Chadema imeshinda tena!

Kikwete ni kada mzuri sana wa chama chake cha CCM, lakini tatizo linalokuja ni kua ni mgumu mno kufanya maamuzi mazito kuwawajibisha wanaoifilisi nchi hii, tukichukulia mfano wa marehemu baba wa taifa (Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amina). Baba wa taifa alikua ndio msimamizi wa harusi ya marehemu Oscar Kambona kule uingereza lakini pamoja na yeye kua ni mpambe wa bwana harusi yule kwenye kazi alimuwajibisha Oscar Kambona bila kumuonea haya! sasa huu ndio uongozi makini, kazi ni kazi! urafiki weka pembeni. Pamoja na Raisi Kikwete kulivunja baraza hili la mawaziri hatutapenda kuona waziri fulani ambaye sisi Watanzania tunajua alikua ni mla rushwa na fisadi eti ametolewa wizara fulani halafu akapangwa wizara fulani, bado uozo utabaki palepale! Tunalingojea kwa hamu kabisa baraza hili jipya.
 
Sultani Kambe
Join Date : 26th April 2012

Posts : 21
Rep Power : 305
Likes Received0
Likes Given0


Una post 21 Huna like hata moja basi hamia facebook maana huna point unayotoa humu zaidi ya kutapatapa.
 
Huu ni ushindi mkubwa kwa CDM kufuatia kukubalika kwa hoja na mantiki za hoja.
CCM ilijua ni upepo kumbe ni kimbunga. JK kuvunja baraza la Mawaziri ni kudhihirisha sasa kuna taa nyekundu inawaka na inakuja kwa kasi.
Aliona kuna walakini hoja ya Zitto ikipita watapata aibu kubwa sana???

JK anamkosi au ninini?????
Hana mkosi bali ana mtindio wa ubongo
 
Anachelewa kuzungukazunguka nchi za ng'ambo huku watu wake wanajibolongea tu na kufuj fedha za Umma, tuanataka achukue hatua kama ilivyoainisha ripoti ya CAG na sio kuleta usanii na kuvua mawaziri tu wa kati tunajua na makatibu wakuu wa wizara ndo wahusika wakuu.
 
Kikwete ni kada mzuri sana wa chama chake cha CCM, lakini tatizo linalokuja ni kua ni mgumu mno kufanya maamuzi mazito kuwawajibisha wanaoifilisi nchi hii, tukichukulia mfano wa marehemu baba wa taifa (Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi amina). Baba wa taifa alikua ndio msimamizi wa harusi ya marehemu Oscar Kambona kule uingereza lakini pamoja na yeye kua ni mpambe wa bwana harusi yule kwenye kazi alimuwajibisha Oscar Kambona bila kumuonea haya! sasa huu ndio uongozi makini, kazi ni kazi! urafiki weka pembeni. Pamoja na Raisi Kikwete kulivunja baraza hili la mawaziri hatutapenda kuona waziri fulani ambaye sisi Watanzania tunajua alikua ni mla rushwa na fisadi eti ametolewa wizara fulani halafu akapangwa wizara fulani, bado uozo utabaki palepale! Tunalingojea kwa hamu kabisa baraza hili jipya.

Am sorry to tell you this, but don't rise your hopes. Kikwete hana hata clue ya kipi kinatakiwa kifanyike kuongoza nchi atawezaje kuteua mawaziri bora (assuming atalivunja kweli genge lake la sasa - halistahili kuitwa baraza la mawaziri)?

Kumbuka team organization depends on the objectives intended to be achieved with the policies and strategies to be used to achieve them. Tutegemee at best more of the same, but I fear the worst.
 
Kikwete alifikiria weeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!
Akatambua kitendo cha kugoma kufanya mabadiliko hawa jamaa wangeingia barabarani.

Viva CHADEMA
 
Huu ni ushindi mkubwa kwa CDM kufuatia kukubalika kwa hoja na mantiki za hoja.
CCM ilijua ni upepo kumbe ni kimbunga. JK kuvunja baraza la Mawaziri ni kudhihirisha sasa kuna taa nyekundu inawaka na inakuja kwa kasi.
Aliona kuna walakini hoja ya Zitto ikipita watapata aibu kubwa sana???

JK anamkosi au ninini?????

Kama atalibadilisha baraza la mawaziri na kuleta watu wachapa kazi na waadilifu utakuwa ni ushindi wa Watanzania wote. Hata hivyo, CDM na baadhi ya Wabunge wa CCM watang'ara zaidi kwa kusimamia hoja hii. Bi Kiroboto na Kigwangala wataendelea kupwaya zaidi kwani wao wanaamini "Chama Kwanza, Watanzania baadae".
 
JK kusema ana mkosi ni kisingizio cha mwaka!!!!!!!!!!!!!, he is simply not proactive; maswahiba wamemuelemea, alidhani Ikulu ni mahali pa kuchukua sabatical leave sasda anaonja shubiri ya Ikulu. mwenyewe mwenye nchi JKN aliasa " Ikulu ni mzigo" wakafikiri utani.
 
hawastaili hizo sifa hata kwa chembe, shame on you

Mwenzio jk chupi zinampwelepweta hajui afanye nn,kujiuzulu bila hatua zaid ni kukubaliana na walotenda ya kuwa waliteleza.Yale yale ya kina Msabaha,mnaendelea kuleta shida na kuongeza den la taifa kwa uzembe wenu.Lakin ipo siku mtalipia dhuruma zenu.
 
Back
Top Bottom