The issue is, who else if not a comatose accepts willingly to follow a leader as such? Zhu was so polite to say cdm "Mind is asleep." I say, the followers are comatose! reasons are obvious.
all who are to chadema have no diferency betweem educated and lay people. All have no coordination btn brain and body signs. Very sorry to tanzanian. What ever you comment for chadema your all are like. Mind is asleep.
Nilifikiri vyama vya siasa lengo lake ni kuwatumikia wananchi! Sasa umenifahamisha "lengo" la cdm na nimelielewa, so they are just after capturing "power!".
Nilifikiri vyama vya siasa lengo lake ni kuwatumikia wananchi! Sasa umenifahamisha "lengo" la cdm na nimelielewa, so they are just after capturing "power!".
I do not expect a person like you to POST SOMETHING DIFFERENT FROM THIS..... Nyie ndo akina.............. ZIDUMU FIKRA ZA MAGAMBA NO MATTER WHAT...............!!!!!!!!!!!!!!i do not believe if Tanzania have such mental thinking. The Global of bussines is looking Tanzania as people of same thinking. Chadema now is a problem to the country. They are not a political party but a gang. Poor Tanzania i wish Gadafi could be in the country. Gang party chadema. Is a doomed party for the peace of the country.
They are capturing "power!" stolen from Tanzanians
Unakifu sijui una jinsia gani kwani michango yako inafanana na wasio na aibu kutokana na matendo fulani
Ulifikiri lakini kumbe hujui, lengo na madhumuni ya vyama vya kisiasa duniani kote ni kutawala dola na si zaidi ya hapo, na inapotokea dola inatawaliwa na chama ambacho si chako kazi yako inakuwa kuangalia ni wapi wamekosea, ili uwatumikie wananchi inakupasa kukusanya kodi na kuzitumia kuwaletea maendeleo na wakusanya kodi hao ni chama tawala, upinzani unawatumikia kwa kukosoa chama tawala, chama cha siasa sio charitable organization kinakosoa chama tawala na kuhakikisha chama tawala kinapeleka huduma muhimu, utawala wa haki na sheria na matumizi bora ya rasilimali, kwa kuzingatia hayo chadema kimekuwa chama pekee kinachowatumikia wananchi kwa kuikosoa ccm na serikali yake kwa kila kona na hapo ndipo mnapoumia, vumilieni kwakuwa nyie ni chama tawala na mmeshindwa kutimiza malengo ya watanzania.
They are capturing "power!" stolen from Tanzanians
mwambie watu wa Chunya tunasubiri meli yetu,We vipi?Umetumwa?CCM ni dume la mbegu,CCM ni chama kikongwe,Mkuu wa kaya ana mauzoefu ya kufa mtu,akoseshwe usingizi na CDM?We ndio sijui uko nchi gani.Ahadi zote atazitekeleza tu si bado muda haujafika.Ameanza na zile bajaji 400 za wajawazito,itafuata meli ya Mv Bukoba na Dar kujengwa Fly over.We subiri uone
you are also been taken by Chadema's wind
. Use your brain to visual beyond horizon. chadema is a Company owned fem noise maker. Go 2 sleep. Leave the tanzania poor but rich in peace.
Indeed they are, stolen from which Tanzanian? I am a Tanzanian and none has stolen anything from me, even our great elders who struggled for self rule from the UN never wanted to "capture power". Who are chadema to brainwash us into capturing power?