CHADEMA ina demokarasia ya Miujiza

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
CHADEMA INA DEMOKRASIA YA MIUJIZA

Nimemsikiliza mtani wangu Mbowe ambaye hujinadi kuwa CHADEMA kuna demokrasia lakini nchi haina demokrasia. Alichosema nikajiuliza hivi hii ndio demokrasia ndani ya CHADEMA?

Mbowe anasema hivi: baada ya yeye kushauriana na viongozi wenzake amemshauri Lissu achukue fomu ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa chama chake! Hivi hii ndio demokrasia sampuli ya wapi? Mwenyekiti kumshauri mtu agombee kuwa msaidizi wake! Kuna maswali mengi! Hivi wenzake wenye nia ya kugombea nafasi hiyohiyo wana chao?

Mwenyekiti pamoja na hao viongozi alioshauriana nao tayari wameshampa mgombea mmoja kura zao! Na hakika wamewatangazia wapiga kura kuwa huyu ndiye mumpe kura! Hii kwa kweli kama ni demokrasia basi udikteta ni mzuri mno!

Swali jingine ni hili: Kwa nini Mbowe hakumshauri Lissu agombee nafasi yake? Alijuaje Lissu anataka umakamu na sio kiti chake? Haiwezekani Mbowe kahami kiti chake dhidi ya mtu aliyehisi anakinyemelea? Hii nayo ni demokrasia ya mtori nyama kuzama chini

Katika hotuba hiyo Mbowe anaendelea kusema: Nilitaka kujiuzulu lakini sioni WA kumuachia chama! Toba maulana!
Mbowe kasahau si muda mrefu aliwahi kusema hawezi kuachia kwa kushinikizwa na CCM isipokuwa kwa kuambiwa na wanachama wake? Hili wazo kuwa alitaka kujiuzulu limemjia lini? Tushike lipi? Alitaka kujiuzulu au hatajiuzulu kwa shinikizo la CCM?

Lakini tujiulize tena! Si huyu Mbowe anaijitapa kajenga chama imara? Chama imara kinakosa mtu wa kumpokea uenyekiti? Ina maana kuanzia kina Lema, Heche, Selasini, Sugu, Msigwa, Halima, Bulaya na wenzao woote hawafai kushika uenyekiti? Ni Mbowe Tu?

Lakini Lema hakubaliani na Mbowe! Leo wakati akijaribu kushawishi wajumbe wampe kura kuwa Mkiti kanda ya Uchagani kasema hivi: anataka uenyekiti Kanda ili ajiandae kuja kuwa Mkiti Taifa! Aisee kweli mbwa usiyemlisha humtumi!

Linakuja swali: Ina maana labda Lema keshaambiwa akitoka Mbowe ni yeye? Kiruuu! Ni kupokezana kichaga kama kata ya mbeke? Hii kweli saccos ina wenyewe!

Pole yao kina Sumaye na ambao sio members wa inner circle!
 
CCM kwanini kuwasema chadema na sera zao...CHADEMA inaonewa wivu? kama chadema ni chama kibovu ndio vizuri kishindwe kwenye uchaguzi... tutafute ya kuandika jamani..
 
Nyie CCM mwakani ili kuwaonyesha CHDEMA kuwa hawana kabisa Demokrasia fanyeni hivi;

Mwacheni Balozi Dr W Slaa agombee urais, na mumpitishe awe candidate wa CCM uchaguzi mkuu ujao 2020!
 
Nyie CCM mwakani ili kuwaonyesha CHDEMA kuwa hawana kabisa Demokrasia fanyeni hivi;

Mwacheni Balozi Dr W Slaa agombee urais, na mumpitishe awe candidate wa CCM uchaguzi mkuu ujao 2020!
Huo ni utoto. Chadema wanatakiwa kufanya kilicho sahihi. Sio wafanye ili kutafuta sifa au kupimana ubavu na chama dola li Ccm
 
Huo ni utoto. Chadema wanatakiwa kufanya kilicho sahihi. Sio wafanye ili kutafuta sifa au kupimana ubavu na chama dola li Ccm
Yaani Dr Slaa kugombea urais kupitia CCM mwakani ni utoto?

