stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,385
- 3,494
Mimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!View attachment 1787609View attachment 1787611View attachment 1787613View attachment 1787614
ukweli mnaotakiwa kumeza ni huu apa