CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

CHADEMA isipomvua Zitto uanachama...!

Wananchi maskini wa kitanzania hatutaki siasa
 
usiwe na munkali jomba, ni ka muda tu, utamuona zito akiwa chali,

uyu zito kala ela ya ccm yani mpango wa ccm alokuwa akiutekeleza pale chadema umebuma ivo naye lazima nae atabomolewa
 
usiwe na munkali jomba, ni ka muda tu, utamuona zito akiwa chali,

uyu zito kala ela ya ccm yani mpango wa ccm alokuwa akiutekeleza pale chadema umebuma ivo naye lazima nae atabomolewa

siko tayari kuona msaliti analindwa....I say it loud ili wasikie!kama noma na iwe noma!
 
Mkuu mimi nitarudisha kadi ya CDM na kubaki kuwa yatima wa kisiasa, Zitto kafanya mabaya mengi sana hata hili la kumchafua Mbowe kahusika na soon tutaleta ushaidi humu.

Sipo tayari kuishi na nyoka nyumba moja.
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja !Naamini JF Arusha wing will do the same.
I second the movement!
 
siko tayari kuona msaliti analindwa....I say it loud ili wasikie!kama noma na iwe noma!

chadema is very interesting party, nakwambia kwa ela akina wasira, mwigulu, nchimbi et al walizokuwa wakimpa zito kabwe ili akiangamize chama real kama ingekua cuf, nccr, tlp nk. zingekufa mda mfup sana.

ivo ni lazima tuwape mda pia tuwaunge mkono viongoz wetu wa chama ili waandae mikakati ya kukiweka sawa chama pia kuandaa hatua madhubut dhid ya msalit zito kwani sio siri chama tayari kiliishajeruhiwa kiasi, kumbuka sakata la akina mtela, mchange, shonza et al na la uyu zito
 
Zitto kafanya mabaya mengi sana hata hili la kumchafua Mbowe kahusika na soon tutaleta ushaidi humu.

Sipo tayari kuishi na nyoka nyumba moja.

Mwenyekiti amekulia katika familia ya kitajili, hajui shida za wananchi - Waraka
Mwenyekiti anafanya siasa ki-local local - Waraka
Mwenyekiti anaelimu ndogo sana - Waraka
 
Vimada wa Lema mnashida sana.

UNAMUONA UYU MWEHU WA KIKE,,, BADALA YA KUJIKITA KT MADA ANAISHIA KTOA IYO COMENT,

NDO HAWA WATEULE WALOPEWA LAPTOP NA CCM THR MAKAMBA Jr. KUWAFANYIA PROPAGANDA,

NAOMBA MNIAMINI KUWA MKIMUONA MBWA JUU YA MTI LAZIMA ATAKUWA KAPANDISHWA, i.e. KTK TEAM YA LUMUMBA sr Magdalena lzm kabebwa, na nadhani ni chakula cha mwigulu mpenda totoz REF: Kitendo chake cha ktembea na mke wa mtu igunga
 
Wakati Chadema wanamvua madaraka Zitto walisema hawajafuata utaratibu rasmi wa kawaida kwa sababu hilo ni jambo la dharura lililohitaji kufanyiwa maamuzi ya haraka sana. Hivi sasa unaisha mwezo tangu Chadema walipotoa siku 14 na hawana haraka yoyote ya kufanya maamuzi.

Je, ile dharura iliyowafanya wasifuate utaratibu wa kawaida wa kikatiba imeyeyuka vipi?

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

Cc Pasco
 
Msaliti lazima apigwe chini. Heri ya mchawi kuliko msaliti.Yuda Iskareote alivyomsaliti Bwana Yesu kwa busu,alilaaniwa, alisema " Heri asingelizaliwa.." Baadaye akajitundika kwa kamba bustanini.Mtu yeyote anayesaliti jamii aliyoaminiwa ni mwuaji,hafai.
Wasaliti wasipoondoka CDM,viongozi wakuu kitaifa wawajibike.
 
Msaliti lazima apigwe chini. Heri ya mchawi kuliko msaliti.Yuda Iskareote alivyomsaliti Bwana Yesu kwa busu,alilaaniwa, alisema " Heri asingelizaliwa.." Baadaye akajitundika kwa kamba bustanini.Mtu yeyote anayesaliti jamii aliyoaminiwa ni mwuaji,hafai.
Wasaliti wasipoondoka CDM,viongozi wakuu kitaifa wawajibike.
Apigwe chini tu ili chama kife rasmi
 
Back
Top Bottom