Mtz wa kweli
Member
- May 28, 2014
- 38
- 7
Kwa kweli unavyoviona wewe ni mawenge mi siwezi ona
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Huna uwezo wa kuona ninachokiona
.kaa kimya
Kama ubongo wangu uko kwenye magoti ina maana ni mdogo sana...na kama ni mdogo ina maana umejikunja sana ..na kuna fact moja muhimu kuhusu ubongo nayo ni kadri unavyokuwa mdogo na kujikunja zaidi ndivyo unavyoweza kuonesha ufanisi.Inaelekea ubongo wako uko kwenye magoti then synovial fluid kwa kichwa. Wenzio hakuna mwaka wanaumiza kichwa kama huu wewe unasema CDM imezoofu yani kusoma hujui na wala picha huoni hewa kabisa wewe
Shangilia maana CCM imekomaa na tayari imeshaleta "Maisha Bora kwa kila Mtanzania" hata wewe naona umeshaukata unaishi kwenye uchumi wa kati
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Acha kuogopa kwa vitu usivyovijua. Mfano upo chumbani umelala na taa kisha umeme ukakatika kisha ukaanza kuogopa giza wakati na taa ulikuwa huogopi!
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Nimeyajua mabadiliko nikayaishi mabadiliko ,nikafanya mabadiliko ,nikayaadvertise mabadiliko na kuyasimamia mabadiliko kabla yako.kaa kimya
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Lugha ya mabadiriko hiyo kweli umebadirika
Kutafakari na kubuni njia mpya ya mabadiliko!