Msambwata
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,307
- 1,499
- Thread starter
- #21
Mkuu punguza hasira. Twende nao taratiiibUtanyooka wewe bwege mshika bendera usiojielewa na mafisi wenzako,hapa kazi kwa kubolea wanyonge nyumba zao, au hapa kazi kwa kuwalaza watanzania na njaa kwenda fisi maji wewe,eti anachukua rushwa na wakati anahonga na kununua watu,
Sent from my VFD 500 using JamiiForums mobile app