CHADEMA HEDARU yang'ara MNO !

CHADEMA HEDARU yang'ara MNO !

Nakaribia hapo sasa hivi nimepita ndungu nipo kitongoji kinaitwa bendepa au majengo hapa ni nyumbani kwa daniel yona nitazungukia hedaru na makanya kisha nalala same nitaangalia kama unayosema ni kweli.

asante mkuu.
 
ccm imebakia tanga na wilaya zake zote hasa huko lushoto....cjui hawa wasambaa watatoka usingizini lini jamani...inasikitisha sana...wangekua hata serious basi wachague hata wabunge wenye uelewa haohao wa ccm atleast ingewasaidia....wabunge wenyewe ni mizigo tu bungeni....

au ndiyo maana wasukuma mikokoteni wengi wa kariakoo wanatokea huko ?
 
wewe unafanana kwa kiwango kikubwa na chankaka. Halafu utakuwa umechanganyikiwa kama si kurukwa na akili. Hivi kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kupita barabarani na kuwauliza watu vyama vyao?

ilikuwa ni uchunguzi makini mjomba , sikukurupa kama unavyodhani , chama cha siasa ni majukwaani na barabarani - jk nyerere.
 
Mimi mwenyeji wa Hedaru na nakubaliana na mleta hoja. CCM haipo Hedaru tena, na kwa jimbo la Same Magharibi, Hedaru ndo ilikuwa ngome ya CCM. Pale kazi imekwisha na mapinduzi lazima yaje mara moja ifikapo mwakani.

Mungu akulinde kamanda .
 
wewe unafanana kwa kiwango kikubwa na Chankaka. halafu utakuwa umechanganyikiwa kama si kurukwa na akili. hivi kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kupita barabarani na kuwauliza watu vyama vyao?
Tehe teheee unafikiri anasafiri na basi ka wewe?
 
inasemekana KIFO kinafanana tu ! Kwamba aliyeugua akafa ni sawa tu na aliyeliwa na Mamba au simba ama ni sawa tu na alyekufa kwa kuungua na moto ! Nimepita HEDARU mchana huu , kiukweli ni kwamba pale ccm imeteketea ! Kila UNAYEJARIBU KUMHUSISHA NA CCM ANARUKA FUTI MIA ! HIVI CCM IMEBAKI WAPI , NA JE INAKUFA KIFO GANI ? HONGERENI SANA CDM HEDARU , SOURCE NI MIMI MWENYEWE SAFARINI KUREJEA DAR .
Mbunge wa hilo eneo anatokea chama gani?
 
inasemekana KIFO kinafanana tu ! Kwamba aliyeugua akafa ni sawa tu na aliyeliwa na Mamba au simba ama ni sawa tu na alyekufa kwa kuungua na moto ! Nimepita HEDARU mchana huu , kiukweli ni kwamba pale ccm imeteketea ! Kila UNAYEJARIBU KUMHUSISHA NA CCM ANARUKA FUTI MIA ! HIVI CCM IMEBAKI WAPI , NA JE INAKUFA KIFO GANI ? HONGERENI SANA CDM HEDARU , SOURCE NI MIMI MWENYEWE SAFARINI KUREJEA DAR .

ccm kimebaki tu kichwani mwa akina Chris Lukosi na wajinga wenzake wachache, lakini kimsingi kwa watanzania ccm tayari ipo kaburini.
 
Wao wako busy dodoma wanapanga mikakati ya kuchakachua kura 2014/015 ila vijana wa cdm karibia tanzania nzima wako chimbo wanasambaza elimu ya uraia tu
 
inasemekana KIFO kinafanana tu ! Kwamba aliyeugua akafa ni sawa tu na aliyeliwa na Mamba au simba ama ni sawa tu na alyekufa kwa kuungua na moto ! Nimepita HEDARU mchana huu , kiukweli ni kwamba pale ccm imeteketea ! Kila UNAYEJARIBU KUMHUSISHA NA CCM ANARUKA FUTI MIA ! HIVI CCM IMEBAKI WAPI , NA JE INAKUFA KIFO GANI ? HONGERENI SANA CDM HEDARU , SOURCE NI MIMI MWENYEWE SAFARINI KUREJEA DAR .

Hope hata hapo jirani maeneo ya Makanya watakuwa wamepata maambukizi hayo.
Hongera zao hao wasambaa na wapare kwa ujumla wao.
 
mwenye ile picha ilipigwa kwenye kolido za lumumba ikionyesha vijana wamebanana na vicomputer kama wako wodi ya wazazi hospitali ya temeke , tafadhari aniwekee .
 
Hope hata hapo jirani maeneo ya Makanya watakuwa wamepata maambukizi hayo.
Hongera zao hao wasambaa na wapare kwa ujumla wao.

cdm ni kama moto wa nyikani , unaunguza hata majani mabichi !
 
CCM imebakia tanga na wilaya zake zote hasa huko lushoto....cjui hawa wasambaa watatoka usingizini lini jamani...inasikitisha sana...wangekua hata serious basi wachague hata wabunge wenye uelewa haohao wa ccm atleast ingewasaidia....wabunge wenyewe ni mizigo tu bungeni....

wana jf, kuna maeneo bado cdm haijakolea vizuri na kupata elimu ya uraia,, ndugu wa tz ni muhimu sana kuondoa ccm kuanzia juu mpaka kwenye shina kwa nguvu zote kbc mpaka mbingu ifurai na kucheck,,,,,,, poor ccm see u in the grave
 
Back
Top Bottom