Mimi kama raia wa Tanzania ningependa kufahamu hela ya kufanyia mikutano ya CHADEMA inatoka wapi?
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mikutano ya kitaifa inayofanywa na viongozi wa CHADEMA si chini ya dola za kimarekani 5000. Lakini cha ajabu CHADEMA wanaweza kufanya mikutano mingi sana bila ya kupumzika.
Nina nia nzuri sana ya kufahamu haya jamani. Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA na ningeomba viongozi au wanachama wenzangu mnijulishe kuhusu hili.
Mimi kama raia wa Tanzania ningependa kufahamu hela ya kufanyia mikutano ya CHADEMA inatoka wapi?
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mikutano ya kitaifa inayofanywa na viongozi wa CHADEMA si chini ya dola za kimarekani 5000. Lakini cha ajabu CHADEMA wanaweza kufanya mikutano mingi sana bila ya kupumzika.
Nina nia nzuri sana ya kufahamu haya jamani. Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA na ningeomba viongozi au wanachama wenzangu mnijulishe kuhusu hili.
Mimi kama raia wa Tanzania ningependa kufahamu hela ya kufanyia mikutano ya CHADEMA inatoka wapi?
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mikutano ya kitaifa inayofanywa na viongozi wa CHADEMA si chini ya dola za kimarekani 5000. Lakini cha ajabu CHADEMA wanaweza kufanya mikutano mingi sana bila ya kupumzika.
Nina nia nzuri sana ya kufahamu haya jamani. Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA na ningeomba viongozi au wanachama wenzangu mnijulishe kuhusu hili.
Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?
najuta kuzaliwa tanzania,mana bora ningezaliwa china niwe mpija karate,kuliko kuzaliwa kwa watu wenye ufinyu wa fikra na ulevi wa vyama,swali zuri tatizo waliowekewa wajibu wanafikir kwa ku2mia mat......k badala ya ubongo, mtu anaitaji majibu nyie mnampa matusi, kama wewe umefanya chama kabila usitake kila mtu afuate utakavyo...kama kweli CHADEMA ni chama cha demokrasia na maendeleo upo wapi hapo uhuru wa kujieleza,kuhoji na kuchangia? Au ndo mnajitete kwa msemo ukimchunguza bata hauta mla? Always matusi yameumbiwa watu wenye mdororo wa kimawazo kama short cut ya kukwepa reality...Tawile ni mfumo wa kizaman siku hizi kila ki2 lazima 2hoji na kinachohitajika ni majibu sio matusi
Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?
We ni mpuuzi tu... Huo utafiti wako kuwa mikutano ya CDM inagharimu "dola"... Uweke hapa tuuone. Mwaka 2011 Dr Slaa alikuja Morogoro kufanya mkutano, kwenye ofisi ya mkoa wadau tukapiga donation tukapata sh 240,000, elfu 65 ikatumika kukodi gari ya matangazo, na nyingine tukalipia hoteli na chakula kwa ajili ya watu wawili walioandamana nae, na dereva wa Slaa. Slaa mwenyewe alikwenda kulala numbani kwa mwanachama mmoja wa CDM mkoani hapa na kesho yake akaendelea na ziara zake. Mafuta ya gari moja iliyokuwa kwenye msafara wa Slaa nina uhakika hayakugharimu zaidi ya elfu 20 kwa safari zilizohusu mkutano huu.Mimi kama raia wa Tanzania ningependa kufahamu hela ya kufanyia mikutano ya CHADEMA inatoka wapi?
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mikutano ya kitaifa inayofanywa na viongozi wa CHADEMA si chini ya dola za kimarekani 5000. Lakini cha ajabu CHADEMA wanaweza kufanya mikutano mingi sana bila ya kupumzika.
Nina nia nzuri sana ya kufahamu haya jamani. Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA na ningeomba viongozi au wanachama wenzangu mnijulishe kuhusu hili.
Hizi ndio akili za LB7... We unadhani CDM ruzuku na michango ya wananchi wanaenda kubanjuliana znzb kama shigela na edda?!!!Kwanza rekebisha kiasi cha pesa, umefanya makadilio ya chini sana kiasi cha kuhama kwenye uhalisia, kwa ufupi, mikutano ya CHADEMA ina husisha 'chopa', nadhani kwa makadilio ilipaswa uweke si chini ya milioni 100 kwa mkutano. Sasa uanze kuhoji, pesa wanatoa wapi?
Umesahau na mgawo wa madawa ya kulevya. Maana ili ufanye hiyo biashara lazima utenge za CCM pembeni, la sivyo utakwenda na maji au utakuwa kwenye orodha.Kwani manadhani sisi CDM ni maskini watu wa buku saba...? zipo kidogo...za jasho letu lakin si ufisadi wala meno ya tembo...
Wakiwa wanatuchangisha michango, mlikuwa mnabana pua... "kwa nini CHADEMA inawachangisha michango wanachama/wapenzi wao"
Sasa hivi tena mnabana pua "CHADEMA wanatoa wapi Pesa za kufanyia mikutano"
Yani nyie lumumba project, wote mtakua na mimba changa zinawasumbua....
hapa na bado, kuelekea 2015, lazima hizo mimba zenu mjifungue kabla ya miezi 9...
Hizi ndio akili za LB7... We unadhani CDM ruzuku na michango ya wananchi wanaenda kubanjuliana znzb kama shigela na edda?!!!
Hizi ndio akili za LB7... We unadhani CDM ruzuku na michango ya wananchi wanaenda kubanjuliana znzb kama shigela na edda?!!!