CHADEMA HEDARU yang'ara MNO !

CHADEMA HEDARU yang'ara MNO !

Wewe ni sawa na yule aliekwnda UK akaanza kushangaa kuona watoto wadogo wanaongea liimgereza, akawasifia wana akili kweli wakati ni lugha yao

Hya, MNO KWELI!
 
Wewe ni sawa na yule aliekwnda UK akaanza kushangaa kuona watoto wadogo wanaongea liimgereza, akawasifia wana akili kweli wakati ni lugha yao

Hya, MNO KWELI!

Tanangozi na kihesa kote tumevuruga , hivi sasa tunamtimulia vumbi lukuvi .
 
Wewe ni sawa na yule aliekwnda UK akaanza kushangaa kuona watoto wadogo wanaongea liimgereza, akawasifia wana akili kweli wakati ni lugha yao

Hya, MNO KWELI!

Na wewe kufika UK basi ndo kiiiiiila mfano, viva cdm
 
Nakaribia hapo sasa hivi nimepita ndungu nipo kitongoji kinaitwa bendepa au majengo hapa ni nyumbani kwa daniel yona nitazungukia hedaru na makanya kisha nalala same nitaangalia kama unayosema ni kweli.

Jirani zangu wapare wawe makini na mzururaji huyu.asipowaibia anaweza kuwaachia.......Kwanza wapare hawayumbishwi na porojo hizi.Eti kapita barabarani na ghafla kashaelewa Hedaru yote.Kwa msingi huu Ikulu ndoto
 
:A S thumbs_up:Hii movement inatakiwa ifike na kwetu Usangi aisee,pale ni kuchimbua na mizizi kabisa na kutupilia mbali chochote kinaitwa CCM.Ila kuna kazi ya kufanya manake kuna mapapa si utani,ukifanya mzaha wamezwa yahe.....
 
Lini ulishawahi kusikia mshabiki wa yanga anasema simba ni waziri zaidi yao,au mshabiki wa simba akasema yanga ni wazuri zaidi yao!
 
Back
Top Bottom