TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Ebu jitahidi kurudia kusoma zile post za wakuu waliokukosoa utapata kitu cha maana sanaMagamba at work
Ebu jitahidi kurudia kusoma zile post za wakuu waliokukosoa utapata kitu cha maana sanaMagamba at work
kumbe Mhe lema mlokole? mwenye uelewa wa kutosha naomba anijuze maana ya ulokole kama hata Godbless yumo!!!!!
wanapiga nyimbo za dini ili kukimbiza wachawi na mashetani ambayo yanaweza yakawa yametumwa kuja kuvuruga mikutano
Nimekukubali sana kaka.. ukweli usemwe haiwezekani upende kitu bila kukikosoa pale unapoona ndivyo sivyo... pamoja.. peopleeeeee powerMimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!