CHADEMA huwalipa wanaoandamana

CHADEMA huwalipa wanaoandamana

Teh teh teh!
Yaani kumwambia Mzito Kabwela kuwa ana shavu dodo imekuwa matusi?

Na zile mechi zinazofanyika ndani ya MAKANISA BAINA ya KONDOO na WACHUNGAJI utaita nini?

Hebu msome huyu mmoja wao.
Kapiga bao kondoo km hakuna serikali.

Paraguay bishop Livieres sacked over 'abuse cover-up' - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=730875
Paraguay bishop Livieres sacked over 'abuse cover-up'

Eti baada ya miaka km 20 hivi ya kula uroda ndio PAPAWEMBA kampa kadi nyekundu!

Teh teh teh teh!
Wagalatia wasanii km Chama chao.

Halafu eti kwanini PAPA anapenda kuvaa Gauni la Kitambaa Cha HARIRI lainiiiiii! Yenye marinda ya maua maua na mutarazo km ya pazia Na mokasini nyekundu!?

I wonder why!!!!!!

https://lh3.googleusercontent.com/p...gwoz33Cpwawc_731gvg55CRJ8kdfKElQ=w397-h400-nc

Teh teh teh.

Mkuu Kahtaan hii dini sasa ishakuwa balaa sasa.
 
Last edited by a moderator:
Tunajua hizo pesa ulizokuwa unawapa zilikuwa zinatoka Lumumba sio Ufipa
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick
 
Teh teh teh.

Mkuu Kahtaan hii dini sasa ishakuwa balaa sasa.

Wewe Bwabwa mwenye laana ya dhambi ya udini ulishapuuzwa kitambo sana hapa JF tokea uuufyate kwenye issue ya Gas Mtwara.
 
Teh teh teh!
Yaani kumwambia Mzito Kabwela kuwa ana shavu dodo imekuwa matusi?

Na zile mechi zinazofanyika ndani ya MAKANISA BAINA ya KONDOO na WACHUNGAJI utaita nini?

Hebu msome huyu mmoja wao.
Kapiga bao kondoo km hakuna serikali.

Paraguay bishop Livieres sacked over 'abuse cover-up' - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=730875
Paraguay bishop Livieres sacked over 'abuse cover-up'

Eti baada ya miaka km 20 hivi ya kula uroda ndio PAPAWEMBA kampa kadi nyekundu!

Teh teh teh teh!
Wagalatia wasanii km Chama chao.

Halafu eti kwanini PAPA anapenda kuvaa Gauni la Kitambaa Cha HARIRI lainiiiiii! Yenye marinda ya maua maua na mutarazo km ya pazia Na mokasini nyekundu!?

I wonder why!!!!!!

https://lh3.googleusercontent.com/p...gwoz33Cpwawc_731gvg55CRJ8kdfKElQ=w397-h400-nc

Rudi kwenye mada mkuu. Haya mambo mkajadiliane na Nyakageni jukwaa la dini
 
Last edited by a moderator:
Duh! Kuumbe! Nadhani na ile ishu ya kugawa viroba kwanza kwa waandamanaji itakuwa ni kweli.

Hiyo ni kweli mkuu
Wala usitie shaka kabisa mim ni mchaga natokea huko huku kwa mboe . Kuna sehem inaitwa SONU
Siku moja kabla ya uchuguzi jamaa aligawa sana viroba na hela mpaka wengine wakajiarshia kwa hiyo ofa ya mheshimiwa . Hii ndiyo Siri ya ushindi wa AIKAEL katika jimbo la hai na ndo sehem alikopata kura nyingi sana na mpaka sasa hivi kuna kikundi chake huwa kinatumiwa fedha kwa. MPESA ili kuratibu mambo yake yaende vizuri huku wakiendelea kupata ofa za jamaa.
Sasa ukiwaambia MAZOMBI ya cha dema utasikia chadema uko moyoni mwa or chadema ni mpango wa mungu
Kuna siku na Amin watajielewa
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick

kijana ulishakuwa mpumbavu hv kumbe! Hv ANC iliwalipa waandamanaji wake?
 
Ni bora Propaganda za akina Ritz, MSALANI Lizaboni Simiyu Yetu Chabruma chama,@kiroriti na wote wale Nyumbu wa Lumumba ambazo huwaga tunazichukulia kam kuchangamsha genge,lakini za Kwako,tunazichukulia kama taka taka zinazotoka kwa mtu aliyekata tamaa ki maisha,hohe hahe asiye na mbele wala nyuma,anayetegeea fadhili za mtu yoyote yule ili walau Mkono wake uende Kinywani.
Watu kama wewe ni hatar hata kwa maisha ya ndugu zako wa karibu kabisa,kama vile Mama na Babaako,watu kama nyie mko tayar kuwatoa kafara wapendwa wenu kwa waganga wa kienyeji ili mpate utajiri.
Kimsingi nina kudharau sana.

dunia imebadilika sana, kama ni kweli anategemea kuendesha maisha kupitia fadhila kutoka kwa mtu yeyote basi awe makini, watu wengine watakuja kumsaidia alafu wamlewiti.
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick
Kwa uharo huo hapo juu umelipwa shilingi ngapi?
 