Sumaye kugombea uenyekiti ni utu uzima?

Mnaona mna akili nyie tu!?
 
Na lissu naye anakubali kabisaa
Ilhali anajua kuwa huu ndiyo wakati wake ambao anaushawishi kiasi kwa watanzania na ameshindwa kutumia karata yake hivyo

Baadae kuna mlevi toka makutupola atasema lissu ni genius

Binafsi nimeelewa ni kwanini jamaa anaitwa TUNDU
 
Yaani Dr Slaa kugombea urais kupitia CCM mwakani ni utoto?

Sumaye kugombea uenyekiti ni utu uzima?

Mnaona mna akili nyie tu!?
Lowasa akumaliza hata mwezi ndani ya Chadema akapewa nafasi ya kugombea Urais. That was a very very upumbavu wa karne hii.
 
Wewe kama uko CCM kwenye democrasia kama hii ya juzi uchaguzi wa serikali za mitaa. Endelea kukaa huko huko. CHADEMA inakuwashia nini? Sikutegemea kijani mtanashati kama wewe tena mchaga kuikosoa CHADEMA. Endelea kumfulia nguo polepole
 
CHADEMA INA DEMOKRASIA YA MIUJIZA

Nimemsikiliza mtani wangu Mbowe ambaye hujinadi kuwa CHADEMA kuna demokrasia lakini nchi haina demokrasia. Alichosema nikajiuliza hivi hii ndio demokrasia ndani ya CHADEMA?

Mbowe anasema hivi: baada ya yeye kushauriana na viongozi wenzake amemshauri Lissu achukue fomu ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa chama chake! Hivi hii ndio demokrasia sampuli ya wapi? Mwenyekiti kumshauri mtu agombee kuwa msaidizi wake! Kuna maswali mengi! Hivi wenzake wenye nia ya kugombea nafasi hiyohiyo wana chao?

Mwenyekiti pamoja na hao viongozi alioshauriana nao tayari wameshampa mgombea mmoja kura zao! Na hakika wamewatangazia wapiga kura kuwa huyu ndiye mumpe kura! Hii kwa kweli kama ni demokrasia basi udikteta ni mzuri mno!

Swali jingine ni hili: Kwa nini Mbowe hakumshauri Lissu agombee nafasi yake? Alijuaje Lissu anataka umakamu na sio kiti chake? Haiwezekani Mbowe kahami kiti chake dhidi ya mtu aliyehisi anakinyemelea? Hii nayo ni demokrasia ya mtori nyama kuzama chini

Katika hotuba hiyo Mbowe anaendelea kusema: Nilitaka kujiuzulu lakini sioni WA kumuachia chama! Toba maulana!
Mbowe kasahau si muda mrefu aliwahi kusema hawezi kuachia kwa kushinikizwa na CCM isipokuwa kwa kuambiwa na wanachama wake? Hili wazo kuwa alitaka kujiuzulu limemjia lini? Tushike lipi? Alitaka kujiuzulu au hatajiuzulu kwa shinikizo la CCM?

Lakini tujiulize tena! Si huyu Mbowe anaijitapa kajenga chama imara? Chama imara kinakosa mtu wa kumpokea uenyekiti? Ina maana kuanzia kina Lema, Heche, Selasini, Sugu, Msigwa, Halima, Bulaya na wenzao woote hawafai kushika uenyekiti? Ni Mbowe Tu?

Lakini Lema hakubaliani na Mbowe! Leo wakati akijaribu kushawishi wajumbe wampe kura kuwa Mkiti kanda ya Uchagani kasema hivi: anataka uenyekiti Kanda ili ajiandae kuja kuwa Mkiti Taifa! Aisee kweli mbwa usiyemlisha humtumi!

