Mkuu nimekupata kwa kweli wanajisumbua tuu CDM bado sana, hata wenyewe wajua hilomtahangaika sana wakuu ccm haifi kwa thread za uzushi kama hizi.
wewe hata ukisema chadema inapendwa na watanzania wote jibu mtalipata kwenye sanduku la kura na mzee wenu anazidi kuzeeka mtaipata tu itabidi muandae pempasi mtatikiswa sana na wenye roho ndogo hamtavuka.