Hiyo ni kweli mkuu
Wala usitie shaka kabisa mim ni mchaga natokea huko huku kwa mboe . Kuna sehem inaitwa SONU
Siku moja kabla ya uchuguzi jamaa aligawa sana viroba na hela mpaka wengine wakajiarshia kwa hiyo ofa ya mheshimiwa . Hii ndiyo Siri ya ushindi wa AIKAEL katika jimbo la hai na ndo sehem alikopata kura nyingi sana na mpaka sasa hivi kuna kikundi chake huwa kinatumiwa fedha kwa. MPESA ili kuratibu mambo yake yaende vizuri huku wakiendelea kupata ofa za jamaa.
Sasa ukiwaambia MAZOMBI ya cha dema utasikia chadema uko moyoni mwa or chadema ni mpango wa mungu
Kuna siku na Amin watajielewa
Hatuna wachaga wasiojitambua kama wewe. Hata kuandika hujui eti Mboe khaaa!!! Unadhani mtawatoa watu kwa uzushi wa mtu aliyekwenye payroll ya Nchemba? Si huyu huyu alimpiga Kibanda ili wabambikiwe kesi chadema? Si huyu huyu alimuuza mlezi wake kwa TShs 50,000? Hakujali kuumwa kwake kisukari! Akaona bora 50000 kuliko uhai wa Nduguye Lwakatare! Kuna siku aliibuka na madai ya kupigwa na bavicha watu wakampuuza ikapotea, akiwa na chama chake Mungu akamuumbua wakapata ajali, mara Mdee hafai, mara viongozi wa Chadema hawafai, Mara Mtoi ni hatari, mara ooh sijui nini???????? Kwanini usitueleze uzuri wa chama chako tujiunge???? Kwanza bei zako ni chee sana unanunulika kwa 50 lol hata mimi naweza kukuweka kwangu ufungue geti na kufunga miaka yote ya maisha yako tena nikakulipa japo laki daily, lakini hapana watu kama nyie hamkawii kujisaidia mlangoni.
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick

Mel ludovick hayo no mane no we 2mesha kujua unaang'ata name kupuliza
 
Ni mwehu tu ndiye anayeweza kuamini hayo uliyo yaandika ndugu yangu, kwa nini hukuyaandika wakati ukiwa kwenye good terms na CHADEMA wakati ule ili tujue kama kweli wewe ni msema kweli
 
Hatuna wachaga wasiojitambua kama wewe. Hata kuandika hujui eti Mboe khaaa!!! Unadhani mtawatoa watu kwa uzushi wa mtu aliyekwenye payroll ya Nchemba? Si huyu huyu alimpiga Kibanda ili wabambikiwe kesi chadema? Si huyu huyu alimuuza mlezi wake kwa TShs 50,000? Hakujali kuumwa kwake kisukari! Akaona bora 50000 kuliko uhai wa Nduguye Lwakatare! Kuna siku aliibuka na madai ya kupigwa na bavicha watu wakampuuza ikapotea, akiwa na chama chake Mungu akamuumbua wakapata ajali, mara Mdee hafai, mara viongozi wa Chadema hawafai, Mara Mtoi ni hatari, mara ooh sijui nini???????? Kwanini usitueleze uzuri wa chama chako tujiunge???? Kwanza bei zako ni chee sana unanunulika kwa 50 lol hata mimi naweza kukuweka kwangu ufungue geti na kufunga miaka yote ya maisha yako tena nikakulipa japo laki daily, lakini hapana watu kama nyie hamkawii kujisaidia mlangoni.

Ok
Nilitegemea majitu kama nyie mngejitokeza ,huenda na wewe ni miongon mwa mnaofaidika na huo mgao wa MPESA wa mboe huko SONU na Bomang'ombe
 
Ndugu,

Wakati maandamano yametangazwa nchi nzima na chama chetu, na kwa kweli mimi nilisema sitashiriki kwa sababu ambazo nilieleza, na zote zimeonekana kuwa kweli, dhamiri yangu imenituma kuongea jambo jingine ambalo laweza kusaidia baadhi ya watu. Ingawa najua chama changu hakitafurahishwa na hii revelation, lakini napenda nihukumiwe kwa kuutumikia ukweli.

Ndugu, wengi wa makamanda wetu hujitolea kufanya kazi za chama. Na kwa kweli umati wa wanaojitokeza kwenye shughuli za chama chetu CHADEMA kama mikutano ya hadhara ama maandamano, huja wenyewe bila kupewa fedha. lakini hii siyo kwa wote.

Chama chetu kwa muda sasa kinao utaratibu wa kuwalipa watu ili wajitokeze kuhamasisha wengine kujitokeza kwenye maandamano.

