CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

Mtoto hata ubwabwa wa shingo haujakutoka unadai mabadiliko...yapi hayo...kifunze historia ujue nini cha kubadilisha

Ww unayejiona nkubwa hata kutokwa na bwabwa wa shingo unaijua historia ya nchi hii kumzidi kingunge ???

Tutolee umong'oo wako hapa
 
Mtafunga kiwanda chenu cha porojo baada ya 25 Oct 2015. Watoa posho wa bk 7 wa Masaki na Lumumba mtatafutana bila mafanikio
 

radar mbovu
 

Tibaijuka kasamehewa? Nilidhani kesi baado nimbichi. I wish common sense was common!
 

Nani wa escrow anayegombea urais?

Hata mkiweka nta tutatumia bomba kuwazibua masikio na muelewe
 


Kabla ya kuja humu hebu kwanza waulize Lowasa (ab 30), Sumae ( Ab 20) na Kingunge Ngombale Mwiru( Ab 61) !
 
Nani wa escrow anayegombea urais?

Hata mkiweka nta tutatumia bomba kuwazibua masikio na muelewe

hahahaha hakuna ila yupo "mhongaji wa nyumba za serikali kwa girlfriend wake".DR Mihogo
 
Mapovu yatawatoka sana mwaka huu na bado Magamba mabadiliko lazima.
 
Last edited by a moderator:
Ikulu ya conekry...Hii tamthilia iko season ngapi vile?I mean baada ya tamthilia ya matumaini.

Haahahahaha.....Kweli mmeishiwa Lowasa anawanyima usingizi
Wewe Mwenyewe Zao La Ufisadi.
 
Magufuli jana kasema mabadiliko hayaji kwa kuzungusha mikono....hata kichwa au hata kuzungusha kiuno....
NI KAZI TU...

Na Kazi haiji kwa kupiga push ups wala kuruka ruka kwenye majukwaa.
 
yani huyu nimeshindwa hata nimuweke kundi gani! hasira sijui zimemzidi!!! loooh!
 

Chadema kumpokea fisadi mmoja na kumsimamisha kugombea urais wa nchi ni dalili ya kushindwa kupigana na ufisadi, na hii imepoteza imani tuliyokuwa nayo kuwa cdm ni chama cha ukombozi na badala yake naona wamekuwa tu wasanii wa kucheza na akili zetu
 
Kijana kama ww unackitisha sanaa bado unang'ang'ania chama tawala kwa kumuhukumu lowasa kwa kumnadi nifisadi kwa Richmond wakati ameshatoa ushaidi Kama yeye anahusika na huo ufisadi waende mahakamani mbona hamkujitokeza,ufisadi bado uko ccm unawajuwa tafuta namna nyengine ya kuongea na sio hlo nisalimie Chenga na Tbajuke zaidi wamecheza deal hatariiiii....!!!!!
 
CHADEMA ni peoples's super power hujakosea.
 
Chadema yaendelea kupokea makapi ya ccm
 
usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kiza kinene jisemee binafsi yako sio wananchi wameshaamua kura ndio itakayoamua big up Uda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…