Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
nyie hamueleweki, jipangeni.
Mkuu tofauti yako wewe na Molemo ni nini hapa??
grow up bana, unaniangusha
nyie hamueleweki, jipangeni.
mimi sioni tatizo la nyimbo za dini kupwa kwenye mikutano ya chadema, labda kama kuna jingine. au unataka nyimbo za mapenzi?
Ebu weka clip tuone kama unatoa toka moyoni hayo malalamiko au ndio walewale.
Kwani hili ndo unalijua leo?Hicho ni chama cha kanisa si chama cha siasa,Hukuona kampeni za Arumeru mgombea wao alivyokuwa anaombewa kwenye majukwaa,nawahurumia ambao hawalijui hilo.Mimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!
nyie hamueleweki, jipangeni.
Tatizo sio wewe mtu mmoja, ni wale ambao wanakuwa uncomfortable ambao ni wengi kuliko wewe.
Mimi ni mwanachama wa cdm na mpenda mageuzi kinachonikera kwenye hichi Chama changu ninachokipenda sana!! ni hizi nyimbo za kidini zinazopigwa kwenye mikutano ya cdm napa Arusha sina uhakika na sehemu nyingine ukifika kwenye mikutano hii utazani mzee wa upako au kakobe anahutubia nataka niwakumbushe viongozi wangu na mbunge wangu mheshimiwa lema bado wewe ni mbunge wangu najua wewe ni mlokole lakini kumbuka wanachama wote cdm si wakristo na mikutano ya kisiasa sio ya kidini na wala Chama hakina dini na kwamtu ambaye si mkisto sehemu Kama ile anakua uncomfortable to be honest ingekua wewe ni mkristo na kwenye mkutano wa Chama chako ikawa inapigwa KASWIDA ungejisikiaje? Leo cdm inatakiwa kuunganisha watu wote na dini zote ili kuchukua dola na isifanye makosa ya cuf kuzani unaweza kuchukua dola na watu wa dini moja ili tufike tunakoenda lazima tukosoane na kuelezana ukweli people's power!!
chadema ni chama chenye mrengo wa kidini hilo halina ubishi.
Sijawahi kuhudhuria mikutano ya Chadema kumbe huwa wanapiga Kwaya!
Kaka hapo bado hujasema kitu zipo nyimbo nyingi tu zenye ujumbe unaoweza kufananisha na tukio hilo lakini kwa nini watumie wa dini?Usipeleke wazo hili pembeni suala linalojadiliwa ni kutumiwa nyimbo za dini kwenye mikutanao kumbe unathibitisha hadi kwenye Cd zimo?Kaka hapo hakuna njia nyingine zaidi ya kuacha kutumia hizo nyimbo.Usifafanue jambo ambalo uhalisia wake unajulikanaMimi nina cd iliyotolewa na cdm juzijuzi ikiwa ni shooting ya Mkutano wa NMC uliofanyika mara baada ya Lema kuenguliwa Ubunge, na inauzwa sana hapa Arusha na sehemu zingine kwa sasa!
Cd hiyo wakati inaanza unasikika backing sound ya ule wimbo wa Wanyarwanda waliopata ajali(Mungu kwanini umeruhusu jambo hili kutokea)...
Nadhani walichukua kipande hicho si kwa nia ya dini 'parse' kama unavyojaribu kupandikiza, bali kutokana na yale maneno yanayoimbwa katika wimbo ule yalivyo na hisia(aliyetazama zile cd ananielewa) basi inahusishwa moja kwa moja na tendo la serikali kwa kutumia mahakama ilivyoruhusu udhalimu wa kumvua Mbunge wa Arusha ufanyike!
Though, your advice taken on board!