Linakuja swali: Ina maana labda Lema keshaambiwa akitoka Mbowe ni yeye? Kiruuu! Ni kupokezana kichaga kama kata ya mbeke? Hii kweli saccos ina wenyewe!

Pole yao kina Sumaye na ambao sio members wa inner circle!

Yaani hayo ni masharti kwa waliomchukulia fomu ya kugombea Uwenyekiti. Hii ni sawa na kusema kwamba "Kama mnataka mimi kuwa Mwenyekiti wenu basi Makamu wangu lazima awe Lissu" ... (Makofi .......)
 
Nimevunjika Moyo na yanayoendelea nasubiri 18th kuona mabadiliko ya uongozi ..

Kama hakuna tuendelee Kuona CCM wakiendelea kutamba.
 
mtu anayebisha hapa ni yule ambaye alidanganywa kuwa CDM kuna demokrasia, akajiaminisha hivyo,

anaona aibu kukubaki huu uchafu
 
CHADEMA INA DEMOKRASIA YA MIUJIZA

Nimemsikiliza mtani wangu Mbowe ambaye hujinadi kuwa CHADEMA kuna demokrasia lakini nchi haina demokrasia. Alichosema nikajiuliza hivi hii ndio demokrasia ndani ya CHADEMA?

Mbowe anasema hivi: baada ya yeye kushauriana na viongozi wenzake amemshauri Lissu achukue fomu ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa chama chake! Hivi hii ndio demokrasia sampuli ya wapi? Mwenyekiti kumshauri mtu agombee kuwa msaidizi wake! Kuna maswali mengi! Hivi wenzake wenye nia ya kugombea nafasi hiyohiyo wana chao?

Mwenyekiti pamoja na hao viongozi alioshauriana nao tayari wameshampa mgombea mmoja kura zao! Na hakika wamewatangazia wapiga kura kuwa huyu ndiye mumpe kura! Hii kwa kweli kama ni demokrasia basi udikteta ni mzuri mno!

Swali jingine ni hili: Kwa nini Mbowe hakumshauri Lissu agombee nafasi yake? Alijuaje Lissu anataka umakamu na sio kiti chake? Haiwezekani Mbowe kahami kiti chake dhidi ya mtu aliyehisi anakinyemelea? Hii nayo ni demokrasia ya mtori nyama kuzama chini

Katika hotuba hiyo Mbowe anaendelea kusema: Nilitaka kujiuzulu lakini sioni WA kumuachia chama! Toba maulana!
Mbowe kasahau si muda mrefu aliwahi kusema hawezi kuachia kwa kushinikizwa na CCM isipokuwa kwa kuambiwa na wanachama wake? Hili wazo kuwa alitaka kujiuzulu limemjia lini? Tushike lipi? Alitaka kujiuzulu au hatajiuzulu kwa shinikizo la CCM?

Lakini tujiulize tena! Si huyu Mbowe anaijitapa kajenga chama imara? Chama imara kinakosa mtu wa kumpokea uenyekiti? Ina maana kuanzia kina Lema, Heche, Selasini, Sugu, Msigwa, Halima, Bulaya na wenzao woote hawafai kushika uenyekiti? Ni Mbowe Tu?

Lakini Lema hakubaliani na Mbowe! Leo wakati akijaribu kushawishi wajumbe wampe kura kuwa Mkiti kanda ya Uchagani kasema hivi: anataka uenyekiti Kanda ili ajiandae kuja kuwa Mkiti Taifa! Aisee kweli mbwa usiyemlisha humtumi!

Linakuja swali: Ina maana labda Lema keshaambiwa akitoka Mbowe ni yeye? Kiruuu! Ni kupokezana kichaga kama kata ya mbeke? Hii kweli saccos ina wenyewe!

