CHADEMA inarudi kwa Mbowe kama uchaguzi ukifanyika leo

CHADEMA inarudi kwa Mbowe kama uchaguzi ukifanyika leo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye viumbe wengi wa aina mbalimbali wenye nia tofauti wakiwemo fisi, nguchilo, nguruwe na mbweha.

Butiku na Warioba wanadhani Tanzania ni mali ya Nyerere; imeanzishwa na Nyerere na wao wanajiona kama walithi halali wa Nyerere. Nao wameduaa sana mapinduzi yale kushindwa kirahisi kama vile na kusababisha watu kupoteza maisha kwasababu yao; ni kama vile nafsi inawasuta. Butiku na warioba wanataka kuwaaminisha vijana kuwa Nyerere alikuwa anaongoza kwa haki na demokrasia kuliko sasa.

Wenye chadema yao; waluteri nyoyo zao zinaungua moto kwa chama chao kutumika vibaya. Chama chao kimo kifungoni. Kama uchaguzi utarudiwa leo nina uhakika kuwa chadema itarudi kwa wenyewe.
 
Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye viumbe wengi wa aina mbalimbali wenye nia tofauti wakiwemo fisi, nguchilo, nguruwe na mbweha.

Butiku na Warioba wanadhani Tanzania ni mali ya Nyerere; imeanzishwa na Nyerere na wao wanajiona kama walithi halali wa Nyerere. Nao wameduaa sana mapinduzi yale kushindwa kirahisi kama vile na kusababisha watu kupoteza maisha kwasababu yao; ni kama vile nafsi inawasuta. Butiku na warioba wanataka kuwaaminisha vijana kuwa Nyerere alikuwa anaongoza kwa haki na demokrasia kuliko sasa.

Wenye chadema yao; waluteri nyoyo zao zinaungua moto kwa chama chao kutumika vibaya. Chama chao kimo kifungoni. Kama uchaguzi utarudiwa leo nina uhakika kuwa chadema itarudi kwa wenyewe.
Kinyongo chako: Catholic, Butiku, Warioba, Nyerere===>> The usual target!!!!!!!!
 
Hapa ndio unaona umecheza bonge la mindgame, si ajabu usikie huko Kihongosi anakozunguka kutema shit akasema hiki unachokisema ww.
Nyie akina Butiku tulieni tume ya Jaji Chande ikamilishe kazi yake kwanza. Hapo ndio watanzania watajua nani ni nani kwenye lileeee. Kusema sana kwa sasa ni kubabaika tu.
 
Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye viumbe wengi wa aina mbalimbali wenye nia tofauti wakiwemo fisi, nguchilo, nguruwe na mbweha.

Butiku na Warioba wanadhani Tanzania ni mali ya Nyerere; imeanzishwa na Nyerere na wao wanajiona kama walithi halali wa Nyerere. Nao wameduaa sana mapinduzi yale kushindwa kirahisi kama vile na kusababisha watu kupoteza maisha kwasababu yao; ni kama vile nafsi inawasuta. Butiku na warioba wanataka kuwaaminisha vijana kuwa Nyerere alikuwa anaongoza kwa haki na demokrasia kuliko sasa.

Wenye chadema yao; waluteri nyoyo zao zinaungua moto kwa chama chao kutumika vibaya. Chama chao kimo kifungoni. Kama uchaguzi utarudiwa leo nina uhakika kuwa chadema itarudi kwa wenyewe.
Hiyo ni ndoto ya mwenda wazimu. Mnatamani sana pandikizi lenu lirudi tena jambo ambalo haliwezekani hata kidogo labda aende kwa wale vifaranga wake aliowatanguliza kule Chauma. Mbowe amejiharishia mwenyewe na wa kumsafisha hakuna atumbue tu zile b12 alizohongwa na Samuya siasa zimeshamkataa.
 
Nyie akina Butiku tulieni tume ya Jaji Chande ikamilishe kazi yake kwanza. Hapo ndio watanzania nani ni nani kwenye lileeee. Kusema sana kwa sasa ni kubabaika tu.
Punguza utoto dogo.
 
Kinyongo chako: Catholic, Butiku, Warioba, Nyerere===>> The usual target!!!!!!!!
Hakuna kinyongo hapo, lakini Nyerere alikuwa hapendi mawazo mbadala. Wote tulikuwepo wakati Nyerere akiendesha chaguzi za NDIYO au HAPANA kana kwamba hakukua na watu wengine. Tuliona kile walichokiona akina Kambona, Bibi Titi, Mzee Jumbe, Malecela, nk.

Butiku asubiri tume ikamilishe kazi yake, hakutakuwa na kikao cha wazee.
 
Punguza utoto dogo.
Wanachotaka kufanya akina Butiku ni hofu ya majibu ya tume ya Chande. Eti Butiku anajua chadema ina wanachama 7m. Alijuaje kama yeye sio mwanachadema mhamiaji. Wamempora Mbowe chama chake ili kukitumia vibaya, badala yake wamekwenda kukinasisha kwenye tope. Kimetumika kwenye uhaini. Yaani ni New chadema + Polepole + (Butiku + Warioba) + Kanisa + some diaspora = Mapinduzi.
 
Katiba ya chama cha chadema inasemaje kwanza ndio ujue kusema ati mbowe kaikulapahambukilozono
 
Wanachotaka kufanya akina Butiku ni hofu ya majibu ya tume ya Chande. Eti Butiku anajua chadema ina wanachama 7m. Alijuaje kama yeye sio mwanachadema mhamiaji. Wamempora Mbowe chama chake ili kukitumia vibaya, badala yake wamekwenda kukinasisha kwenye tope. Kimetumika kwenye uhaini. Yaani ni chadema + Polepole + (Butiku + Warioba) + Kanisa + some diaspora.
Narudia, punguza utoto dogo.
 
Hiyo ni ndoto ya mwenda wazimu. Mnatamani sana pandikizi lenu lirudi tena jambo ambalo haliwezekani hata kidogo labda aende kwa wale vifaranga wake aliowatanguliza kule Chauma. Mbowe amejiharishia mwenyewe na wa kumsafisha hakuna atumbue tu zile b12 alizohongwa na Samuya siasa zimeshamkataa.
Ni mwendawazimu pekee anaeamini kuwa chadema itakwenda Ikulu. Mzee Kingunge nae aliamini CCM imekata punzi lakini akakata punzi yeye.
 
Narudia, punguza utoto dogo.
Tindo bhana, mapinduzi yakifeli wote waliotaka kupindua wanaishia kukosa amani na utulivu kabisa. Wewe subiri utaona mengi.
 
Chadema imenajisiwa na akina Lissu, Heche na Mnyika. Chama cha waluteri kimeibiwa na wakatoliki na kikaratibu kuichoma nchi kama short cut ya kuipundua serikali; lakini wakashindwa vibaya sana. Butiku na Warioba wamejichimbia humohumo kupitisha ajenda zao. Chadema ya sasa ni kama chaka lenye viumbe wengi wa aina mbalimbali wenye nia tofauti wakiwemo fisi, nguchilo, nguruwe na mbweha.

Butiku na Warioba wanadhani Tanzania ni mali ya Nyerere; imeanzishwa na Nyerere na wao wanajiona kama walithi halali wa Nyerere. Nao wameduaa sana mapinduzi yale kushindwa kirahisi kama vile na kusababisha watu kupoteza maisha kwasababu yao; ni kama vile nafsi inawasuta. Butiku na warioba wanataka kuwaaminisha vijana kuwa Nyerere alikuwa anaongoza kwa haki na demokrasia kuliko sasa.

Wenye chadema yao; waluteri nyoyo zao zinaungua moto kwa chama chao kutumika vibaya. Chama chao kimo kifungoni. Kama uchaguzi utarudiwa leo nina uhakika kuwa chadema itarudi kwa wenyewe.
Kwani kama unampenda mbowe si upeleke posa kabisa kwa mama Samia ili aolewe na Mbowe
 
Ni mwendawazimu pekee anaeamini kuwa chadema itakwenda Ikulu. Mzee Kingunge nae aliamini CCM imekata punzi lakini akakata punzi yeye.
Ni taahira tu anayeamini kuwa CCM ni chama siasa, CCM ni genge maslahi la watu wachache linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kutawala.
 
Back
Top Bottom