CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

CDM iliwanunua Lowassa, Sumaye, Kingunge, Nyalandu, nk. (wote wakiwa makapi ya CCM) kwa bei gani?

CDM ni chama makini. Uongozi wenu wa sasa ndio ulioshindwa kazi. Badilisheni safu nzima ya ngazi ya juu. What have you got to lose? Sio kama kuna kazi yao ya kufanya ifikapo 2020.

Chuck out these political dinosaurs. Wanakirudisha nyuma chama, ingawaje wengine wana hati miliki.
mkuu unalazimisha, chadema chama makini, mmeona hata kwenye kampeni za madiwani, hakuna fuso zilizo leta watu, watu wanakuja wenyewe kusikiliza Sera makini.

CCM acheni uoga, acheni kutumia police, tuacheni tushindane kwa hoja majukwani,

Pamoja na kubebwa lakini wananchi wamewachoka wenyewe mnajua ndio maana mnatumia mbinu chafu kama hizi za kununua wanachama.

Kwa Mara ya kwanza toka Uhuru ndio tunasikia ccm inaona fahari kupata mwana chama mpya, no dalili za chama kimekufa.
 
CDM is here to stay, CDM haitikisiki kwa usanii wa kujitekenya na kucheka mwenyewe!
 
mkuu unalazimisha, chadema chama makini, mmeona hata kwenye kampeni za madiwani, hakuna fuso zilizo leta watu, watu wanakuja wenyewe kusikiliza Sera makini.

CCM acheni uoga, acheni kutumia police, tuacheni tushindane kwa hoja majukwani,

Pamoja na kubebwa lakini wananchi wamewachoka wenyewe mnajua ndio maana mnatumia mbinu chafu kama hizi za kununua wanachama.

Kwa Mara ya kwanza toka Uhuru ndio tunasikia ccm inaona fahari kupata mwana chama mpya, no dalili za chama kimekufa.
Unajua nini? Tukutane hapa 2020 tuone CDM wamefanya vipi kwenye chaguzi.

Haki ya nani mtatia aibu ile mbaya. Ni afadhali mtafute kisingizio (udikteta, serikali ya kipolisi, tumenyimwa fursa ya siasa kwa miaka 5, au chochote kile) kwa nini hamuwezi kushiriki kwenye ule uchaguzi.
 
CCM imechokwa nchi nzima. hakuna mwenye hamu na hiki chama
 
Chama cha wanyonge leo mfuko wa Cement Tsh 14000
 
Unajua nini? Tukutane hapa 2020 tuone CDM wamefanya vipi kwenye chaguzi.

Haki ya nani mtatia aibu ile mbaya. Ni afadhali mtafute kisingizio (udikteta, serikali ya kipolisi, tumenyimwa fursa ya siasa kwa miaka 5, au chochote kile) kwa nini hamuwezi kushiriki kwenye ule uchaguzi.
ccm mkiruhusu mikutano, na mkaachana kutumia police kama wanawake wanapenda kutumia meno wakipigana na wenzao, nakuhakikishia hampati hata kiti kimoja cha ubunge..
 
FB_IMG_1511293359460.jpg
 
ccm mkiruhusu mikutano, na mkaachana kutumia police kama wanawake wanapenda kutumia meno wakipigana na wenzao, nakuhakikishia hampati hata kiti kimoja cha ubunge..
Sasa hivi CDM mnalia lia

Acheni wivu wa kijinga huo. Jitahidini na nyie mpendeze,
 
Sasa hivi CDM mnalia lia kama mke alieolewa mke mwenzie, kimwana anaewaka, anaejijua kama mama, anamtunza mume; kwa kifupi AMEMPIKU.

Acheni wivi wa kijinga huo. Jitahidini na nyie mpendeze, shubaamit.
huna lolote, ccm kwisha.. mtanunua sana tuu, Ila upinzani ni wajibu wa kila mtanzania,
 
Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,
Mi naona wewe ndiyo umepotea na mapropaganda yako ya kizamani. Mmekwisha. Labda muwasubiri watoto sa dj nao aatao doka si siku mingi
 
huna lolote, ccm kwisha.. mtanunua sana tuu, Ila upinzani ni wajibu wa kila mtanzania,
Tuchukulie kuwa upinzani (CDM) umechukua dola.

Je, baada ya hapo upinzani dhidi ya CDM utakuwa ni wajibu wa kila Mtanzania?
 
Mi naona wewe ndiyo umepotea na mapropaganda yako ya kizamani. Mmekwisha. Labda muwasubiri watoto sa dj nao aatao doka si siku mingi
mkuu , imekufa, imeshuka daraja.. haaaa
 
Tuchukulie kuwa upinzani (CDM) umechukua dola.

Je, baada ya hapo upinzani dhidi ya CDM utakuwa ni wajibu wa kila Mtanzania?
kwa wakati huu ambao ccm mmeamua kuwa mkoloni mweusi, wananchi hayuwataki mnatulazikisha.
 
kwa wakati huu ambao ccm mmeamua kuwa mkoloni mweusi, wananchi hayuwataki mnatulazikisha.
Kawakataeni CCM kwenye sanduku la kura.

Oh, nimesahau. MaCCM yanaiba kura.

Yani nyie hamuishiwi na visingizio. Mnatia huruma.
 
Kawakataeni CCM kwenye sanduku la kura.

Oh, nimesahau. MaCCM yanaiba kura.

Yani nyie hamuishiwi na visingizio. Mnatia huruma.
acheni kutumia police muone, acheni mikutano ya siasa , tupambane kwa Sera, woga wa nini kama nyie ni wanaume.
 
acheni kutumia police muone, acheni mikutano ya siasa , tupambane kwa Sera, woga wa nini kama nyie ni wanaume.
Kuna wanawake wa shoka huku pia bwana. Labda tuwaachie hao waendelee kuwachapa na hamtawaweza.

Wazee wa kazi hawawezi kulumbana na na watu waliofilisika kisiasa. Tuna nchi ya kuendesha.
 
Back
Top Bottom