technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Zaidi ya kuua na kuteka asingeweza, hata hivyo akishindwa. Akafa yeyeNdio maana jiwe alikuwa anafanya biashara ya utumwa,kuteka na kuua wapinzani,kuzuia mikutano ili wapinzani wasifanye siasa.
Zaidi ya kuua na kuteka asingeweza, hata hivyo akishindwa. Akafa yeye
Yaani kuna kitu wanaita nyakati ni kitu kibaya sanaMungu Mkubwa!! Allahu Akbar!!
Print hii takataka yako kachambie chooniMimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!View attachment 1787609View attachment 1787611View attachment 1787613View attachment 1787614
Mkitano wa mwaka 2010Mimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!View attachment 1787609View attachment 1787611View attachment 1787613View attachment 1787614
CHADEMA FOR LIFEMimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!View attachment 1787609View attachment 1787611View attachment 1787613View attachment 1787614
Ccm wengi wao ni watu wa ndiyo ndiyo ili mradi tu siku imepitaMimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!View attachment 1787609View attachment 1787611View attachment 1787613View attachment 1787614
Angeibuka leo akaikuta Tanzania ya mama Samia angezimiaNdio maana jiwe alikuwa anafanya biashara ya utumwa,kuteka na kuua wapinzani,kuzuia mikutano ili wapinzani wasifanye siasa.
Ole wao waruhusu katiba mpyaHii ngoma hailali kamwe! Ukiinama nchali ukilala nchali
Kwa sasa tushasahau hata jina lakeYaani kuna kitu wanaita nyakati ni kitu kibaya sana
Ccm inasapotiwa na wasukumaHakiwezi kufa as long as Wachaga bado wanakisapoti.
Kila siku nasema ccm inalazimisha kushindana na wakati. Ccm sio chama cha kizazi hiki, na Magufuli alilijua hilo. Kwakuwa alikuwa na chuki ya wazi na cdm, huku akijua cdm ndio yenye mvuto kuliko ccm yake, ilibidi atumie madaraka yake vibaya kuhakikisha anaiua cdm,na akishindwa basi wasisikike kwa wananchi. Alichofanikiwa ni kushurutisha ccm kukaa madarakani kwa mabavu, lakini hakufanikiwa kuifanya ccm iwe na mvuto. Ila kwakuwa hakuna uwezekano wa kuzuia mabadiliko, lazima cdm itachukua nchi hii ccm itake isitake.Yaani kuna kitu wanaita nyakati ni kitu kibaya sana
Nikwasababu huna akili baada ya kuzikabidhi kwa chakubangaJikiteni kujenga Chama chenu na acheni mambo ya kujipa moyo! Sasa hapo kuna nini?!
We mburula mla panya, kwa akili yako hizo picha za mwaka 2015 ni za leo?Ccm wengi wao ni watu wa ndiyo ndiyo ili mradi tu siku imepita