CHADEMA inanuka

CHADEMA inanuka

Unajua kuna watu wakienda haja kubwa huwa chambi vizuri kwahiyo akitoka anatoka na harufu ya mavi kwenye makalio yake sasa kila akikutana na mtu atamwona ananuka kumbe ni harufu ya makalio yake ila tu hajajishtukia.mleta mada ni mmoja wapo unatembea na mavi halafu harufu yako unawasingizia watu wengine nenda kachambe bwana.
Mechekaàaaaaaaa, hapana aoge na maji mengi na afue nguo zote, akichamba hatatakata.
 
Usafi wa nyumba ya jirani ni nini. Si hadi ilikosa mtu ikabidi wampe mwendawazimu kijiti na kazi yake tunaiona. Taja mafanikio yake.
Ndege sita.mafisadi kwishney. Nidhamu. Mitadi kama bombs la mafuta kutoka Uganda mpaka tanga. Standard gauge. Flyovers. Miradi mikubwa kama kiwanda cha sukari kibaha. Kutoa pesa mikono mwa nyie wachache wezi na kuweka kwenye miradi mbalimbali ikiwemo train ya umeme inayotarajia kuanzia dar had Moro. Etc.
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana
Chadema inanuka Mila CCM inanimate zaidi
 
Labda Lowassa akiwa mwenyekiti wa chama na wema akiwa mwenyekiti wa BAWACHA watakinyoosha chama.
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana
Unamzungumzia daudi au paulo

Ova
 
Ni Nani hadi sasa amethibisha hao unaowaita Wauza Madawa ya Kulevya? Kumbuka Ni Mahakama pekee yenye uwezo wa kusema Fulani Ni Fisadi au Muuza Madawa ya Kulevya. Ni suala la Ushahidi kuweza kuithibitishia Mahakama.
Makonda kupongezwa? Kwani Ni vibaya wakimpongeza? Unataka kila mtu apongeze? Kwamba Makonda was perfect kwenye hii movie? Kama ambavyo kuna wanaompongeza nanyi mkafurahi, acheni mwingine wakosoe kwa yale wanayoyaona hayajakaa sawa.
Kuombewa Dua? Utakuwa mgeni hapa Duniani! Trump anaombewa Dua na baadhi ya Viongozi wa Dini huko kwao, similar to Mugabe, Jose Kabila, hata Idd Amin Dada, na wengine wengi wameshafanyiwa Dua sana. Sijui kwako special thing kwenye hiyo Dua Ni Nini?
Jambo jingine la kuelewa, Tanzania Daima linamilikiwa na Mbowe Company, sii CHADEMA, hili sii kama UHURU!
Mwisho kabisa, mtaji wa CCM Ni Illiterates. Since the Illiterates are the Majority in the Country, wengi wameamini kulikuwa na vita dhidi ya DAWA za Kulevya.
1. Hakuna vita ya dawa za Kulevya inayoendeshwa kipumbavu kama ilivyokuwa inaendeshwa na Makonda. Vita iliyokuwepo Ni vita dhidi ya Personalities za Watu. Weka rekodi juu ya hili. Kesi zote Serikali itashindwa na itadaiwa Fidia.
2. Vita iliyokuwepo Ni vita ya VISASI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA! Unatongoza unatoswa, kwakuwa wewe una Mamlaka Basi unaamua kukomoa.
3. Vita ya Madawa ya Kulevya haina double standards. Why TID, TUNDA, VANESSA, etc AND WHY NOT WEMA SEPETU? ALL OF THESE ARE VICTIMS , why double Standards?
Waziri Mkuu aliwatetea Watuhumiwa wasitajwe, Nape nae vilevile,Sianga nae vilevile, je! Hawa ni CDM?
NAKUSHAURI UKAJIPANGE UPYA.
Wauza sembe na wapambe wao utawajua tu
 
