
Wapi Lissu aliwai kushabikia ushoga, tofaut na serikali yako iliyouhalalisha kwa kumkana bashite kwa barua ya wazi ?
 
Mtu anamtaja Mungu kila sehemu, hali hiyo inakufanya uonekane u mwema, mtiifu, mpenda amani na haki ila siyo kweli, maana ndani ya nafsi yako unajua shetani ana nguvu ndani yako kuliko Mungu.

Hiyo ndiyo hali halisi kwa viongozi wa ccm, they know hawashindi uchaguzi kwa haki bali nguvu na ubakaji wa haki ndiyo maana unaona jeshi linalotakiwa kuwa la mwisho endapo amani imechafuka leo linaingia mtaani wakati kuna amani.

Kuna kijana anaitwa herry James anasikika matamshi yake na huyo kijana siku ya ibada unamkutw hekaluni kakaa mbele kabisa anasoma Gombo, aya leo unasema chadema ijiandae kisaikolojia sawa sawa kabisa maana katiba inabaka haki na nguvu ya mwananchi aliyefanya maamuzi...

... usiku au mchana kwa siri unamuapisha mtu aliyeshindwa hapo hapo viongozi wa dini wanashiriki ubakwaji huo wa haki kwa kumuombea mwizi aongoze watu ambao hawakumpa ridhaa, nini unategemea?.

We've a lot to write ila nisimchoche msomaji kwa kumalizia hii, chadema wanashinda huu uchaguzi kama ilivyo Zanzibar tatizo ni hujuma za kuwaapisha watu wasiohusika.


note: DUNIANI HAKUNA HAKI.
 
Vyovyote lakini uchaguzi uwe huru na haki . Kura moja ihesabiwe kuwa kura moja.
Kampeni zimeenda salama salimini sasa imebaki kupigakura tu kesho na keshokutwa sasa kwa nini uwe na wasiwasi kuwa kupigakura tu ndiyo usiwe huru na haki? Uchaguzi ni process kuanzia kampenj mpaka kupigakura na kutoa matokeo mpaka sasa hivi uchaguzi ni huru na haki.
 
Kulingana na kampeni zao nimeona Chadema wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

Chadema ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka Chadema hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
Sisi tunaonya tu kwamba hakuna shida Kama ccm inashinda kwa haki,ila elewa ccm mkishindwa na mkataka lazimisha maji yapande mlima, mtaleta matatizo kwenye taifa ,
Kuwa chama dola kisiwape mwanya kwamba mwaweza fanya lolote mlitakalo vinginevyo Kama ni ushindi shindeni kihalali hakuna atakaekua na shida na nyie,
Tunayasema haya ila Wenda mnachukuria kirais ,Zama zinabadilika
 
Kulingana na kampeni zao nimeona Chadema wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.

Chadema ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.

Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka Chadema hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.

Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.

Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
Nimeangalia muelekeo wa wafuasi wa CHADEMA hapa JF wiki hii kwa kulinganisha na wiki zilizopita, tayari wameshakubali kuwa wapole. Hata Mod., waliokuwa wakifuta thrd za Magufuli sasa wameshusha mikono. Sijui ni kwa nini hata wasomi hawawezi kuona udhaifu wao! Hata wasomi wanatumaini zomea zomea inaweza kuwapa ushindi! Hata wasomi hawawezi kujua aina ya wapiga kura wao! Hata Mod. aliamini kampeni za JF zinaweza kuleta ushindi kwa Lissu!

Kampeni za kupita mijini, ukishangiliwa, eti tar. 28 zikupe kura nyingi wakati unaelewa wapiga kura wa vijijini hawako huko mijini! Ukielewa wapiga kura wengi wako vijijini na hawaoni kama mijini kuna mifano ya kuiga.
 
Huyo mgombea wenu Lissu amekuwa akitoa lugha ya kuudhi na uchochezi lakini ameachwa tu mbona huoni kuwa anaushetani ndani yake? Sikiliza clip hii
View attachment 1612932
Mtu yeyote anatoa kauli nzuri au mbaya kulingana na mtesi hama mshindani wake, hakuna binadamu anayeamka asubuhi na kuanza kumtukana mwenzake bila sababu NO..!
 
Mtu yeyote anatoa kauli nzuri au mbaya kulingana na mtesi hama mshindani wake, hakuna binadamu anayeamka asubuhi na kuanza kumtukana mwenzake bila sababu NO..!
Ndiyo ulivyofundishwa kwenye dini yako hivyo?
 
Back
Top Bottom