Kama wasanii wa nyakati hizo walishindwa,tarajia kuimarika kwao zaidi ya kipindi linguine chochote.Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
Kamuonye mwanao nyumbani.Kwa haraka haraka naamini hujui kitu , na napenda kukuonya kwamba ukiendelea kudhani Chadema inajimaliza basi kaa tayari kumalizika wewe mwenyewe , waangalie wenzio waliko hivi sasa
Unaenda kufanya uchaguzi wa nini wakati matokeo yanajulikanaChama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
Unaenda kufanya uchaguzi wa nini wakati matokeo yanajulikana
shida ni jpm au ccm na tume yao?JPM si kaondoka?
Kwani sisi , Mungu ndio atakuondoaKamuonye mwanao nyumbani.
Kwa hiyo mnawafanya nini wanaokujadilini?
iko fresh 2025 with katiBa mpyaChama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
Inajimalizaje tena wakati mwaka juzi mlisema imekufa!Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
goodshida ni jpm au ccm na tume yao?
Kwikwikwi kafaaaa. Chali yaaniwaendelee ivo ivo na uchaguzi mkuu wasishiriki kabisa
Kwikwikwi kafaaaa. Chali yaani
Akili zilizochanganyika na haja kubwa ndiyo zinaweza kuja na hitimisho hilo.Freeman Mbowe ni kada wa CCM aliyepewa kazi kuiongoza Chadema.Hawataelewa leo.....
Na uzuri mifano hai ipo.CDM haifi, hata ukitaka kuiua unatangulia wewe.
Sasa huyu Edo Kumwembe na Chadema walitaka wana ccm wamchukie rais anayetokana na ccm?Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.
""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"
Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.
Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.
Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.
Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.
View attachment 1741976
Uchaguzi uliopita ccm waliingia na kura zilizopigwa tayari. Zote zikimpa ushindi yule marehemu. Pale ofisi za ccm kinondoni watoto waliitwa na kupewa makaratasi ya kura wakampigia magufuli na wagombea wote wa ccm. Waliahidiwa kupewa shng 5000 Ambzo hawajapewa.Cdm kina mimba inayowafanya wawe na tabia ya kuzirazira, hiyo mimba ikitolewa wataacha hizi tabia
Utakufa wewe kwanza,wenzako tayari wanahesabiwa huko.Sasa inajimaliza yenyewe
Watakufa kabla ya nyakati zao.Kamuonye mwanao nyumbani.
Kwa hiyo mnawafanya nini wanaokujadilini?