Msambwata
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,307
- 1,499
Wadau, hivi karibuni kuna wimbi la watu kuhama hama vyama vya siasa. Ila kwa muonekano na uzoefu, mi naona CCM isijisifu sana maana wote waliowapokea Leo in matatizo tu.
1: Katambi - Huyu ni mzigo tangu chuo nilibahatika kusoma nae na alifeli kuendesha kampuni la uwakili...hawezi kujisimamia hadi hasimamiwe. Uingozi CDM ulimweka kando maana alishtukiwa kuwa ni ndumi-la-kuwili na hana ushawishi
2: Kitila, Msando na Samson: Hawa tunawajua kuwa walitimuliwa CDM kwa usaliti wakaenda ACT nako bado ZZK akawanao chonjo
3: L. Nyalandu: Huyu ni Mbunge wa jimbo ambaye amekubali kuachia ubunge wa jimbo na kuvua NYADHIFA zote za CCM na juzi kajiunga CDM.
4: Masha: Huyu anapenda sana kuonewa huruma. Alianza kutiliwa mashaka EMMA advocate kwa ulalamishi na hashindagi case mahakamani kama akina Hon Fatma Karume.
Huyu aliihama CCM kumfata 'MTU' ambapo aliamini huyo MTU angeshinda angepata cheo ila tangu ahamie CdM hakuwa na impact yoyote. Na ndie amemshawishi Katambi kuhama ili afanye nae kazi hiko Gabriel Advocate ( Masha, Msando & Katambi=Gabriel Advocate)
So ukitafakari kwa makini mi naona bado ACT au CDM hawajapoteza Ila CCM ndo wamepoteza kwa kiasi kikubwa.
Maana hao waliojiunga CCM Leo wote hakuna mwenye uwezo wa kugombea ubunge au udiwani wakafanikiwa....
+49 40 361 226 49150
1: Katambi - Huyu ni mzigo tangu chuo nilibahatika kusoma nae na alifeli kuendesha kampuni la uwakili...hawezi kujisimamia hadi hasimamiwe. Uingozi CDM ulimweka kando maana alishtukiwa kuwa ni ndumi-la-kuwili na hana ushawishi
2: Kitila, Msando na Samson: Hawa tunawajua kuwa walitimuliwa CDM kwa usaliti wakaenda ACT nako bado ZZK akawanao chonjo
3: L. Nyalandu: Huyu ni Mbunge wa jimbo ambaye amekubali kuachia ubunge wa jimbo na kuvua NYADHIFA zote za CCM na juzi kajiunga CDM.
4: Masha: Huyu anapenda sana kuonewa huruma. Alianza kutiliwa mashaka EMMA advocate kwa ulalamishi na hashindagi case mahakamani kama akina Hon Fatma Karume.
Huyu aliihama CCM kumfata 'MTU' ambapo aliamini huyo MTU angeshinda angepata cheo ila tangu ahamie CdM hakuwa na impact yoyote. Na ndie amemshawishi Katambi kuhama ili afanye nae kazi hiko Gabriel Advocate ( Masha, Msando & Katambi=Gabriel Advocate)
So ukitafakari kwa makini mi naona bado ACT au CDM hawajapoteza Ila CCM ndo wamepoteza kwa kiasi kikubwa.
Maana hao waliojiunga CCM Leo wote hakuna mwenye uwezo wa kugombea ubunge au udiwani wakafanikiwa....
+49 40 361 226 49150