CHADEMA...hii trend sio

CHADEMA...hii trend sio

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,836
Reaction score
1,845
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeees.

Nimewapa salam makamanda wa CHADEMA na msio chadema pia.

Wakuu kama mmekua wafuatiliaji wazuri wa mikutano ya hadhara na pia makongamano mengi ya wazi ya chama cha demokrasia na maendeleo, kuna jambo limekua linajidhihirisha waziwazi lakini sijapata kuona kama kuna juhudi za makusudi za kulishughulikia.

Swala lenyewe ni "audience" ya chadema. karibia asilimia tisini na saba (kwa makisio) ya watu wote wanaohudhuria mikutano katika operation mbalimbali ni wanaume. Inawezekana likaonekana si tatizo, lakini katika siasa ni tatizo la msingi sana. Support ya wanawake ni muhimu sana katika maendeleo ya chama, hasa ukizingatia kuwa wanawake wana ushawishi mkubwa sana katika jamii.
Hata TANU ilipokuwa ikitafuta uhuru, chini ya nyerere waliona hili na kuamua kuanzisha "wing" ya wanawake ili mapambano yasiwe ya jinsia moja.
Sijawai sikia kama CHADEMA wana jumuia ya wanawake au "wing" ya wanawake katika chama (i stand to be corrected). Hili ni tatizo la kimsingi sana hasa katika wakati huu ambapo chama kina nia ya kuchukua dora. Itakua ngumu sana kuwaondoa CCM bila kuwa na support ya wanawake. Wanawake ni wapiga kura wazuri sana kuliko wanaume, wanawake si vigeugeu sana kama wanaume, wanawake katika familia wanaushawishi mkubwa kwa watoto hasa teenagers kuliko wanaume ,Pia wanawake ni wengi kuliko wanaume.

CHADEMA pia kuweni makini sana na "slogan" zinazotumiwa na chama, inawezekana ikawa ni mojawapo ya kikwazo kwa wanawake kujiunga katika mapambano ya chama. Wanawake wako very "protective" so tunapokuwa na "slogan" ambazo ni "agressive" sana na haziko "GENDER SENSITIVE" tunakua tunawatisha na kuwatia uoga. kwa mfano "Hakuna kulala mpaka kieleweke" "operations" ni maneno ya kawaida lakini kwa watu wenye asili ya kuwa "very protective" yanawapa maana nyingi zaidi ya moja. Maneno haya yanawatisha kina mama, wamezoea kusikia operation za kijeshi, sasa hizi za kichama wasipofafanuliwa inakua ngumu sana kujua yaliyomo.

Pia wabunge wanawake walio chadema sisikii wakifanya vikao na wanawake wenzao, wala mikutano ya kuwahamasisha. Sijui ni kwa nini lakini 'men are so opportunistic " that depending on them completely may lead into 'abyss"


Fanyieni kazi ni mapema bado, KAMA hamtaki hayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:
 
Kweli kabisa. Asante Sana kwa ushauri na hilo ni jambo la kweli kabisa. Hakuna kupinga
 
kama ni mwanamke mpaka uwe mboga ya wakubwa ndo unapata chance ya kuinia cdm
 
nawaasa viongozi wa chadema waache kwanza uzinzi ndipo wahamasishe wake zetu na mama zetu kukiunga mkono chadema
 
tangu josephine amebondwa pale arusha na wanawake kuona kuwa hakuna usalama ktk mikutano ya cdma
 
nawaasa viongozi wa chadema waache kwanza uzinzi ndipo wahamasishe wake zetu na mama zetu kukiunga mkono chadema

Toa ushamba wako km watu walitongozana na wakakunaliana we kinachokuuma ni nn? Au mpeleke mke wako bac!! Mbona kapuya alimbaka dent wa shule imefika wap? Maana naona unashabikia sn peleka mke wk
 
Mkuu unayoyasema ni sahii kabisa.

Ila kiukweli tukiangalia Ground politico yetu hapa nchi ni kwamba mikutano ya siasa haswa ya hazara (kwa vyama vya upinzani) inatafsiriwa kuwa muda wowote polisi wanaweza kuingilia na kuanza kutupa mabomu na kupiga risasi za moto. Na hili huwa linawafanya mama na dada zetu washindwe kuuzuria.
 
Hilo watu wengi wanaoitakia mema Chadema wameongea sana kikwazo ni Uongozi wa juu umeonekana kupuuzia sana ushauri wa kuimarisha wing ya akina mama na wanawake kwa ujumla.Huwa najiuliza wakati mwingine iwapo akina Mbowe wana nia kweli kushinda Uchaguzi 2015 au wapo pale kwa biashara zao tu?Ukweli ni kwamba itakuwa ni ngumu sana kushinda Uchaguzi 2015 kama wataendelea kulipuuza kundi hili muhimu la wapiga kura.Wanawake ni wengi kuliko Wanaume hapa Tanzania na karata muhimu mno kwa Chama chochote cha Siasa chenye ndoto ya kuongoza Dola.Chadema wana BAWACHA lakini ni sawa na haipo tu kwasababu hakionekani kuwa active kabisa kisiasa.

Pia nimevutiwa na namna mleta mada alivyoweza kuzama ndani kabisa katika kukitafuta kiini cha kwanini Wanawake nchini hawahamasiki kukiunga mkono Chadema kwa wingi,Sababu uliyoitoa ina ukweli ndani yake,Chadema inabidi wabadilishe SLOGAN kutoka ya sasa ambayo si tu ni AGGRESSIVE bali pia MASCULINE hadi ile SLOGAN ambayo ni GENTLE/POLITE ili kuwavuta Wanawake na Wanaume Wastaarabu.
 
tangu josephine amebondwa pale arusha na wanawake kuona kuwa hakuna usalama ktk mikutano ya cdma

Josephine alipigwa kwa ajili ya kiherehere chake, huwezi kuwatukana Polisi eti kisa wewe ni Mchumba wa Katibu Mkuu wa Chadema, halafu wakakuacha hivi hivi.
 
nawaasa viongozi wa chadema waache kwanza uzinzi ndipo wahamasishe wake zetu na mama zetu kukiunga mkono chadema
mmmhhh kamanda feki hapo umenena nakuunga mkono tena kama yule maamaa yako duuuhhh ni hatari yule kwa kutamani wanaume,,4sure dont allow her kuhudhuria hiyo mikutano...halioni dume akatulia...atatuharibia chama...naunga mkono hoja yako kamanda.
eti eee...mkeo nom prob katulia ka wangu...ila our moooom....mmmmmmmmmmmm
 
mmmhhh kamanda feki hapo umenena nakuunga mkono tena kama yule maamaa yako duuuhhh ni hatari yule kwa kutamani wanaume,,4sure dont allow her kuhudhuria hiyo mikutano...halioni dume akatulia...atatuharibia chama...naunga mkono hoja yako kamanda.
eti eee...mkeo nom prob katulia ka wangu...ila our moooom....mmmmmmmmmmmm
umeona inavyouma kuchafua majina ya baba za watu?mie pia huyo mbowe is like my dady..nimeumia ndo maana nkakukumbusha nawe ucheki tabia ya mama yetu...najua unaelewa tabia zake.....but potezeaaaaaaaaaa
 
1601065_643621222368345_1110423331_n.jpg
 
Back
Top Bottom