CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu

CHADEMA ipo kwenye wakati mgumu

Nakumbuka Wasira yeye alisema imekufa kabisa. Ngoja tuone huu utabiri wako
 
Hilo lichama limesambaratishwa na mgombea wao Tundu Antipas Mughwai Lisu ingawa wao wanajifanya kama hawakubali hivi.
 
Dah CHADEMA iko imara sasa hivi kuliko wakati wowote ule tangu kizaliwe…. Nasisitiza 🤭
 
Back
Top Bottom