Afadhali yako umekiri mnafanya ujingakuna baadhi ya wabunge walipelekwa baadhi ya mikoa sijui walipotokea. mfano mtu analetwa Shinyanga hata wenyeji tunajiuliza katokea wapi huyu?atakuwa na impact gani hata kukipromot chama. niliwahi kumtumia sms Mbowe,huu ni ujinga matokea yake mbunge hayupo jimboni miaka yote