NAHINGA
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 1,019
- 338
ninvyoamini mm humu jf walio wengi ni wasomi na waelewa sana tena wa hali ya juu. sasa inapotokea issue kama hii ya lwakatare na watu wamejitokeza wengfi tuu kuueleza umma hapa jf kasoro kadha wa kadha kuhusu ile video clip na kuwalete baadhi ta clips ambazo zimeingizwa maneno ili kuwaonyeha watu kuwa teknolojia hiyo ipo na wala tusi jiaminishe asilimia mia kuwa ni kweli. lkn inaonekana hata members ambao wanauelewa juu ya uwapo wa hii teknolojia wanabisha na kukataa kabisa kana kwamba uwezekano wa kutengeneza video ile haupo sasa je wananchi wa kawaida ambao uelewa hawana itakuwaje? kumbe tz tumeathiriwa na mfumo wa chama kimoja tu na ndio maana mambo hayaendi. wanapotokea wanamageuzi basi hufanyiwa kila njama kuwadhoofisha badala ya kuudhihirishia umma kwa kutekeleza ilani za chama (ccm). maskini tanzania.