Hii ni kweli kwenye mikutano ya hadhara pia, ingawa sisi hupenda sana wengi wa wanaojitolea na wapinzani wetu wa CCM wasijue kuwa huwa tunagharimia mambo hayo.

Nakumbuka tukiwa chuo kikuu, mimi nikiwa mwenyekiti wa CHASO DUCE, tulivyokuwa tukilipa makundi ya wanafunzi ili wajitokeze kwenye makongamano ya katiba siku hizo.

Mzee Warioba amewahi kuzomewa na kundi la wanafunzi wanachama wa chadema pale Karimjee hall alipoanza speech yake kwa kusapoti ile orodha iliyoitwa siku zile "sacrosanct issues" hakika tulimzomea. alikatisha hotuba yake. Vilevile, tulikuwa tukiwalipa hela kutoka makao makuu ya chama wanafunzi baadhi ili wahamasishe maandamano na migomo chuoni.

Hivyo basi kwenye mikutano yetu, huwajazia mafuta bodaboda na watu wa bajaji, na katika maandamano huwa wanalipwa baadhi ya watu ili kuhimiza wengine.

Ni kweli hawalipwi wote, lakini hakika kuna wanaokuwa wamelipwa ili kuonyesha kuwa tunaungwa mkono na hao waongoze kuitikia hatimaye wengine wajiunge nao. Kwa hiyo katika maandamano kuna wanaolipwa na kuna wengi wasiolipwa.

Naandika mada hii kuwasadia wale ambao hujitolea tu wajue kuwa katika mkusanyiko huo kuna wenzao ambao huwa wamelipwa hela na hawa wakishawahamasisha wengine wao huishia zao kwahiyo wanaokuja kupatwa na matatizo hasa ni wale wanaojitolea tu bila kulipwa chochote.

Najua kisa kimoja Mbeya, pale waandamanaji walipoumizwa, walijiuguza wao wenyewe bila msaada wa chama. jambo hilo liliumiza sana familia zao na kwa hali ya sasa mbeya na hasa Mwanjelwa lilipotokea tukio lile, vijana hawajitokezi kwenye maandamano, bali wanadai na watoto wa viongozi nao waje mbele ndipo wataandamana. kwa hiyo ndiyo maana pia Mbeya wamegomea maandamano haya ya CHADEMA.

Hatimaye, nawaomba wananchi watafakari kama kila mtu ataachwa kucheza na sheria atakavyo, nini itakuwa future ya nchi yetu!. nina hakika chama chetu cha CHADEMA kikiingia madarakani mwaka 2015 (???) hatutaruhusu maandamano kama haya ya sasa.

Mfano tumeshaonyesha kwa chama kuzuia wanachama wake na mashabiki kuhudhuria mikutano ya Zitto Kabwe. hulka hiyo itakuwa kubwa kwa wapinzani mwaka kesho tutakapochukua dola!

Wenye masikio na wasikie.

Mwl.Ludovick

Kujikomba kwingine bhanaaaa, gharama yake ni kubwa!!!!!!!
 
Ok
Nilitegemea majitu kama nyie mngejitokeza ,huenda na wewe ni miongon mwa mnaofaidika na huo mgao wa MPESA wa mboe huko SONU na Bomang'ombe
Mboe ni nani wewe kilaza mwan haramu mtoka pabaya!?Halafu unajiita kabila lisilo lako!! mafi kunuka!!
 
Hatuna wachaga wasiojitambua kama wewe. Hata kuandika hujui eti Mboe khaaa!!! Unadhani mtawatoa watu kwa uzushi wa mtu aliyekwenye payroll ya Nchemba? Si huyu huyu alimpiga Kibanda ili wabambikiwe kesi chadema? Si huyu huyu alimuuza mlezi wake kwa TShs 50,000? Hakujali kuumwa kwake kisukari! Akaona bora 50000 kuliko uhai wa Nduguye Lwakatare! Kuna siku aliibuka na madai ya kupigwa na bavicha watu wakampuuza ikapotea, akiwa na chama chake Mungu akamuumbua wakapata ajali, mara Mdee hafai, mara viongozi wa Chadema hawafai, Mara Mtoi ni hatari, mara ooh sijui nini???????? Kwanini usitueleze uzuri wa chama chako tujiunge???? Kwanza bei zako ni chee sana unanunulika kwa 50 lol hata mimi naweza kukuweka kwangu ufungue geti na kufunga miaka yote ya maisha yako tena nikakulipa japo laki daily, lakini hapana watu kama nyie hamkawii kujisaidia mlangoni.

Ni bora kuwa kwenye payroll ya Nchemba kuliko ya wariberali wa Mbowe na sijui atawalipa nini hao wazungu wanaomfadhili huku nyie mkitokwa mapovu kwa jazba, By the way, Vipi amesharudi kutoka South kula bata!?
 
Back
Top Bottom