MANGUNGO
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 1,536
- 352
Nimesoma vichwa vya magazeti mbalimbali yote leo,nimeona magazeti ya serekali na yale yanayo milikiwa na makada wa ccm na CCM yenyewe yakibeza ushindi wa chadema katika uchaguzi wa madiwani,kwa kifupi nitoe mtazamo wangu na mawazo yangu juu ya mwelekeo wa chama cha demokrasia na maendeleo,kwanza kuwapongeza viongozi wote wa chadema pasipo kutaja majina yao isipokuwa SHIBUDA.
kwa kazi waliofanya hasa kuweza kutetea kata zao na kikubwa kuongeza kata 3 kwa kuinyang'anya ccm hakika sio jambo dogo,hii inatoa mwelekeo kuwa 2015 chadema kinaweza kuinyang'anya ccm viti vingi vya ubunge,udiwani na hata urais na kufanikisha kushika dola,chadema kinatakiwa 1.
kuongeza nguvu katika harakati zake za vuguvugu la mabadiliko,yaani movement for change(m4c) kuingia vijijini zaidi hadi ngazi ya mitaaa hadi kata kuwaelimisha wananchi juu ya sera zake na hata kuwapa wananchi elimu juu ya umuhimu wa kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na kushiriki zaidi kataka kupiga kura kwani vijana wengi hawakushiriki katika kupiga sababu hawana shahada za kupigia kura kwa kupoteza shahda au kutokujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,2.
Kufungua matawi katika kila mtaa,na ikiwezekana kuwa na mabalozi wao kabisa kama ccm inavyofanya ngazi ya shina,ili wananchi wapate elimu kupitia mabalozi huko huko ngazi ya shina na sio kusubiri mpaka viongozi wa kitaifa wa chadema waje kutoa elimu na hata kuuza kadi kwa wananchi,matawi yaliopo kwasasa ni machache sana na hayaendani na kasi ya mda ukidhingatia kuna miaka 2 imebaki nchi ingie ktk uchaguzi mkuu sasa nguvu kubwa inahitajika kuhakikisha chama kinafika chini kabisaa na kina kuwa na mabalozi wake.
Wakati umefika sasa chama kiweke vigezo vya wagombea hasa kielimu,kinidhamu na maadili,uwajibikaji na hata mvuto(nguvu ya ushawishi) kwa kuwashindanisha wagombea watarajiwa kwa wanachama ili kuchuja wanachama na kupata mgombea ambaye kweli atakua competance na amejitoa kwa dhati,,kwani uchaguzi huu wa udiwani kuna baadhi ya wagombea wa chadema hawakuwa na mvuto kwa wananchi ktk nyanja zote za kielimu,nidhamu na maadili n.k 4.
Kubaini mbinu zzote chafu zinazo fanywa na ccm kama rushwa na wizi wa kura ikishirikiana mawakala na hata tume ya uchaguzi kuhujumu kura za chadema,kwani ktk uchaguzi huu wa madiwani rushwa na michezo michafu imefanywa na ccm ikishirikiana na vyombo vya dola ili kuhujumu uchaguzi,5.
Hivi sasa kuibika ukatishaji tamaa viongozi wa chadema kupitia matokeo haya kupitia vyombo vya habari na mitandao wanachadema na viongozi wote wasikatishwe tamaa au kukubali kusimangwa kutokana matokeo haya udiwani ambayo kwangu nimeona ni mazuri japo sio kwa kiwango kilichotegewa lakini ikubalike kuwa chama kimepigana vya kutosha kimelinda viti vyake na kimeongeza viti sio jambo dogo ni jambo kubwa kwanini hata ccm ambaye amepoteza viti hivyo kisaikolojia hayupo safi ni sawa na mtu mwenye kidonda kibichi sasa tusikubali mtu wa namna hii atengeneze propaganda za ajabu kuhusu chadema kama alivyosiskika NAPE akikejeli eti chadema kinakufa na hata kuita movement for change kuwa movement for death,chadema isimwache mtu huyu atambe hata kidogo.bali imwadhibu kwa hoja na vitendo.
Mwisho niseme maisha yanaendelea kukata tamaa ni sawa na kukubali kifo mashabiki wa chadema na viongozi wa chadema sasa tuanze aharakati yaani kama ndio moto umemwagiwa mafuta,moto uliwashwa wa vuguvugu la mabadiliko ukabe kila kona ya nchi,2015 DOLA ITAKUWA CHINI YA CHADEMA,MUNGU IBARIKI CHADEMA,MUNGU IBARIKI TANZANIA.asanteni naomba kuwasilisha.
kwa kazi waliofanya hasa kuweza kutetea kata zao na kikubwa kuongeza kata 3 kwa kuinyang'anya ccm hakika sio jambo dogo,hii inatoa mwelekeo kuwa 2015 chadema kinaweza kuinyang'anya ccm viti vingi vya ubunge,udiwani na hata urais na kufanikisha kushika dola,chadema kinatakiwa 1.
kuongeza nguvu katika harakati zake za vuguvugu la mabadiliko,yaani movement for change(m4c) kuingia vijijini zaidi hadi ngazi ya mitaaa hadi kata kuwaelimisha wananchi juu ya sera zake na hata kuwapa wananchi elimu juu ya umuhimu wa kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na kushiriki zaidi kataka kupiga kura kwani vijana wengi hawakushiriki katika kupiga sababu hawana shahada za kupigia kura kwa kupoteza shahda au kutokujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,2.
Kufungua matawi katika kila mtaa,na ikiwezekana kuwa na mabalozi wao kabisa kama ccm inavyofanya ngazi ya shina,ili wananchi wapate elimu kupitia mabalozi huko huko ngazi ya shina na sio kusubiri mpaka viongozi wa kitaifa wa chadema waje kutoa elimu na hata kuuza kadi kwa wananchi,matawi yaliopo kwasasa ni machache sana na hayaendani na kasi ya mda ukidhingatia kuna miaka 2 imebaki nchi ingie ktk uchaguzi mkuu sasa nguvu kubwa inahitajika kuhakikisha chama kinafika chini kabisaa na kina kuwa na mabalozi wake.
Wakati umefika sasa chama kiweke vigezo vya wagombea hasa kielimu,kinidhamu na maadili,uwajibikaji na hata mvuto(nguvu ya ushawishi) kwa kuwashindanisha wagombea watarajiwa kwa wanachama ili kuchuja wanachama na kupata mgombea ambaye kweli atakua competance na amejitoa kwa dhati,,kwani uchaguzi huu wa udiwani kuna baadhi ya wagombea wa chadema hawakuwa na mvuto kwa wananchi ktk nyanja zote za kielimu,nidhamu na maadili n.k 4.
Kubaini mbinu zzote chafu zinazo fanywa na ccm kama rushwa na wizi wa kura ikishirikiana mawakala na hata tume ya uchaguzi kuhujumu kura za chadema,kwani ktk uchaguzi huu wa madiwani rushwa na michezo michafu imefanywa na ccm ikishirikiana na vyombo vya dola ili kuhujumu uchaguzi,5.
Hivi sasa kuibika ukatishaji tamaa viongozi wa chadema kupitia matokeo haya kupitia vyombo vya habari na mitandao wanachadema na viongozi wote wasikatishwe tamaa au kukubali kusimangwa kutokana matokeo haya udiwani ambayo kwangu nimeona ni mazuri japo sio kwa kiwango kilichotegewa lakini ikubalike kuwa chama kimepigana vya kutosha kimelinda viti vyake na kimeongeza viti sio jambo dogo ni jambo kubwa kwanini hata ccm ambaye amepoteza viti hivyo kisaikolojia hayupo safi ni sawa na mtu mwenye kidonda kibichi sasa tusikubali mtu wa namna hii atengeneze propaganda za ajabu kuhusu chadema kama alivyosiskika NAPE akikejeli eti chadema kinakufa na hata kuita movement for change kuwa movement for death,chadema isimwache mtu huyu atambe hata kidogo.bali imwadhibu kwa hoja na vitendo.
Mwisho niseme maisha yanaendelea kukata tamaa ni sawa na kukubali kifo mashabiki wa chadema na viongozi wa chadema sasa tuanze aharakati yaani kama ndio moto umemwagiwa mafuta,moto uliwashwa wa vuguvugu la mabadiliko ukabe kila kona ya nchi,2015 DOLA ITAKUWA CHINI YA CHADEMA,MUNGU IBARIKI CHADEMA,MUNGU IBARIKI TANZANIA.asanteni naomba kuwasilisha.