Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,834
- 3,655
Mm Nilifikiri Chadema Wakorofi Bungeni tu, Kumbe Mpaka Hotelini.!!
Jana wakati wanakula walianza (Wenje) Mwongozo wa Mwenye Hotel, chumvi haitoshi.
Mnyika: Taarifa Mheshimiwa., Mchuzi unaonekana wa Jana siungi Mkono Hoja ya Kulipia Chakula hiki.
Tundu Lisu: Mwongozo mwongozo, Niliagiza kuku wa kienyeji Nimeletewa wa kisasa silipi, na...
Zito: Tume iundwe kuchunguza kama kweli mchele huu ni wa Mbeya!!! au kilosa town.
Jana wakati wanakula walianza (Wenje) Mwongozo wa Mwenye Hotel, chumvi haitoshi.
Mnyika: Taarifa Mheshimiwa., Mchuzi unaonekana wa Jana siungi Mkono Hoja ya Kulipia Chakula hiki.
Tundu Lisu: Mwongozo mwongozo, Niliagiza kuku wa kienyeji Nimeletewa wa kisasa silipi, na...
Zito: Tume iundwe kuchunguza kama kweli mchele huu ni wa Mbeya!!! au kilosa town.