Chadema hela ya kufanyia mikutano wanatoa wapi?

Chadema hela ya kufanyia mikutano wanatoa wapi?

Mkuu JJB, unasahau historia ya Mwalimu Nyerere kuchangiwa hela na makwabela kwenda UNO (United Nations) kudai uhuru wa Tanganyika. Pia CHADEMA inachangiwa na makabwela wenye matumaini ya kupata ukombozi wa maisha bora kwa kutoa michango yao midogo lakini kwa vile ni wengi na ndiyo watasaidia kuipeleka CHADEMA IKULU kushika dola. Tatizo CCM mnawapuuza makwabela tofauti na Mwalimu Nyerere na kupokea fedha zenye harufu ya ufisadi kupitia EPA, DEEP GREEN, RICHMOND n.k na (CCM) kuwalinda mafisadi kwa nguvu zenu zote.
 
Mimi kama raia wa Tanzania ningependa kufahamu hela ya kufanyia mikutano ya CHADEMA inatoka wapi?

Kwa utafiti mdogo nilioufanya mikutano ya kitaifa inayofanywa na viongozi wa CHADEMA si chini ya dola za kimarekani 5000. Lakini cha ajabu CHADEMA wanaweza kufanya mikutano mingi sana bila ya kupumzika.

Nina nia nzuri sana ya kufahamu haya jamani. Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA na ningeomba viongozi au wanachama wenzangu mnijulishe kuhusu hili.

Kule kule ambako MWIGULU NCHEMBA alipata hela za kuifadhili SIMBA SPORTS CLUB kwenda KIJIJINI kwake HUKO SINGIDA
 
Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?

wanachangiwa na marafiki wa lowasa.
 
Basi we utakuwa una matatizo,yaani we mwanachama hai alafu ujui chama chako pesa za mikutano wanatoa wapi, hayo majanga.
 
Chadema kinapata ruzuku michango kutoka kwa wadau na wahisani hata mwananchi 2 wa kawaida wanaichangia chadema
 
Mkuu JJB, unasahau historia ya Mwalimu Nyerere kuchangiwa hela na makwabela kwenda UNO (United Nations) kudai uhuru wa Tanganyika. Pia CHADEMA inachangiwa na makabwela wenye matumaini ya kupata ukombozi wa maisha bora kwa kutoa michango yao midogo lakini kwa vile ni wengi na ndiyo watasaidia kuipeleka CHADEMA IKULU kushika dola. Tatizo CCM mnawapuuza makwabela tofauti na Mwalimu Nyerere na kupokea fedha zenye harufu ya ufisadi kupitia EPA, DEEP GREEN, RICHMOND n.k na (CCM) kuwalinda mafisadi kwa nguvu zenu zote.

elfu yangu tano ninayochanga ...kwa wanachama wote wa CDM.... endelea kukokotoa....
 
Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?



Kha ha ha ha ha haaaaaaa!

chichiem a.k.a mafisadi ndiyo wanawezesha!
 
Hivi BAVICHA jinsia ya kike mnaifanya kama tusi?

Maana naona mnadhalilisha kweli mama na dada zetu. Kama huwezi kuitetea CHADEMA kwa hoja nenda kalime kijijini kwenu.

kwa hiyo we mwigulu ni wa mjini,tangu lini singida kukawa mjini?
 
Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?

Acha kujitia upofu wewe kwani CDM wanamkodi Diamond na wanamziki wengine? CDM pia hawaendi kuwachukua watu kuja kwenye mikutano yao kwa mabasi na fuso kama cccm CDM hawachinji ng'ombe na kupika wali kwa ajili yya watu wanaokuja kwenye mkutano na pia CDM hawatoi posho kwa washiliki wa mikutano yao bbadala yake washiliki wanaichangia CDM. Lakini pia unatakiwa ujue kkuuwa wanachama wa CDM wanalipia ada ya kadi zao kila mwezi sio kama ccccm ambao wanachama wanalipiwa kadi zao na wagombea wakati wa kula za maoni.Sasa kwa hapo tu hiyo milioni 100 inatoka wapi? na wewe unavyo jua pesa ya ruzuku kazi yake zaidi ni nini? kusema kweli CDM imewashika pabaya sana yani cccm hamuishi kuiongela mala mjiite wanachama hai wa CDM huku mkiwa mnaongopa. VIVA CDM
 
najuta kuzaliwa tanzania,mana bora ningezaliwa china niwe mpija karate,kuliko kuzaliwa kwa watu wenye ufinyu wa fikra na ulevi wa vyama,swali zuri tatizo waliowekewa wajibu wanafikir kwa ku2mia mat......k badala ya ubongo, mtu anaitaji majibu nyie mnampa matusi, kama wewe umefanya chama kabila usitake kila mtu afuate utakavyo...kama kweli CHADEMA ni chama cha demokrasia na maendeleo upo wapi hapo uhuru wa kujieleza,kuhoji na kuchangia? Au ndo mnajitete kwa msemo ukimchunguza bata hauta mla? Always matusi yameumbiwa watu wenye mdororo wa kimawazo kama short cut ya kukwepa reality...Tawile ni mfumo wa kizaman siku hizi kila ki2 lazima 2hoji na kinachohitajika ni majibu sio matusi

Mwana ccm China kwake ni halamu kwani kwa sasa cccm wote mnadeal na madawa ya kulevya sasa sidhani kama utapoana hata kwa kutembelea tu watakutia kkitanzi. Halafu mbona kama kweli wazalendo kwanini hamtaki kujua mikataba ya gesi na rasilimali zingine za Tanzania walizo wapa mnao waita wawekezaji? Lakini pia ni busara kuuliza pia kwa akina Nape na mwigulu wanapata wapi pesa za kumkodi Diamond ambaye kasema kwa show 1 sio chini ya M. 20? jifunze kujiuliza zaidi kuliko kuuliza zaidi. VIVA CDM
 
Makada wa CCM wanchangia sana CHADEMA


SabodoMbowe.jpg
 
mwaka huu ccm mtachanganyikiwa. chadema wamewashika pabaya. mia
 
Yeyote ambaye amehudhuria mikutano ya CDM atakuwa ameone michango ikifanywa wakati wa mikutano hiyo. Hicho ndicho chanzo cha fedha cha kughramia mikutano hii. Hebu Ndugu jaribu kuhudhuria angalau mkutano mmoja uone.
 
Kama we ni wanachama alafu ucjue pesa inapatikana je huo unafiki!!!
nakusaidia cku moja uzuria mkutano then ukitoka pale utajua nje ya wafadhiri , vyama rafiki , ruzuku na nk. utajua kama pesa inapatikanaje CCM wanonge CDM wanapewa
 
Back
Top Bottom