Pole yao kina Sumaye na ambao sio members wa inner circle!
Sijui kama unajua JPM naye alishawishia kugombea urais miaka miwili kabla
 
CHADEMA INA DEMOKRASIA YA MIUJIZA

Nimemsikiliza mtani wangu Mbowe ambaye hujinadi kuwa CHADEMA kuna demokrasia lakini nchi haina demokrasia. Alichosema nikajiuliza hivi hii ndio demokrasia ndani ya CHADEMA?

Mbowe anasema hivi: baada ya yeye kushauriana na viongozi wenzake amemshauri Lissu achukue fomu ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa chama chake! Hivi hii ndio demokrasia sampuli ya wapi? Mwenyekiti kumshauri mtu agombee kuwa msaidizi wake! Kuna maswali mengi! Hivi wenzake wenye nia ya kugombea nafasi hiyohiyo wana chao?

Mwenyekiti pamoja na hao viongozi alioshauriana nao tayari wameshampa mgombea mmoja kura zao! Na hakika wamewatangazia wapiga kura kuwa huyu ndiye mumpe kura! Hii kwa kweli kama ni demokrasia basi udikteta ni mzuri mno!

Swali jingine ni hili: Kwa nini Mbowe hakumshauri Lissu agombee nafasi yake? Alijuaje Lissu anataka umakamu na sio kiti chake? Haiwezekani Mbowe kahami kiti chake dhidi ya mtu aliyehisi anakinyemelea? Hii nayo ni demokrasia ya mtori nyama kuzama chini

Katika hotuba hiyo Mbowe anaendelea kusema: Nilitaka kujiuzulu lakini sioni WA kumuachia chama! Toba maulana!
Mbowe kasahau si muda mrefu aliwahi kusema hawezi kuachia kwa kushinikizwa na CCM isipokuwa kwa kuambiwa na wanachama wake? Hili wazo kuwa alitaka kujiuzulu limemjia lini? Tushike lipi? Alitaka kujiuzulu au hatajiuzulu kwa shinikizo la CCM?

Lakini tujiulize tena! Si huyu Mbowe anaijitapa kajenga chama imara? Chama imara kinakosa mtu wa kumpokea uenyekiti? Ina maana kuanzia kina Lema, Heche, Selasini, Sugu, Msigwa, Halima, Bulaya na wenzao woote hawafai kushika uenyekiti? Ni Mbowe Tu?

Lakini Lema hakubaliani na Mbowe! Leo wakati akijaribu kushawishi wajumbe wampe kura kuwa Mkiti kanda ya Uchagani kasema hivi: anataka uenyekiti Kanda ili ajiandae kuja kuwa Mkiti Taifa! Aisee kweli mbwa usiyemlisha humtumi!

Linakuja swali: Ina maana labda Lema keshaambiwa akitoka Mbowe ni yeye? Kiruuu! Ni kupokezana kichaga kama kata ya mbeke? Hii kweli saccos ina wenyewe!

Pole yao kina Sumaye na ambao sio members wa inner circle!

Aisee Mbowe anawaumiza sana kichwa yule jamaa dah
Kila uzi ni Mbowe Mbowe, swali ni moja tu je kwa hayo mambo amevunja sheria? Kama ajavunja then hata kama akimwambia mke wake awe makamu wake kuna shida gani?
 
Nimevunjika Moyo na yanayoendelea nasubiri 18th kuona mabadiliko ya uongozi ..

Kama hakuna tuendelee Kuona CCM wakiendelea kutamba.

Hayo mabadiliko yatafanya nn? Hakuna mtanzania yoyote mwenye kuleta kitu cha ajabu kwenye chama cha upinzani,
 
Na lissu naye anakubali kabisaa
Ilhali anajua kuwa huu ndiyo wakati wake ambao anaushawishi kiasi kwa watanzania na ameshindwa kutumia karata yake hivyo

Baadae kuna mlevi toka makutupola atasema lissu ni genius

Binafsi nimeelewa ni kwanini jamaa anaitwa TUNDU

Kwamba ww una akili zaid na ufahamu zaid ya tundu lissu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom