inapendwa lushoto kwani mbunge wa hapo nani ni ccm au chadema diwani je fikiri ukipata jibu la chama cha mbunge na diwani pamoja na wajumbe ndio kinachopendwa acha kutuongopea wewe
Ok ngoja tubadili hii thread mkuu, Magamba yanapendwa sana hapa Lushoto hadi inaleta raha! umefurahii eeenh?thread kama hizi za kupena matumaini ambayo hayapo endeleeni nazo tu, mtakuja lia ukifika uchaguzi wenyewe, kuja kustukia kua inapendwa JF tu,
subiri moto wa 2015 , hata magamba ya mpingo yatabanduliwa !
chama cha matamko na ubishi usiokuwa na maana mnataka mchukue nchi muipeleke wapi wakabila wakuu nyie.
tunaomba matawi ya chadema marangu waku
Hakuna binadamu mwenye akili timamu na aliyebarikiwa na mungu haipendi chadema huku kwetu arusha chadema ni maisha ya kila siku
Nipo hapa lushoto, nimegundua jambo moja nalo ni mapenzi mazito waliyo nayo watu juu ya Chama kubwa, Chama lao CHADEMA
PEOPLES..................
subiri moto wa 2015 , hata magamba ya mpingo yatabanduliwa !
Tuachane na siasa...hivi umeshapata ajira?