The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,379
- 2,553
Moja ya kasoro kubwa tulinayo watanzania tuliowengi ni kwamba hatupendi kukosolewa, zaidi sana hatupendi watu wenye mawazo tofauti na sisi.
Tabia hii tusipoiacha itatutesa sana. Tunapigana na kuumizana kwa sababu hatupendi kukosolewa.
Miongoni mwa Wabunge wa Viti Maalumu walioteuliwa na Chadema mwaka 2015, walikuwa na uwezo mdogo sana, kiasi kwamba mtu ungeweza kushangaa iweje Chama chenye watu wenye akili kama Chadema kilifanya makosa makubwa kiasi hicho.
Nadhani kwa kuwa chama hiki kina watu makini basi naamini watakuwa wamejifunza jambo fulani hivi. Makosa haya hayatajirudia tena.
Tabia hii tusipoiacha itatutesa sana. Tunapigana na kuumizana kwa sababu hatupendi kukosolewa.
Miongoni mwa Wabunge wa Viti Maalumu walioteuliwa na Chadema mwaka 2015, walikuwa na uwezo mdogo sana, kiasi kwamba mtu ungeweza kushangaa iweje Chama chenye watu wenye akili kama Chadema kilifanya makosa makubwa kiasi hicho.
Nadhani kwa kuwa chama hiki kina watu makini basi naamini watakuwa wamejifunza jambo fulani hivi. Makosa haya hayatajirudia tena.