Ofisi ziko mioyoni kwa watu,pale ufipa ni stand ya mwendokasiUfipa Dar siyo makao makuu?
LISU hana Tamaa kama ya MUNGU MTU wenu ya kujirundikia kila kitu CHATOLissu atafurahi sana ikiwa ni Singida
Kuna haja gani ya kuziamisha kutoka mioyoni kuzipeleka Morogoro, Dodoma au Singida?Ofisi ziko mioyoni kwa watu,pale ufipa ni stand ya mwendokasi
Kama ambavyo nanyi MATAGA mtakapohamishia pale makaburini ChatoLissu atafurahi sana ikiwa ni Singida
Sasa Pemba kuna chadema? Strong hold ya Pemba ilikuwa CUF baadae ukahamia ACT sababu kiongozi waliyekuwa wqnamtaka ni maalim Seif ambaye ni Mpemba.Mbona hakuna aliependekeza makao makuu yawe Pemba?
Ufipa Dar siyo makao makuu?
Tutapanga nyumba nyingineivi ile guest mnaweza kusema ni makao makuu? mwenye nyumba akibadilisha mawazo msipange tena pale mtakua na makao makuu wap
Ufipa Dar siyo makao makuu?