CHADEMA imedhoofu mpaka inatia huruma!!

CHADEMA imedhoofu mpaka inatia huruma!!

CDM tamaa zinawagharinu ..kama ni baba basi familia inzama, Mbowe sifa zilimzidi haya sasa
 
Cdm r.i.p inapokea makapi ya ccm.. Na sera ya ufisadi imeisha kwan inapokea wachafu waliowachafua... Ccm itashinda kwa kishindo
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.

Tabiri kuhusu chadema zimemnyamazisha wasira mpaka leo anajutia kauli yake. Nawe mleta mada unajipaka maji taka kwa makusudi.
 
Kikubwa tuingie ikulu, na ikulu tunaingia. Tunajali nini sasa?
 
Hayo ulioyasema ni watu wachache sana wanaotumia bongo sawasawa ndio wanao ona lakini vibwengu wa misifa thubutu juzi kati hapa Ukawa imepigwa kama inesimama uchaguzi mdogo wa Madiwani bado wanasifia na kujigamba kushinda 2020 ukiwa domain unajiuliza bongo zao sawasawa au ndio ngada na kwasababu wanapenda misifa kila siku wataangukia kiuno hawajui kukosoa ndio kujifunza
 
Nina mashaka makubwa sana na mkuu aliyetoa huu uzi nadhani anaumwa maradhi ya ucc-m.
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Psiiiuoipiytresaf ;:'"*#$%@-+&%#@ pambaftkhgd nyauuvgffssszsf UJIO WA MHESHIMIWA SANA?Hahahahahahaha
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Wacha weee
 
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!

Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.

hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Bungeni hapakuwa na mbunge yyete wa ukimuuliza swali waziri mkuu jana! Yaani wameshindwa ukimuuliza hata kuhusu FOLENI YA MBAGALA? Kweli ccm ni wajinga
 
Back
Top Bottom