Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,320
- 23,020
Hata nikifa leo lakini namshukuru mungu kwa kuliondoa lile kafir. Asante munguhehehe kwani wewe hufi?
Hata nikifa leo lakini namshukuru mungu kwa kuliondoa lile kafir. Asante munguhehehe kwani wewe hufi?
CCM ni genge la kihalifu linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaCdm kina mimba inayowafanya wawe na tabia ya kuzirazira, hiyo mimba ikitolewa wataacha hizi tabia
Kuna swali lingine pia, sasa kwanini unaendelea kuwa chama cha siasa!?!Unaenda kufanya uchaguzi wa nini wakati matokeo yanajulikana
Hili ndio jibuChadema hawana fedha za kugharamia uchaguzi!
Hata nikifa leo lakini namshukuru mungu kwa kuliondoa lile kafir. Asante mungu
Umeona Mataga bana hopeless kabisaSi ndo mfurahie sasa nyie mboga mboga?
Unaweza hata ukaenda kuzikwa nae. Mtu aue watu kwa visasi kisha aitwe shujaa? Mnamtania mungu.basi kaaa utulie maaana ngoma droo alikua kafiri kafa na wewe unaojifanya msafi pia unakufa,
Bado tu unateseka!
Ndo maana nakupendaga EvaCDM haifi, hata ukitaka kuiua unatangulia wewe.
Ha ha haa aha haa. Itafikia kipindi wataogopa kuisema vibaya CDM maana hasira ya Mungu itawashukia.Kwa haraka haraka naamini hujui kitu , na napenda kukuonya kwamba ukiendelea kudhani Chadema inajimaliza basi kaa tayari kumalizika wewe mwenyewe , waangalie wenzio waliko hivi sasa
Wanapigwa na Maulana,sio Chadema.Kamuonye mwanao nyumbani.
Kwa hiyo mnawafanya nini wanaokujadilini?
Nasikia mnasubiri Marehemu atafufuka siku ya pasaka,namaana kesho.Chadema wameishiwa
Ha ha Haaa Mungu kafanya yake.Hata nikifa leo lakini namshukuru mungu kwa kuliondoa lile kafir. Asante mungu
Saccos ilishakufa Sasa nyumbu mnatafuta sababu za kushindwa kushiriki uchaguzi. Kalaleni muote Lissu kawa VP.Sasa si mmeachiwa MATAGA uwanja mjipe ushindi wa mezani mnaoita wa kishindo..
Tume yenu, wakurugenzi wenu, polisi wenu sasa shida iko wapi?
Aliyesema ataiua Chadema kafa yeyeChama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
CCM ndio Saccos tena ya Ngoshaz refer 2015-2021 ! Yaani kuna watu walitokea kusikojulikana nao wakaanza kutunishia wakongwe misuli sababu...wa mjomba,wa shangazi, wa baba mkubwa nkSaccos ilishakufa Sasa nyumbu mnatafuta sababu za kushindwa kushiriki uchaguzi. Kalaleni muote Lissu kawa VP.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app