CHADEMA inajimaliza rasmi kisiasa

CHADEMA inajimaliza rasmi kisiasa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.

""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"

Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.

Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.

Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.

Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.

View attachment 1741976
Kama wasanii wa nyakati hizo walishindwa,tarajia kuimarika kwao zaidi ya kipindi linguine chochote.
 
Kwa haraka haraka naamini hujui kitu , na napenda kukuonya kwamba ukiendelea kudhani Chadema inajimaliza basi kaa tayari kumalizika wewe mwenyewe , waangalie wenzio waliko hivi sasa
Kamuonye mwanao nyumbani.

Kwa hiyo mnawafanya nini wanaokujadilini?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.

""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"

Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.

Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.

Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.

Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.

View attachment 1741976
Unaenda kufanya uchaguzi wa nini wakati matokeo yanajulikana
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.

""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"

Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.

Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.

Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.

Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.

View attachment 1741976
iko fresh 2025 with katiBa mpya
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.

""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"

Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.

Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.

Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.

Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.

View attachment 1741976
Inajimalizaje tena wakati mwaka juzi mlisema imekufa!
 
Cdm kina mimba inayowafanya wawe na tabia ya kuzirazira, hiyo mimba ikitolewa wataacha hizi tabia
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo juzi kimetoa tamko la kutoshirki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe utakaofanyika kujaza nafasi ya mbunge wake aliyefariki.

""Chadema kwenye Kamati Kuu ya jana tumekubaliana kwa pamoja kwamba sisi kama chama hatutashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe." Mhe. Benson Kigaila"

Kususa huku wasidhani ndiyo wanaimarisha demokrasia bali wanajipoteza kwenye ramani ya siasa.
Chama cha siasa kutoshiriki michakato ya kisiasa kwa makusudi inaashiria kwamba kimeamua kujiengua kutoka kwenye siasa kwa utaratibu wa kususia.

Kama walishiriki uchaguzi mkuu 2020 ni wazi sasa wameamua kufanya mambo mengine nje ya mstari wa demokrasia lakini kwa malengo yale yale kutwaa dola.

Nikikumbuka msimamo wa CHADEMA wakati wa sakata la majahili ya Kibiti ambapo viongozi wake na wabunge waliongea innfavor ya wauaji. Godbless Lema, John Mnyika na viongozi wengine walisimama bungeni na kusema wazi kwamba uwezekano wa mauaji yale kuendelea nchini au maeneo mengi upo kwa sababu HAKI IMEPOTEA NCHINI.... mpaka leo natafakari kama walizungumza hayo kwa kuwasilisha thinktank ya chama chao au waliamua kuongea binafsi. Ingawa hakuna mahala popote CHADEMA kukanusha au kukemea matamko yale. Ninachofahamu ni kwamba the big loss inayoombolezwa na CHADEMA kule Kibiti ni kupotea kwa ndugu yetu Azory Gwanda ambapo mpaka leo hajulikani yu wapi. Lakini hautakaa usikie CHADEMA ikielezea maisha ya Watanzania wengine yaliyokatishwa kikatili na magaidi wale wa Rifiji Kibiti.

Swali la kujiuliza, endapo CHADEMA inajiondoa kwenye siasa za wazi, wanajiandaa kufanya siasa za aina gani?
Viongozi wake wakuu wapo nje ya nchi na wapo kimya sana ambapo inaonyesha kuna jambo wanalipanga au wanatarajia kulipanga kama mbadsla wa siasa za wazi.

View attachment 1741976
Sasa huyu Edo Kumwembe na Chadema walitaka wana ccm wamchukie rais anayetokana na ccm?

Au anafikiri Rais Samia anatekeleza ilani ya Chadema?

Hii jamhuri ya twita inasikitisha sana
 
Cdm kina mimba inayowafanya wawe na tabia ya kuzirazira, hiyo mimba ikitolewa wataacha hizi tabia
Uchaguzi uliopita ccm waliingia na kura zilizopigwa tayari. Zote zikimpa ushindi yule marehemu. Pale ofisi za ccm kinondoni watoto waliitwa na kupewa makaratasi ya kura wakampigia magufuli na wagombea wote wa ccm. Waliahidiwa kupewa shng 5000 Ambzo hawajapewa.
Wasimamizi wa uchaguzi walifungua Vituo saa 9 usiku kukipigia Kira za ndiyo ccm .
Kilichotokea baada ya miezi mine baadae tunamshukuru mungu kwa kila jambo.
Wewe ndiyo una mimba ya ubongo mkuu. Kama unaamini uchaguzi ule ulikuwa huru na wa haki
 
Back
Top Bottom