CHADEMA ina Wanachama wangapi?

CHADEMA ina Wanachama wangapi?

Sikieni enyi kizazi hiki. Mwaka 2013 kutaanza migogoro ndani ya CHADEMA, 2014 kitagawanyika vipande vitatu ndipo watanzania mtakapo amini maneno haya.

Asomaye na afahamu.
Makundi yenyewe yatakuwa haya niyataje?
 
Chadema ina wanachama mimi nikiwemo .
Chadema ina wapiga kura subiri uone,imebaki miaka 3
Hata mimi nilikuwa mwanachama wa CHADEMA ila nimerudisha kadi pale jangwani juzi. Baada ya miaka mitatu utaona ambavyo wananchi wametambua kuwa kweli CDM ni walaghai.
 
Muuli hza swali ni sawa na mtu anayeweza kuuliza " Hivi niko hai?" Huo ni uzandiki, wewe unaishi wapi kwa yanayotendeka hapa Tz? Chaguzi zinafanyika, mikutano inafanyika, watu kibao hususa toka chama cha magamba sisiemu wanajiunga na wewe ni shahidi kwa mimacho yako unaona. Wataka nini?
 
Sikieni enyi kizazi hiki. Mwaka 2013 kutaanza migogoro ndani ya CHADEMA, 2014 kitagawanyika vipande vitatu ndipo watanzania mtakapo amini maneno haya.

Asomaye na afahamu.
Makundi yenyewe yatakuwa haya niyataje?

Siku hizi WASIRA amewaambukiza watu wengi UMBEA, ona huyu sasa, watu maisha yameshawapiga unatuletea mambo ya kinanii hapa! U NEED :help:
 
Kisinge sajiliwa kama hakina wanachama.Kumbuka vigezo vya kuwa chama cha siasa
 
Kwani CCM na CDM jumla yaweza kuwa na wanachama wangapi ukilinganisha na idadi ya WAtanzania waliopo kwa sasa?. Hii dhana ya wanachama ni mbinu ya kiwizi tu hakuna jipya!!. Na hii dhambi ya wizi itawaua tu. Huwezi kuwa unaiba kila siku then Mungu yupo anakuona na pia unaenda nyumba za ibada bila ya kutubu na kuacha hiyo tabia. Hivi unajisikiaje kuiba kura kwa kuficha kwenye ma hotpot ya vyakula na ukalazimisha watu wengine waache shughuli zao ili eti kulinda kura zao ziibiwe. hii ndo inaitafuna CCM na watu wengi waungwana inawakera lakini pia inaondoa credibility ya CCM kuwa ni wasafi.
 
ccm ilikuwa na wanachama milioni 4 wakati vyama vingi vinaanza leo pamoja na kukiri kuwa wengi wameondoka kinasema kina wanachama mil 6.yaani kwa ccm 4-2=6.

wanachama ni kwa ajili ya simba na yanga na si kwenye maswala muhimu yanayohusu maisha ya watu.

marekani na uingereza mnakopeleka bakuli kila siku fuatilia vyama vyao vina wanachama wangapi?
 
Mtaji wa chama chochote kinahitaji kura za walio wengi ili kiingie madarakani, kwa bahati mbaya chadema imeweza tu kushawishi kundi dogo la wasomi waiunge mkono. Kwa tafsiri rahisi ni kua kwa kua wajinga wanaongezeka ccm itatawala daima
 
Mtaji wa chama chochote kinahitaji kura za walio wengi ili kiingie madarakani, kwa bahati mbaya chadema imeweza tu kushawishi kundi dogo la wasomi waiunge mkono. Kwa tafsiri rahisi ni kua kwa kua wajinga wanaongezeka ccm itatawala daima
Mmmmmh, miluka pambele!
 
Mtaji wa chama chochote kinahitaji kura za walio wengi ili kiingie madarakani, kwa bahati mbaya chadema imeweza tu kushawishi kundi dogo la wasomi waiunge mkono. Kwa tafsiri rahisi ni kua kwa kua wajinga wanaongezeka ccm itatawala daima
Wasomi ndio mtaji na uwekezaji mkubwa na wajinga wanapungua siku hadi siku na hatimaye watakwisha
 
Ifike mahali tujue definition ya Wasomi...Wasomi ni nani haswa....? Na wasio wasomi ni kina nani?
 
Ifike mahali tujue definition ya Wasomi...Wasomi ni nani haswa....? Na wasio wasomi ni kina nani?
Definition ya wasomi ni wasio wajinga. Wajinga wakiongozwa na jingalao.

Uzuri wanaweza kutolewa ujinga wakijiunga na Chama kisicho cha wajinga.
 
Sisi janja yetu ni kuzuia bunge kutokuonekana na wananchi na kuzuia mikutano ya hadhara yakirusiwa haya tutabaki uchi kwani hatukubaliki ndo maana hatuna hoja za kumshawishi raia
 
Back
Top Bottom