technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Mimi hii kauli uwa najiuliza nani uwa anawaingiza king ccm kwa kuwaambia chadema imekufa?
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Magufuli amekufa kabla ya kuiua Chadema mjiulize why? CHADEMA ni mpango wa Mungu Muda utaongea.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!
Chama chenye ushawishi hivi unasema kimekufa? Unasema ni chama cha mtandaoni?
Wangapi wana smartphone hapo hao wabibi?
Hiyo ni mtama jimbo la Nape najiuliza uchaguzi ukiwa wazi na huru kwa majeraha walionayo watu sijui kama ccm itapona 2025.
Magufuli amekufa kabla ya kuiua Chadema mjiulize why? CHADEMA ni mpango wa Mungu Muda utaongea.
Tukubali tu chama kimechokwa hiki na hakipo!