Ni Nani hadi sasa amethibisha hao unaowaita Wauza Madawa ya Kulevya? Kumbuka Ni Mahakama pekee yenye uwezo wa kusema Fulani Ni Fisadi au Muuza Madawa ya Kulevya. Ni suala la Ushahidi kuweza kuithibitishia Mahakama.
Makonda kupongezwa? Kwani Ni vibaya wakimpongeza? Unataka kila mtu apongeze? Kwamba Makonda was perfect kwenye hii movie? Kama ambavyo kuna wanaompongeza nanyi mkafurahi, acheni mwingine wakosoe kwa yale wanayoyaona hayajakaa sawa.
Kuombewa Dua? Utakuwa mgeni hapa Duniani! Trump anaombewa Dua na baadhi ya Viongozi wa Dini huko kwao, similar to Mugabe, Jose Kabila, hata Idd Amin Dada, na wengine wengi wameshafanyiwa Dua sana. Sijui kwako special thing kwenye hiyo Dua Ni Nini?
Jambo jingine la kuelewa, Tanzania Daima linamilikiwa na Mbowe Company, sii CHADEMA, hili sii kama UHURU!
Mwisho kabisa, mtaji wa CCM Ni Illiterates. Since the Illiterates are the Majority in the Country, wengi wameamini kulikuwa na vita dhidi ya DAWA za Kulevya.
1. Hakuna vita ya dawa za Kulevya inayoendeshwa kipumbavu kama ilivyokuwa inaendeshwa na Makonda. Vita iliyokuwepo Ni vita dhidi ya Personalities za Watu. Weka rekodi juu ya hili. Kesi zote Serikali itashindwa na itadaiwa Fidia.
2. Vita iliyokuwepo Ni vita ya VISASI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA! Unatongoza unatoswa, kwakuwa wewe una Mamlaka Basi unaamua kukomoa.
3. Vita ya Madawa ya Kulevya haina double standards. Why TID, TUNDA, VANESSA, etc AND WHY NOT WEMA SEPETU? ALL OF THESE ARE VICTIMS , why double Standards?
Waziri Mkuu aliwatetea Watuhumiwa wasitajwe, Nape nae vilevile,Sianga nae vilevile, je! Hawa ni CDM?
NAKUSHAURI UKAJIPANGE UPYA.
Wakati mnatoa ile list of shame mkamtaja kua mzee Lowasa ni FISADI,ni mahakama gani ilimuhukumu mzee wa watu mpaka mkantangaza nchi nzima ni fisadi,hebu tuanzie hapo kwanza
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana

kwani Tanzania Daima ni Gazeti la chama cha chadema au mmiliki wake ni mwanachama wa chadema?
 
MAKONDA ANASEMWA KWA UTARATIBU ALIOUTUMIA WA KUITA WATU POLISI.
UKIONA MTU ANAMCHUKIA MAKONDA KINYUME NA HAPO TAMBUA NI JIWE LIMEMPATA GIZANI.
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana
Ile dua haikuvuka ata paa!
Akashindwa kuvua viatu na walio mwombea ni wanafiki tu,kwanini wasimwambie kweli?

Huyo sijui ndio Dereva wenu anafanya usanii vitu vya msingi,inshu ya madawa sio ya kisiasa na chuki binafsi.

Ana diliki kuwaita watu wahusika wa madawa afu ushahidi anaenda kuutafuta baada ya siku kadhaa watuhumiwa kujipeleka Central!

Kwahiyo nawewe ulitegemea wakutwe na madawa nyumbani,na aliekutwa na misokoto haingii akilini alishindwa kuficha kabla ya kulipoti central!

Zipo taratibu za kufata kupambana na wauza unga sio kwa kuwa taja kama majina ya walioficha sukari!

In short shemeji yako kakosea aombe radhi alio wachafulia majina kwa sababu anazo zijua yeye!

Anapenda sana kuchafulia watu majina mbele ya media ila sio kuzungumzia tuhumaa za vyeti vyake!

Nilikua napata shida na kiwango chake na zarau kwa mawaziri kumbe..ndo vile tena,

Watanzania tunaunga vita ya madawa ila sio vita ya Dereva wenu na watu alio na chuki nao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom