CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,

Hivi JF ni tawi La Chadema watoto au waliotolewa jela. Mbona mada za ajabu Hivi.
 
Ukitaka kujua kuwa watu wamekosa mwelekeo ni pale wanasiasa wanageuzwa bidhaa. Huu mchezo mpaka ulipofika umenoga sana na unaleta matumaini kwa wapenda mageuzi
 
Eti CCM imeimarika kwa kununua wachumia tumbo kwa kuwarubuni na vyeo na mamilioni ya pesa!!!

Sasa CCM imeimarika uchwara aruhusu basi mikutano ya upinzani nchi nzima na awaambie polisiccm waache kuwanyamazisha na kuwadhalilisha wapinzani nchini kisha ahakikishe uchaguzi wa 2020 unakuwa huru na wa haki kupitia katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi ili tuone jinsi CCM ilivyoimarika.
Fikiria kwanza, ulipiga kura ????
 
mkuu unalazimisha, chadema chama makini, mmeona hata kwenye kampeni za madiwani, hakuna fuso zilizo leta watu, watu wanakuja wenyewe kusikiliza Sera makini.

CCM acheni uoga, acheni kutumia police, tuacheni tushindane kwa hoja majukwani,

Pamoja na kubebwa lakini wananchi wamewachoka wenyewe mnajua ndio maana mnatumia mbinu chafu kama hizi za kununua wanachama.

Kwa Mara ya kwanza toka Uhuru ndio tunasikia ccm inaona fahari kupata mwana chama mpya, no dalili za chama kimekufa.
Ianonyesha na wewe unaweza fika bei asee
Huongei kwa uchungu wa upuuzi wa ccm kama kweli wananunua hao wanachama, lakini unaongea kwa uchungu wa kwa nini anunuliwe yeye na sio wewe

Mkuu hata wewe inaonekana huongei kwa kukipenda chama sema ni sehemu unayotarajia maslahi yako mkuu.
Hii dhambi itakitafuna chama mpaka basi
 
acheni kutumia police muone, acheni mikutano ya siasa , tupambane kwa Sera, woga wa nini kama nyie ni wanaume.
Inachekesha sana hiki kisingizio asee.
Ni nchi gani ambayo ikimaliza uchaguzi inaendeleza siasa kati ya nchi zilizoendelea unazozijua??
 
Tanzania itajegwa na watanzania wenyewe, kuna kosa gan hapo??

Inanikumbusha timu ya Ajax Ya uholanz miaka ya nyuma ilikua inazalisha wachezaji vijana wanabebwa na wenye uwezo,ikaja Ikaja benfica inazalisha watu wanabeba,ikaja arsenal analea vijana wakikomaa wanasepa,so ccm imeamua chadema iwe academy yao ya kuipua vijana halaf wanakuja kubeba tu km kawaida
 
Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,
Lete fact....kuonesha nani amenunuliwa kiasi gani na sahihi yake bila ivyo. Ni maneno uliyokaririshwa usiku
 
Ni vema kujifariji pindi unapojikuta kila mtu anakukataa.

CDM hamna mtu yoyote yule wa kumlaumu isipokua nyie wenyewe.

Hii ilianza pale tu mliposotea mgomba wenye viwembe 2015. Mmebaki na uchafu wenu na majeraha mmeyapata.

Bado ni chama kikuu cha upinzani na naamini, kukiwa na uongozi bora, mtarudia hadhi yenu ya pale awali.

Tunahitaji upinzani mkali ili tuendelee kama nchi. Mlifikia kiwango hicho lakini mnajua wenyewe kilichowaporomosha.

Fanyeni maamuzi magumu ndani ya chama ili kugeuza muelekeo wake. Badilisheni gia mkiwa aridhini (sio angani). Wekeni rivasi mrudi kwenye ule uelekeo uliopendwa na wengi.

Ushauri wa bure huo.
Lakini wafia chama mko tayari kuona wahamiaji wakikaa high table wakila vinono kwa raha zao bila usumbufu na nyinyi mkipigizana makelele na wahudumu "nasisi huku hatujapata mtuonee huruma "
 
Ni vema kujifariji pindi unapojikuta kila mtu anakukataa.

CDM hamna mtu yoyote yule wa kumlaumu isipokua nyie wenyewe.

Hii ilianza pale tu mliposotea mgomba wenye viwembe 2015. Mmebaki na uchafu wenu na majeraha mmeyapata.

Bado ni chama kikuu cha upinzani na naamini, kukiwa na uongozi bora, mtarudia hadhi yenu ya pale awali.

Tunahitaji upinzani mkali ili tuendelee kama nchi. Mlifikia kiwango hicho lakini mnajua wenyewe kilichowaporomosha.

Fanyeni maamuzi magumu ndani ya chama ili kugeuza muelekeo wake. Badilisheni gia mkiwa aridhini (sio angani). Wekeni rivasi mrudi kwenye ule uelekeo uliopendwa na wengi.

Ushauri wa bure huo.
Mku hii maada ina kiasi kikubwa cha ukweli ndani yake
 
Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,

Hiki wanachokifanya ni sawa kupiga punyeto, wanajidanganya wenyewe.
 
Lakini wafia chama mko tayari kuona wahamiaji wakikaa high table wakila vinono kwa raha zao bila usumbufu na nyinyi mkipigizana makelele na wahudumu "nasisi huku hatujapata mtuonee huruma "
Kwa hili nadhani aliumia zaidi Dr. Slaa kwa mwanachama mwenye siku mbili kupewa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama ya kugombea urais.
 
Inachekesha sana hiki kisingizio asee.
Ni nchi gani ambayo ikimaliza uchaguzi inaendeleza siasa kati ya nchi zilizoendelea unazozijua??
Ivi nyie, mkuu anapo zunguka nchi nzima huku mkiwa mmevaa kijani, TBC live na mnatangaza wanachama mlio wanunua , hiyo sio mikutano?
 
Back
Top Bottom