CHADEMA inapendwa jamani

CHADEMA inapendwa jamani

Nipo hapa lushoto, nimegundua jambo moja nalo ni mapenzi mazito waliyo nayo watu juu ya Chama kubwa, Chama lao CHADEMA
PEOPLES..................

Pumbafu kabisa hizi Takwimu umezitoa wapi?
Naona umechanganywa na ziara ya Obama kama Mwenyekiti wako Mbowe.
Alisahau kuwa wametoa msimamo wa kutoshiriki, kesho yake akajikuta Ikulu.
Hivi nyie Magaidi ni nani ALIYEWAROGA?
 
kwa ufupi hivi sasa chadema inapendwa karibia tanzania nzima, labda tu kwa sehemu na mikoa isiyo na maendeleo ndo ccm imejikita. ccm ni ya WAJINGA NA WAPUMBAVU, bali chadema ni kwa wazalendo wapenda maendeleo ya nchi hii.
 
Nipo hapa lushoto, nimegundua jambo moja nalo ni mapenzi mazito waliyo nayo watu juu ya Chama kubwa, Chama lao CHADEMA
PEOPLES..................
chama kinachotetea wanyonge!!!
 
Utaxema nn ndan ya Songea CDM ndo mpango mzm, vijana tukiamua tunaweza, peopleeeees.......
 
Nimepita maeneo ya nyororo,,,mafinga,,rungemba,,, hadi migoli huko iringa vijijini,gumzo ni chadem; pamoj na TISS haswa mwigulu kutumia nguvu za ziada kuupinga ukweli;

Zile bendera mbili pale nyololo stend ndiyo zmekudanganya. Kazi kwelikweli...
 
Huu uzushi wendawazimu kama nyie ndiyo mtauamini. Endeleeni kujifariji tu humu jf wapiga kura kitaa hata hawana shida wanasubiri uchaguzi wakaipe kura ccm.
 
inapendwa lushoto kwani mbunge wa hapo nani ni ccm au chadema diwani je fikiri ukipata jibu la chama cha mbunge na diwani pamoja na wajumbe ndio kinachopendwa acha kutuongopea wewe
Huyo diwani na mbunge ni wa tume na sio wa wananchi. Chadema kinapendwa na wananchi sio tume ya uchaguzi
 
Huu uzushi wendawazimu kama nyie ndiyo mtauamini. Endeleeni kujifariji tu humu jf wapiga kura kitaa hata hawana shida wanasubiri uchaguzi wakaipe kura ccm.

mkuu vipi kuhusu kuvuana magamba?
 
Jamani wana jf kuna kitu binafsi nashindwa kukielewa kuhusu chama cha chadema, chama hiki kila ninapo fika kina tajwa kwa mazuri na na robo tatu ya watz wanaamini kuwa ndicho chama pekee kinacho weza kuwakomboa, binafsi kwa kuwa ni mgeni ktk nchi hii naomba mnisaidie ukweli wa imani hii!
 
Kina nyota Ya Muhogo kupendwa na watoto wa shule ...
 
Huyo diwani na mbunge ni wa tume na sio wa wananchi. Chadema kinapendwa na wananchi sio tume ya uchaguzi

Umempiga ya uso, akijbu tena nitamshangaa, pamoja sana kamanda
 
Hata hapa dodoma wananchi katka mashuka 7 waliyokuwa wamefunikwa wasijue ukweli limebaki moja.. mtu wa mwisho kujua c mnajua hasira zake akijua??
 
Pumbafu kabisa hizi Takwimu umezitoa wapi?
Naona umechanganywa na ziara ya Obama kama Mwenyekiti wako Mbowe.
Alisahau kuwa wametoa msimamo wa kutoshiriki, kesho yake akajikuta Ikulu.
Hivi nyie Magaidi ni nani ALIYEWAROGA?

wewe utakuwa umlogwa na alyekuloga kafa na kwa bahati mbaya alikuloga ukichaa. Ukitaka kujua na kuamini nisemacho rudia kuisoma thread yako utajionea
 
Back
Top Bottom