CHADEMA imedumaa na wale wengine wamefubaa kabisa

CHADEMA imedumaa na wale wengine wamefubaa kabisa

chadema kosa kubwa lilikuwa kwa dr slaa kuondoka.lowasa ndye aliyekuja kukiua hiki chama.enzi ya dr slaa intelejisia ya chama ilikuwa juu sna.shv ni km wamekata tamaa liwale na liwe.
Hata kama slaa angukuwepo angeamrisha mikutano?
 
Chadema mficha maradhi kifo kitamuumbua.. ukweli ni KWAMBA chadema hakiwezi KU move on kwa sababu
Kina mafisadi wa Richmond mule ndani
Kina wauza ngada maarufu wa zamani
Kina mazero brain watu ambao shule hawajaenda au km wameenda Basi kwa kuungaunga
Kina waropokaji wa grade A
Kina mitom boy mule ndani
Kina wahuni
Kifupi CDM Ni jalala.japo wapo wachache waliokuwa na Nia nzuri happy mwanzo.ujumbe naowapa KARIBUNI NYUMBANI KUMENOGA
Ha ha ha 😂😂😂😂😂
 
Ujinga ni kushindwa kuona na kutambua mazingira ya kisiasa ambayo wenye dola wmeyaweka/wamejiwekea ili kudhoofisha upinzani. Mikutano ya kisiasa wanafanya wao wakifanya wengine wanakamatwa,Live coverage ni kwa mtu mmoja tu hasa TBC wengine hata vyombo vya habari vinawaogopa sababu vyombo vyenyewe vimebanwa. Kuna mengi ya kihuni yanayoendelea ambayo kama huna akili utaona ni sawa.
Mkuu your quite right,namshangaa mtoa mada kutoliona hilo.
Sikutegemea kuwa mikakati miovu ya kuuwa demokrasia inapewa utukufu na baadhi ya wachangiaji.
Kwa mwendo huu sishangai siku za mbeleni hata media ikabaki Uhuru,Daily News,na TBC.Tunafirisi uhuru wetu kwa faida ya nani?
 
Hata kama slaa angukuwepo angeamrisha mikutano?
Kutokubali udhaifu ulionao na kuurekebisha ni dalili tosha kabisa kwamba umeshashindwa! Mikutano ya kisiasa siyo njia pekee ya kuimarisha chama. Chama kinaiimarika kuanzia ndani ya chama chenyewe. Kama ndani ya chama chenyewe kumeparaganyika hata ufanye mikutano mingapi ya siasa ni bure tu. Ni sawasawa na familia kama baba na mama hawaelewani hiyo familia itakuwa inayumba na hata mwishowe kusambaratatika. Nguvu ya kitu chochote inaanzia WITHIN! hasa kwa binadamu.
 
Na kama watu wamedumaa anawaogopa nn dwafizim awaache waendelee kwa njia waozoea tuu ili tuone tofauti ya uwepo was slaa na lowasa kwa kuona kwako ili jaribio likamilike lazima hali zote ziwepo kwa jaribio dhibiti na jaribio lenyewe
 
Dah...tatizo kuu la CDM...mwenyekiti ana malengo yake binafsi...tofauti na malengo ya wanachama...
 
Back
Top Bottom