CHADEMA huwalipa wanaoandamana


Duuu aiseee
This guy "pasco" is becoming so cheap siku hadi Siku aisee
I real wonder kama ni mwanasheria kweli au mwandishi Wa habari
I
Kama ni mwandishi Wa habari sishangai madudu yanayoandikwa na magazeti ya uhuru
 
Last edited by a moderator:

kwan si uende chama kingine hata hicho kipya kwa nn unaangaika, halafu jalibu kupanga thread yako ili ionekana ni ya ukweli au hadi muvetinamu awe director wako hata thread, unatia aibu.
 
Hivi yale meno ya akina kibanda na yule ulimboka huwa Ludo anaenda kuuza wapi? china ,singapole au UK? NINA IMANI BAADA YA KUANDIKA HUU UZI UTAKUWA UMEPOKEA MPESA TSH 50000,maana naibu waziri alisema hii ndio bei yako
 
Wewe Ludo huwezi kuwa mwanachama wa CHADEMA, sema ulikuwa mwanachama wa CHADEMA lakini ulishaondoka na kurudi ccm, angalia namna ulivyoanza hotuba yako ndugu. Kwa maelezo yako sijaona tatizo la kuwalipa waandamanaji hasa kuweka mafuta kwenye pikipiki hiyo ni halali ili chombo kitembee sharti kiwe na mafuta na kama wanawalipa waendesha bodaboda wanafanya vizuri kuliko watumie mafuta yao ambayo ni ya biashara.
 
Dah basi CHADEMA wana pesa nyingi sana manake ikiwa maelfu ya mamia ya watu ambao huandamana nchi nzima hulipwa hawa jamaa watakuwa ni balaa wachunguzwe kabisaaa. Nadhani Ludo akubali tu kuwa kaugali alikokuwa anapata kamepeperuka basi atafute msosi kwingine kuliko kuanzisha thread za upuuzi kiasi hiki
 
Ni kweli Mkuu, ni mataahira tu ndiyo wanaweza kukubaliana na hii Hoja dhaifu isiyo na kichwa, walitegemea CHADEMA ingekufa - lakini sasa inachanja mbunga hasa baada ya kumaliza uchaguzi ndani ya chama salama - Hii ni aibu kubwa kwa kundi la wasaliti.

Sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kukubali kwamba hawa wote wamepewa pesa ili waandamane?

 
Chadema udini ukanda na ukabila umekigharimu chama hiko
Maandamano hayatawasaidia.

Kiacheni tu kife hiko chama.
 
nimecheka sana na hii hekaya, hivi huyu jamaa ana familia, au nao alishawang'oa kucha na meno?
 
Inawezekana Mwigulu na Lumumba hawajatuma salio kwa huyu jamaa siku nyingi sasa anatafuta kwa nguvu

Ongeza juhudi mkuu huenda ukapokea tena M-PESA toka kwa Mwigulu,
 

Jenga tabia ya kutulia na kusoma habari kwa makini!

Ludo anasema wanao lipwa Mara nyingi ni wale wanao Fanya kazi ya kuhamasisha na vikundi vya kuzomea!

Hivyo ni kweli ni kwamba kuna watu hulipwa kuzomea na kuandamana.
 
Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.LUDO
 



Mbona una jazba sana?

Au chadema nimama yako?

Let the truth prevail.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabis ulichokisema Ludovick.

Nikiwa chuo tulikuwa tunaletewa fedha kwajili ya kuwanunua wale wente influence ili wawe upande wetu.

Lakini tangu walivyoleta sarakasi za kutaka wabaki wakaskazini kwenye chama,wengine mapema tukajiweka pembeni.
 
Pasco

Umezunguka weeee kufikisha ujumbe kwa Ludovick Joseph
Ku summarize habari yako,ni kwamba,unamfikishia Ludo ujumbe ambao wengi tumekwisha mwambia.
Ludo ni Chizi na Soon ataokota Makopo.
This is what you meant and not otherwise.
 
Last edited by a moderator:
Duuu aiseee
This guy "pasco" is becoming so cheap siku hadi Siku aisee
I real wonder kama ni mwanasheria kweli au mwandishi Wa habari
I
Kama ni mwandishi Wa habari sishangai madudu yanayoandikwa na magazeti ya uhuru


Usishangae, hivyo ndivyo wasomi wa nchi hii chini ya CCM wanavyoishia. Angalia mfano wa kina Chenge, Lukuvi et al plus maprof kama kina Tibaijuka na Muhongo. Hawana tofauti na kina mteketa kiutendaji na kiufikiriaji.
 
- Jibu hoja wacha matusi yangekuwa mali mngeshashika dola, jibu hoja kama huna kaa pembeni waachie wenye hoja mamabo ya baba na mama yako yantokea wapi hapa, le mburulazzzz

Le Mutuz

Eti hili nalo liko above 55 years old.
Umri na matendo vinapishana.
Hovyoooooooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…