MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Wasalaam wana bod i wenzangu .Jimbo la Iramba mashareiki ni mojawapo ya majimbo yaliyoko mkoani Singida.Jimbo hili linaongoza kwa kuwa na huduma mbovu za kijamii na kiuchumi ktk mkoa wa Singida.Hali hii ni matokeo ya kuwa na viongozi wabovu kama vile mbunge. Watu hawa wanahitaji mabadiliko ya kisiasa, wafikieni.