Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
Baada ya ujio wa mheshimiwa sana tunashuhudia udhoofu mkubwa wa Chadema kwa kuwa ilikuwa inategemea ushabiki wa wale wasio na vyama!
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.
Chadema imebaki kusubiri makapi ya ccm ambayo yanatafuta pa kumalizia muda wao kisiasa.
hili ni jambo linalotuumiza sana wale tuliotaka mabadiliko ya kweli kupitia chadema.