CHADEMA inanuka

CHADEMA inanuka

Kama Chadema inatetea wauza unga Na hao wauza unga wamepewa mtaji Na CCM
 
Chadema inanukia harufu nzuri sana ya ya marashi ambayo kadri muda unavyoendelea Watanzania wanazidi kupenda harufu hiyo mwanana! NIlifurahi sana kuona kwenye twiter ya Riziwani akiwa amemjongelea Lowasa ili angalao kupata harufu hiyo safi!!
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana

Muulize kwanini amempangia nyumba International Drug Traficker??Na wala hakumtaja kwenye wale 65 wala 97 wala kwenye wasanii.

Muulize Kwanini ameacha wao njia zote zinafanyiwa kazi na polisi kuweka kuwa kamata wauza unga??

Je GSM ni akina nani??Maana wamemnunulia Mkewe Benzi la $250,000 ,ile Lexus ya $400,000 hebu tujue amepata wapi pesa??

GSM ni wakwepaji wa kodi,watakatishaji wa pesa na drug dealers wanahusiano gani na Makonda??

Kaka yangu ukiishi kwenye nyumba za kiooo marufuku kurusha mawe.

Majizi makubwa Chama cha Masogange,wafilisi wa raslimali Mali za Taifa wote mnafaa kunyongwa tu.Chama cha Majangili ndicho kinakinyaa kabisa.
 
Cdm kwa sasa nikichaka cha waovu na Wachafu

Zile gari mbili umezipataje??GSM ndiyo drug dealers wakubwa na bado wamekujengea majumba,magari ya bure na kurenovate nyumba yako Tuambie uhusiano wako na GSM

Majangili mnaweza hata kuwapangishia nyumba International drug Traffickers aka Masogange.

Tuambieni nani yupi nyuma ya Bilioni nane za Kivuko kibovu.hakuna msafi huko CCM wote ni wachafu nafuu chooni cha shimo
 
Lowasaaaaa hasafishikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yuko chadema!

Anayesafishika ni yule aliyenunua kivuko kibovu kwa Bilioni nane??

Au.yule anayejengewa nyumba na Majizi na drug dealers wa GSM mmeshajisafisha.

Mnaiba mpaka vyeti.
 
Zile gari mbili umezipataje??GSM ndiyo drug dealers wakubwa na bado wamekujengea majumba,magari ya bure na kurenovate nyumba yako Tuambie uhusiano wako na GSM

Majangili mnaweza hata kuwapangishia nyumba International drug Traffickers aka Masogange.

Tuambieni nani×( yupi nyuma)× ya Bilioni nane za Kivuko kibovu.hakuna msafi huko CCM wote ni wachafu ×[ nafuu chooni cha shimo]×

Ningeli shangaa umalize Ngonjera bila ya kuchanganya Viroba humo!!!

HATA MASHOGA KIMBILIO LAO NI CDM!!!
 
