Chadema isisimamishe mgombea Arumeru

=Suala la uanachama wangu CDM halina kificho,kama mwanachama nina haki ya kutoa ushauri, pia nimesema think critically unaweza kuona point, usiwe mwepesi kupinga mawazo hadimu. Tatizo lako mtu akiwa na wazo mbadala wajua ni CCM, BADILIKA KIMTAZAMO wewe

U-CCM wako huu hapa: 1. CDM haina wakereketwa - WEWE ni wa kwanza! 2. Mahali popote bila ushindani mkali mfumo wa vyama vingi hufa na kimoja hutawala.
 
MH! Gamba hili!.. U-CCM wako huu hapa: 1. CDM haina wakereketwa - WEWE ni wa kwanza! 2. Mahali popote bila ushindani mkali -mfumo wa vyama vingi hufa na kimoja hutawala.
 
HOJA YA KIGWANGALA KUWATAKA CHADEMA WASIWEKE MGOMBEA ARUMERU MASHARIKI KAMA ALIVYOIBANDIKA KULE WANABIDII:

Ndugu,

Nimejifikiria sana na kuona kwamba uwezekano wa CHADEMA kushinda jimbo la Arumeru East ni mdogo sana. Wataishia kupoteza fedha zao nyingi, muda na kuathirika kisaikolojia. Badala ya kutunza nguvu zao na kujipanga kwa ajili ya 2015 wanatunisha msuli kupambana na chama dume CCM. Mimi nimejiuliza maswali; hivi hawa wakishinda wanakuwa wameongeza nini? Nikaona kwa CCM ni muhimu kwao kushinda jimbo hili ili kulinda heshima ya Marehemu Sumari aliyetangulia mbele ya haki. Nikaona kwa precedence hii kuna umuhimu wa CCM kuendelea kuliwakilisha Bungeni jimbo lile kwa lengo la kulinda heshima tu hiyo basi, maana hata wakishindwa haina maana yoyote kubwa kwenye demokrasia ya ndani ya Bunge, maana tayari CCM ina majority, na majority ndiyo inatawala! Gharama ya uchaguzi mdogo inakadiriwa kufikia takriban bilioni 19! Kwa sababu gani, hii ndiyo gharama ya demokrasia kwenye nchi yenye changamoto nyingi za kiuchumi kama Tanzania, kwa faida ya nani? Kwa nini sasa CCM wenyewe ambao walishinda uchaguzi uliopita wasipewe fursa ya kuteua mtu na kumuweka pale? Hata aliyekuwa wa pili kwenye kura za maoni wa wakati ule?

Hapo sasa inakuja hoja ya uzalendo. Nchi ina changamoto ya pesa na mahitaji makubwa ya wananchi, kwa nini tunai-expose kwenye kuingia gharama kubwa kiasi hiki leo hii ili kuweka mbunge mmoja tu? Pili, chaguzi ndogo zinapoteza attention ya wananchi na kila kitu sasa kinakuwa ni uchaguzi tu, kwa nini tusiliepuke hili na kutumia muda huu kama Taifa kujadili mengine ya maendeleo zaidi kwa nchi? Tayari CUF wametangaza kutoweka mgombea. Sijasikia vyama vingine vikiwa na ratiba ya kuingia kwenye mchakato zaidi ya CHADEMA, sasa kwa nini na wao wasiihurumie nchi wakaacha kuweka mgombea tuka-save gharama hizi?

Rai yangu, vyama vya upinzani tumieni busara, zuwieni pesa

Wakatabahu,
HK.
 
HOJA YA KIGWANGALA KUWATAKA CHADEMA WASIWEKE MGOMBEA ARUMERU MASHARIKI KAMA ALIVYOIBANDIKA KULE WANABIDII:

Ndugu,

Nimejifikiria sana na kuona kwamba uwezekano wa CHADEMA kushinda jimbo la Arumeru East ni mdogo sana. Wataishia kupoteza fedha zao nyingi, muda na kuathirika kisaikolojia. Badala ya kutunza nguvu zao na kujipanga kwa ajili ya 2015 wanatunisha msuli kupambana na chama dume CCM. Mimi nimejiuliza maswali; hivi hawa wakishinda wanakuwa wameongeza nini? Nikaona kwa CCM ni muhimu kwao kushinda jimbo hili ili kulinda heshima ya Marehemu Sumari aliyetangulia mbele ya haki. Nikaona kwa precedence hii kuna umuhimu wa CCM kuendelea kuliwakilisha Bungeni jimbo lile kwa lengo la kulinda heshima tu hiyo basi, maana hata wakishindwa haina maana yoyote kubwa kwenye demokrasia ya ndani ya Bunge, maana tayari CCM ina majority, na majority ndiyo inatawala! Gharama ya uchaguzi mdogo inakadiriwa kufikia takriban bilioni 19! Kwa sababu gani, hii ndiyo gharama ya demokrasia kwenye nchi yenye changamoto nyingi za kiuchumi kama Tanzania, kwa faida ya nani? Kwa nini sasa CCM wenyewe ambao walishinda uchaguzi uliopita wasipewe fursa ya kuteua mtu na kumuweka pale? Hata aliyekuwa wa pili kwenye kura za maoni wa wakati ule?

Hapo sasa inakuja hoja ya uzalendo. Nchi ina changamoto ya pesa na mahitaji makubwa ya wananchi, kwa nini tunai-expose kwenye kuingia gharama kubwa kiasi hiki leo hii ili kuweka mbunge mmoja tu? Pili, chaguzi ndogo zinapoteza attention ya wananchi na kila kitu sasa kinakuwa ni uchaguzi tu, kwa nini tusiliepuke hili na kutumia muda huu kama Taifa kujadili mengine ya maendeleo zaidi kwa nchi? Tayari CUF wametangaza kutoweka mgombea. Sijasikia vyama vingine vikiwa na ratiba ya kuingia kwenye mchakato zaidi ya CHADEMA, sasa kwa nini na wao wasiihurumie nchi wakaacha kuweka mgombea tuka-save gharama hizi?

Rai yangu, vyama vya upinzani tumieni busara, zuwieni pesa

Wakatabahu,
HK.

Nilikua namuheshimu huyu jamaha kutokana na hoja zake mwanzoni na usomi wake,lakini kwa sasa nimetokea kumdharau na kumchukia kupita kiasi,tokea awekwe kikao na kupgwa mkwara na c.c.m juu ya sakata la madaktari amekua mpole,amekua mropokaji ili aonekane anakisemea chama,sasa kauli kama hizi mtu mzima tena msomi unaweza kuiropoka kweli mbele ya watanzania wakakuelewa na si kukudharau?jamaha kapoteana
 
Japokuwa mimi ndiye niliyeanzisha MADA hii katu sikuwa na mtazamo huu wa Dr. HK, mimi nilishauri comperatively kwamba; bado kuna kazi kubwa ya kukijenga chama hasa maeneo ya vijijini ambako 75% ya wananchi wanaishi. Sikuwa na maana ya kuifagilia njia ccm. Kwa maana ya kuokoa gharama kama alivyogusia ndg HK nadhani NEC wangempitisha aliyekuwa mgombea wa pili toka CDM ili hzo bilioni 19 or so zielekezwe kwenye mambo mengine kama madawati, madai ya walimu na madaktari. Jeuri ya ccm kuishinda CDM kwa njia za halali kule A. Mashariki HAIPO. ccm stands a low chance to WIN.
 
. Swali la kujiuliza ni hili hapa, Tutabadilisha kitu gani Bungeni ikiwa tutashinda ARUMERU Mashariki?? Still the vast majority will remain to CCM. I have a point try to think critically. CDM, Kimbilio Letu, wengine ni Wababaishaji Tu!
Unaweza dhani kuwa unapoint, lakini nachokiona hapo unajaribu kujenga hoja ili chama chako cha CCM kijishindie kilaini. CDM tunasema ili mshinde huko inabidi jasho la kwapa liwatoke kwanza, hakuna ushindi wa mezani.
 
Back
Top Bottom