CHADEMA imekufa? Nani huwa anawadanganya CCM?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Mimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?

Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?

Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?

Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.

Magufuli amekufa kabla ya kuiua Chadema mjiulize why? CHADEMA ni mpango wa Mungu Muda utaongea.

Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!
 
Print hii takataka yako kachambie chooni
 
Mkitano wa mwaka 2010
 
CHADEMA FOR LIFE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm wengi wao ni watu wa ndiyo ndiyo ili mradi tu siku imepita
 
Bavicha kwa kujifariji!

Sasa hapo kuna kipi kipya wakati hata ADC inaweza kufanya mkutano mkubwa zaidi ya huo?
 
Yaani kuna kitu wanaita nyakati ni kitu kibaya sana
Kila siku nasema ccm inalazimisha kushindana na wakati. Ccm sio chama cha kizazi hiki, na Magufuli alilijua hilo. Kwakuwa alikuwa na chuki ya wazi na cdm, huku akijua cdm ndio yenye mvuto kuliko ccm yake, ilibidi atumie madaraka yake vibaya kuhakikisha anaiua cdm,na akishindwa basi wasisikike kwa wananchi. Alichofanikiwa ni kushurutisha ccm kukaa madarakani kwa mabavu, lakini hakufanikiwa kuifanya ccm iwe na mvuto. Ila kwakuwa hakuna uwezekano wa kuzuia mabadiliko, lazima cdm itachukua nchi hii ccm itake isitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…