CHADEMA ina mwezi na nusu tu wa kufanya siasa!

CHADEMA ina mwezi na nusu tu wa kufanya siasa!

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,979
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa.

Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui.

Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
 
Walishajitoa.......! Nami niliwapongeza kwa kujitoa, kwa sababu zinazojulikana. Kuna sababu zipi zinazotisha, kila uchao kumjadii aliyekwisha jitoa.?! Japo the hidden facts/ reasons zipo......... "Anayeua anapambana na nafsi yake kuiambia mi' sijaua", anatamani hata nafsi yake atengane nayo, lakini haiwezekani.
 
Inakuuma nini wasipofanya hizo siasa?
Watakaofanya waachwe wafanye .
Mimi binafsi sintoshiriki shughuli yeyote ya kisiasa kuhusiana na uchaguzi na wala sintopiga kura .
2020 sikupiga kura na hii 2025 sitegemei kumpigia kura yeyote yule kama mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi hayatafanyika
 
Inakuuma nini wasipofanya hizo siasa?
Watakaofanya waachwe wafanye .
Mimi binafsi sintoshiriki shughuli yeyote ya kisiasa kuhusiana na uchaguzi na wala sintopiga kura .
2020 sikupiga kura na hii 2025 sitegemei kumpigia kura yeyote yule kama mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi hayatafanyika
Kura yako haisaidii kitu.
Mama mitano tena
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa. Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui. Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
kukataliwa na mtu wako wa karibu tena hadharini ni kitu mbaya sana gentleman, dah 🐒
 
Yaani cdm haitamani kushiriki chaguzi za kihuni, wala kujutia kutosaini kanuni za kipuuzi. Cdm itafanya siasa muda wowote na sisi tunaisikia. Kama mmewapa pesa hao cdm maslahi ili ionekane cdm kuna mpasuko, basi mmeukalia. Kama nia kuelewana nao hao waitisha press, elewaneni nao nyinyi maana ndio mnawatumia.
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa. Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui. Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
Kura.jpg
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa. Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui. Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
Dawa imekuingia
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa. Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui. Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
Nini maana ya siasa mkuu???
 
Mkuu si ndio vizuri mpite kwa kishindo, au?

Wale jamaa muda wote wanawaza chadema, hawana hoja, hawana akili wameacha kupiga mapambie ya mitano tena. Sasa kazi yao kuikosoa na kupiga dua la kuku kwa chadema

Uzuri, watumishi wa dini, umoja wa ulaya, jumuia za mawakili wa kimataifa, tume ya haki za binadamu, vyombo vya habari vya kimataifa wanaona maovu yanayofanywa na chama tawala

Kwa hali hiyo watawadanganya nini wananchi, ambao nao wanataka mabadiliko, wamechoka kutawaliwa na viongozi batili
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa.

Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui.

Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tuu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa.

Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui.

Hii imebuma frankly speaking. Hakuna hata chama kingine Chochote kiliungana na CHADEMA katika mrengo huo.

Wakumbuke hivi Sasa vyama vya siasa havijaanza heka heka za kampeni na kujinadi. Baada ya julai 2025 siasa za kampeni zitakapoanza, na Kila chama kujipambania mustakabali wake, Wakati huo huo CHADEMA ikiwa imeshatangazwa kuwa haimo katika mbio za uchaguzi mwaka huu, CHADEMA haitasikika tena.

Hiyo ligi itakapoanzs yenye CCM kama chama tawala, na vyama vingine 17 vinavyotafuta kujiinua, plus more than G55 wanaoendelea kutoka CHADEMA, hakika hawatapumua.

Bado nawashauri, tafuteni na jengeni reconciliation ya ndani kabla haijawa too late.
CDM mtamtafuta Mbowe kwa machozi na hatarudi, kuna hekima ya kuongoza chama kikubwa kama CDM ati!
 
Hadi Sasa badala ya kutafuta walipojikwaa humo ndani mwao, wanakazana na siasa za kuchoganisha Dola na Makanisa. Kampeni hii kwa ukweli imebuma maana hakuna Kanisa lililoshawishika kwa utoto wao hui. Hii imebuma frankly speaking.

Leo kwa sisi wakatoliki ni Jumapili ya 4 ya Pasaka na Injili ya leo ilielezea kuhusu "Mchungaji Mwema"

Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi nawajua, nao hunifuata. Mimi nawapa uhai wa milele; nao hawatapotea milele, wala hakuna mtu atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu. Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wala hakuna awezaye kuwatoa mikononi mwake Baba. Mimi na Baba, tu mmoja.”

Sasa baada ya some la Injili yakafuatiwa na mahubiri mazito kutoka kwa Padri.

Mahubiri yake yalihusisha someo la leo na la uchungaji mwema akimfananisha na kiongozi mwema .

sasa akalihusisha na uongozi wa Tanzania na masuala yanayojiri sasa kwenye Uongozi wa Tanzania .

Alieleza kabisa bila kumung'unya maneno utekaji wa raia, ukiukaji wa haki za raia, ni masuala ambayo yapo kinyume na somo la leo hivyo viongozi wote waliopo madarakani wabadilike wawe kama Yesu alivyojitabanaisha kama mchungaji mwema .

Yule padri aliua sana kanisa lote lilikuwa kimya wakimsikiliza kwa makini bahati mbaya huwa siingii kanisani na simu ninemrekodi.

Kaukandia sana uongozi wa samia pamoja na polisi waziwazi bila kuogopa.

Kulikuwa na vijamaa vya mbogamboga ninavyovijua tunasali navyo vikawa vinajifanya vinaangalia chini kwa aibu
 
Back
Top Bottom