At some point I have had ideas of this kind, lakini ni vizuri pia tuangalie siasa zetu na mapana yake. Well, politics is a dirty game but in Africa is even dirtier, personally siamini kama kususia uchaguzi kunaweza kuwa na impact kubwa sana na viongozi wetu, kitachofuatia ni wao kujisifu kuwa tumeshinda kwa kishindo na wao "Walikosa sera na wameamua kukimbia".
Nakumbuka Tambwe Hizza wakati wa uchaguzi mdogo wa Kiteto (if am not miskaten), aliulizwa sababu ya wananchi kutojitokeza kwenye uchaguzi, moja ya sababu alizotoa ni "watu wameridhika na utawala uliopo, hawakuwa na sababu ya kupiga kura". Chama tawala chenye watu wa aina ya Komba, Prof. Maji Marefu, Lusinde etc, unadhani kitasema nini Chadema ikijitoa?? Umesikia kauli ya Nape aliyotoa kuhusu Dr Slaa kugombea Arumeru Mash., ndio zitakazoendelea mpaka 2015 kama CHADEMA itajitoa.
Lakini hata ukiangalia the aftermath of Igunga elections, CCM won the seat, but politically CHADEMA won the contest. By elections are an indicator to the current political situation after the general election. Nina hakika CCM watapigana KUFA NA KUPONA ili washinde hichi kiti. LOSING WILL BE A POLITICAL DISASTER TO THEM, WINNING WILL BE A VINDICATION OF 'KUVUANA MAGAMBA'.
Umesahau kauli za CCM baada ya uchaguzi Igunga, eti wananchi wanakubali mabadiliko ndani ya chama, they didint even care kama wamepoteza kura nyingi sana from the 2010 general election. CHADEMA wasijitoe, never never