mkuu unalazimisha, chadema chama makini, mmeona hata kwenye kampeni za madiwani, hakuna fuso zilizo leta watu, watu wanakuja wenyewe kusikiliza Sera makini.CDM iliwanunua Lowassa, Sumaye, Kingunge, Nyalandu, nk. (wote wakiwa makapi ya CCM) kwa bei gani?
CDM ni chama makini. Uongozi wenu wa sasa ndio ulioshindwa kazi. Badilisheni safu nzima ya ngazi ya juu. What have you got to lose? Sio kama kuna kazi yao ya kufanya ifikapo 2020.
Chuck out these political dinosaurs. Wanakirudisha nyuma chama, ingawaje wengine wana hati miliki.
Huo ni ushauri umetoa au umekosa cha kucomment?Nakushauri nenda kakojoe ukalale
Usikute wewe ni mwanamikakati wa CCMHapo hata mwenyekiti wa ufipa akisoma ataona unamdanganya.
Dish likishika network vizuri urudie kusoma uzi wako.
Unajua nini? Tukutane hapa 2020 tuone CDM wamefanya vipi kwenye chaguzi.mkuu unalazimisha, chadema chama makini, mmeona hata kwenye kampeni za madiwani, hakuna fuso zilizo leta watu, watu wanakuja wenyewe kusikiliza Sera makini.
CCM acheni uoga, acheni kutumia police, tuacheni tushindane kwa hoja majukwani,
Pamoja na kubebwa lakini wananchi wamewachoka wenyewe mnajua ndio maana mnatumia mbinu chafu kama hizi za kununua wanachama.
Kwa Mara ya kwanza toka Uhuru ndio tunasikia ccm inaona fahari kupata mwana chama mpya, no dalili za chama kimekufa.
ccm mkiruhusu mikutano, na mkaachana kutumia police kama wanawake wanapenda kutumia meno wakipigana na wenzao, nakuhakikishia hampati hata kiti kimoja cha ubunge..Unajua nini? Tukutane hapa 2020 tuone CDM wamefanya vipi kwenye chaguzi.
Haki ya nani mtatia aibu ile mbaya. Ni afadhali mtafute kisingizio (udikteta, serikali ya kipolisi, tumenyimwa fursa ya siasa kwa miaka 5, au chochote kile) kwa nini hamuwezi kushiriki kwenye ule uchaguzi.
Sasa hivi CDM mnalia liaccm mkiruhusu mikutano, na mkaachana kutumia police kama wanawake wanapenda kutumia meno wakipigana na wenzao, nakuhakikishia hampati hata kiti kimoja cha ubunge..
huna lolote, ccm kwisha.. mtanunua sana tuu, Ila upinzani ni wajibu wa kila mtanzania,Sasa hivi CDM mnalia lia kama mke alieolewa mke mwenzie, kimwana anaewaka, anaejijua kama mama, anamtunza mume; kwa kifupi AMEMPIKU.
Acheni wivi wa kijinga huo. Jitahidini na nyie mpendeze, shubaamit.
Mi naona wewe ndiyo umepotea na mapropaganda yako ya kizamani. Mmekwisha. Labda muwasubiri watoto sa dj nao aatao doka si siku mingiInavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.
CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..
Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.
Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).
Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.
Chama kimepotea,
Tuchukulie kuwa upinzani (CDM) umechukua dola.huna lolote, ccm kwisha.. mtanunua sana tuu, Ila upinzani ni wajibu wa kila mtanzania,
Kawakataeni CCM kwenye sanduku la kura.kwa wakati huu ambao ccm mmeamua kuwa mkoloni mweusi, wananchi hayuwataki mnatulazikisha.
acheni kutumia police muone, acheni mikutano ya siasa , tupambane kwa Sera, woga wa nini kama nyie ni wanaume.Kawakataeni CCM kwenye sanduku la kura.
Oh, nimesahau. MaCCM yanaiba kura.
Yani nyie hamuishiwi na visingizio. Mnatia huruma.
Kuna wanawake wa shoka huku pia bwana. Labda tuwaachie hao waendelee kuwachapa na hamtawaweza.acheni kutumia police muone, acheni mikutano ya siasa , tupambane kwa Sera, woga wa nini kama nyie ni wanaume.
Nimeipenda hii mkuukuna sehemu mbili tuu binadamu wananunuliwa.
1. Libya
2. Tanzania (ccm)