Ni Nani hadi sasa amethibisha hao unaowaita Wauza Madawa ya Kulevya? Kumbuka Ni Mahakama pekee yenye uwezo wa kusema Fulani Ni Fisadi au Muuza Madawa ya Kulevya. Ni suala la Ushahidi kuweza kuithibitishia Mahakama.
Makonda kupongezwa? Kwani Ni vibaya wakimpongeza? Unataka kila mtu apongeze? Kwamba Makonda was perfect kwenye hii movie? Kama ambavyo kuna wanaompongeza nanyi mkafurahi, acheni mwingine wakosoe kwa yale wanayoyaona hayajakaa sawa.
Kuombewa Dua? Utakuwa mgeni hapa Duniani! Trump anaombewa Dua na baadhi ya Viongozi wa Dini huko kwao, similar to Mugabe, Jose Kabila, hata Idd Amin Dada, na wengine wengi wameshafanyiwa Dua sana. Sijui kwako special thing kwenye hiyo Dua Ni Nini?
Jambo jingine la kuelewa, Tanzania Daima linamilikiwa na Mbowe Company, sii CHADEMA, hili sii kama UHURU!
Mwisho kabisa, mtaji wa CCM Ni Illiterates. Since the Illiterates are the Majority in the Country, wengi wameamini kulikuwa na vita dhidi ya DAWA za Kulevya.
1. Hakuna vita ya dawa za Kulevya inayoendeshwa kipumbavu kama ilivyokuwa inaendeshwa na Makonda. Vita iliyokuwepo Ni vita dhidi ya Personalities za Watu. Weka rekodi juu ya hili. Kesi zote Serikali itashindwa na itadaiwa Fidia.
2. Vita iliyokuwepo Ni vita ya VISASI NA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA! Unatongoza unatoswa, kwakuwa wewe una Mamlaka Basi unaamua kukomoa.
3. Vita ya Madawa ya Kulevya haina double standards. Why TID, TUNDA, VANESSA, etc AND WHY NOT WEMA SEPETU? ALL OF THESE ARE VICTIMS , why double Standards?
Waziri Mkuu aliwatetea Watuhumiwa wasitajwe, Nape nae vilevile,Sianga nae vilevile, je! Hawa ni CDM?
NAKUSHAURI UKAJIPANGE UPYA.

Hahahahahaha achana na huyo kichuri wakati mtaja majina ndiyo anayefadhiliwa na Drug Dealers GSM na kumpangishia nyumba International Drug Transporter
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana
Usafi wa nyumba ya jirani ni nini. Si hadi ilikosa mtu ikabidi wampe mwendawazimu kijiti na kazi yake tunaiona. Taja mafanikio yake.
 
Anayesafishika ni yule aliyenunua kivuko kibovu kwa Bilioni nane??

×{Au.yule anayejengewa} nyumba na Majizi na drug dealers wa GSM mmeshajisafisha.

Mnaiba mpaka vyeti.
Hivi unajua hata matumizi ya Alama ktk Ngonjera zako!!
Ulisomea UDJ
unalazimisha Siasa!!!
 
Ningeli shangaa umalize Ngonjera bila ya kuchanganya Viroba humo!!!

HATA MASHOGA KIMBILIO LAO NI CDM!!!

Umeshamwambiwa Bwana Madereva akapime "Sugu" kama siyo mtoto urudi.Hahahaha watoto makazi kweli.Akapime SUGU basi.
 
Usafi wa nyumba ya jirani ni nini. Si hadi ilikosa mtu ikabidi wampe mwendawazimu kijiti na kazi yake tunaiona. Taja mafanikio yake.

Mafanikio ni kuiba vyeti na kuwaweka vizuri drug dealers na wasafishaji wa pesa aka GSM
 
chadema inakua kama jalala,

ikishatumika huko wana i dump kwao,
 
Hivi Tanzania daima limegeuka kuwa gazeti la kutetea wauza unga!!! Jamani CHADEMA mbona mi siwaelewi? Jamii ilikuwa imeshashawishika kuwa nyie ni wakeameaji wazuri wa ufisadi na mafisadi.

Makonda anapongezwa kila kona ya nchi na ni jana tu amefanyiwa dua maalumu kutoka kwa mashehe hapa wa Dar lakini gazeti hili linaponda jitihada anazofanyampaka kutaka aachane nazo.

Nimeshangaa sana title page yao kuandikwa eti Makonda ni hatari kisa anadili na madawa. Nimeshangaa sana
Nilikua napitia thread yako,nikagundua "wewe ni mweusi kimawazo.."
*si mbaya,kama "ukitoa akili zako mfukoni,utajirekebisha..."
 
CHADEMA inanuka?? Inanuka CCM inayotengeneza watu wachafu,sisi tunawaungamisha na kuwasafisha hatuwezi kunuka,inanuka CCM inayokaa na watu waliooza miaka 20,wakisafishwa ndo inagundua kuwa walikuwa wachafu.CCM IMEOZA INANUKA.
496a948d62ceaae8c2bd0e9ca82413f1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom