Ife mara ngapiHivi Chadema bado haijafa tu hadi leo ?
Ife mara ngapiHivi Chadema bado haijafa tu hadi leo ?
Hadithi hizo huwa wana simuliana watoto wadogo.
ccm inakufa na CDM inazidi kuwa imara kila kukicha.Hivi Chadema bado haijafa tu hadi leo ?
Chadema inapukutika kama njugu
Hawa majamaa bwana wakitoka mpaka wapige moyowe; ni sawa na mtu anaeachana na mke wake alafu anaanza kumueleza vibaya kwa watu; huo sio ustaarabu.''Mgaagaa na upwa hali wali mkavu.''
mwaka 2015 nilimpa kura jpm, mwaka 2020 inshaalah nitampa kura YEYOTE atakayesimama upande wa CHADEMA!!!.Chadema imeshakufa, haipo tena