CHADEMA inapendwa jamani

CHADEMA inapendwa jamani

Jamani angalia CCM inawauma sana!!

Ewe mpenda mabadiliko eneza sera za CDM ili magamba wazidi kupagawa! Ili ni ombi kwa wananchi wote wapenda mabadiliko! If you dream of New Tanzania, preach, that's all!
 
CHADEMA ndio mkombozi wetu, Naipenda sana CHADEMA kuliko mpenzi wangu.

CHADEMA YATOSHA.
 
inapendwa lushoto kwani mbunge wa hapo nani ni ccm au chadema diwani je fikiri ukipata jibu la chama cha mbunge na diwani pamoja na wajumbe ndio kinachopendwa acha kutuongopea wewe

mkuu hawa jamaa zinawatosha wao tu,wanajitapa huku nature inawashitaki sijui wanamdanganya nani.
 
Nimepita maeneo ya nyororo,,,mafinga,,rungemba,,, hadi migoli huko iringa vijijini,gumzo ni chadem; pamoj na TISS haswa mwigulu kutumia nguvu za ziada kuupinga ukweli;

Mwigulu ana gundu! Mambo ya magamba yamebuma sana, pia hata Shonza ana kisinambi/kimavi.
 
CHADEMA-chama cha demia na mandamano,mnapata tabu sana na hii siasa yenu chafu ya fujo na maadamano.
 
Huwa ninaposali wakati wote sijawahi kusahau kuiombea chadema.

Chadema ndiyo maisha
 
Nipo Tunduma, hapa ndio vilipo virusi vya kusambazia M4C.!!!
 
na anayeipenda ccm ujue anafaidika na ufisadi unaofanyika au baba yake au mama anacheo huko ccm, huyo ndo ambaye anajikakamua kwa kuitetea ccm
 
chama cha matamko na ubishi usiokuwa na maana mnataka mchukue nchi muipeleke wapi wakabila wakuu nyie.
 
mkuu hawa jamaa zinawatosha wao tu,wanajitapa huku nature inawashitaki sijui wanamdanganya nani.

We unaongea mambo gani mkuu?
Mkuu wa wilaya alikuwa amevaa suti, afu ndani kumbe suti kavalia t-shirt ya ARDF ya mbunge Lema
 
Yani Nipo Mtwara CDM ni gumzo baada ya CUF kuolewa na ccm

mwongo wewe Mtwara hawawezi kuipenda chadema. unafikiri tumesahau yule ---- wenu Slaa aliyekuwa anakataa kujengwa daraja la mkapa na kusema halina faida kwa taifa? usijidanganye chadema ni chama cha kaskazini ndio maana hata kwenye kampeni ya udiwani kata ya Mnima chadema haikupeleka hata kiongozi mmoja. chadema wa nini sisi watu wa Mtwara.
 
mtahangaika sana wakuu ccm haifi kwa thread za uzushi kama hizi.

wewe hata ukisema chadema inapendwa na watanzania wote jibu mtalipata kwenye sanduku la kura na mzee wenu anazidi kuzeeka mtaipata tu itabidi muandae pempasi mtatikiswa sana na wenye roho ndogo hamtavuka.
Mara hii haibiwi mtu kura na hayo mabox mnayobadirisha njiani mara hii mtashangaa kitakachowatokea, zile pistol mlizogawa nadhani mtajishoot wenyewe, wait n see
 
chama cha matamko na ubishi usiokuwa na maana mnataka mchukue nchi muipeleke wapi wakabila wakuu nyie.

Na bado! Hiyo single ya ukabila imewekwa kapuni haipigwi tena. Wachumia tumbo oyeeee!
 
mwongo wewe Mtwara hawawezi kuipenda chadema. unafikiri tumesahau yule ---- wenu Slaa aliyekuwa anakataa kujengwa daraja la mkapa na kusema halina faida kwa taifa? usijidanganye chadema ni chama cha kaskazini ndio maana hata kwenye kampeni ya udiwani kata ya Mnima chadema haikupeleka hata kiongozi mmoja. chadema wa nini sisi watu wa Mtwara.
Umesahau hata Igunga CDM haikusimamisha mtu uchaguzi wa 2010 lakini uchaguzi wa marudio uliona kivumbi?
 
Nipo hapa lushoto, nimegundua jambo moja nalo ni mapenzi mazito waliyo nayo watu juu ya Chama kubwa, Chama lao CHADEMA
PEOPLES..................

Unaongelea Arusha au Kilimanjaro?
 
mwongo wewe Mtwara hawawezi kuipenda chadema. unafikiri tumesahau yule ---- wenu Slaa aliyekuwa anakataa kujengwa daraja la mkapa na kusema halina faida kwa taifa? usijidanganye chadema ni chama cha kaskazini ndio maana hata kwenye kampeni ya udiwani kata ya Mnima chadema haikupeleka hata kiongozi mmoja. chadema wa nini sisi watu wa Mtwara.
Ebu nijibu bila kupepesa macho kuhusu kujivua gamba! Nawaomba wana-cdm na wapenda mabadiliko wote mkiiona post ya mchumia tumbo yeyote muulizeni kuhusu kujivua gamba, kama hana jibu mpuuzeni!
 
Ebu nijibu bila kupepesa macho kuhusu kujivua gamba! Nawaomba wana-cdm na wapenda mabadiliko wote mkiiona post ya mchumia tumbo yeyote muulizeni kuhusu kujivua gamba, kama hana jibu mpuuzeni!

kumbe kwenye jf kuna watu wana akili ya mende. wewe unadhani watu wote ni washabiki wa ccm? sisi wengine ni professional tusiomung'unya maneno. jembe tunaliita jembe na ukweli utabaki hivyo unless unataka kuitumia jf kama propaganda platform ya chadema hatahivyo tutasema tu ukweli. chadema inapendwa humu jf. chadema ipo arusha, moshi siyo same na mwanga
 
Back
Top Bottom