CHADEMA haya ndio majibu yenu. Asante Rais Magufuli

Kwanza nimpongeze Mhe Rais kwa uimara na misimamo yake thabiti bila shaka anaitambua methali isemayo ''Ukicheka na Nyani utaokota Mabua''

Rais amejibu shauku ya wanamabadiliko ya kweli na hata waliobakia ni wale waliotaka mabadiliko Maslahi, Hao fuata upepo, jamii ya mifugo au wanyama wengine walao majani. Yalipo wapo.

1: Hoja ya rais dhaifu.

CHADEMA hawa hawa walimsema sana JK kuwa ni dhaifu, walidiriki mpaka kusema inchi ina ombwe la.uongozi.
Rais kwa kulijua hilo wakati wa kampeni alisema wazi hana mda wa kuhamisha mtu, ni hapo hapo kazi huna.
Nashindwa kuwaelewa hawa ndg walichotaka ni nini maana ni matusi tuu na kebehi za kitoto.

2:Hoja ya Ufisadi nchini

Katika masuala ambayo yametumia ruzuku nyingi za chama cha chadema ni suala la ufisadi. Tuhuma hizi zilipelekea serikali ya JK kupangua mawaziri mara kadhaa na kusababisha mpaka Lowasa kuachishwa kazi na Pinda kuchukua nafasi ya PM.
Sina hakika kama makelele ya ufisadi yaliyosemwa na chadema yalikuwa ya kweli ama uongo sina hakika. KABISA! Wanakawaida ya kutaja kutamka tuhuma na kudai kama.serikali inabisha itoe ushahidi. Sasa hivi wana watu waliowatuhumu ati ktk uongozi wao waliliingizia taifa hasara. Ref uuzwaji wa nyumba chini ya PM Sumaye na Tuhuma ya Richmond chini ya PM Lowasa.

Magazeti ya kubenea yalipata umaarufu kwa kumhusisha PM edo na Richmond lakini leo amefyata mkia.

Siskii tena neno ufisadi bila shaka umeisha au Chadema wameungana na mafisadi.

3: Hoja ya ukusanyaji wa Kodi

Ilikuwa ni matusi kupindukia kuwa serikali.haikusanyi kodi, Rais Magufuli kaingia na speed ya hatari. Lango kuu la nchi'Bandarini' nadhani ndio eneo limeongoza kwa kushtukizwa na PM Majaliwa na Rais Magufuli
NilichoJifunza tena Baada ya kutumbua tumbua kumbe viongozi wengi hata wa upinzani ni wafanyabiashara. Kwa hiyo nao walifaidika either bila kujua au kwa kujua lakini waliamini hawataguswa. Saizi unaingia ktk kumbi za starehe unapata risiti za kieletroniki za TRA.
Kwa sasa mapovu yanawatoka hao hao walio lalama. Wengine hawajalipa kodi za mapango NHC ,wanamadenini lukuki Twiga ni aibu sana.kwa viongozi tena waliojipambanua kupinga hayo

4: Hoja ya Usafiri wa Anga/Nchi kavu

Ilikuwa fedheha kwa nchi 1995~2002/3 wakati huo wazazi wengi walianza kusomesha watoto Kenya na Uganda. Wengi. walianza kutumia barabara hizo hizo kwenda Mwanza na Bukoba maana ni lami. Makampuni ya Akamba Coach, Falcon na Spider yamefanya biashara sana bila kusahau Scandinavia express (Hii scandnavia hii) awamu ya tatu chini PM Sumaye inaweza kutueleza what went wrong.

Shirika letu la ndege liliferi kila jitihada. Tulifikia hatua ya mpaka kuingia mgogoro na Kenya wakikataa vijana wetu wanaobeba watalii wasiende kuwabeba watalii Tokea Airport Kenya.
hatua za Rais Magufuli ni nzuri sana viwanja vyetu vya Zanzibar, JNIA, Kilimanjaro, Songwe na sasa Mwanza inakuja vitaweza kuipokea dreamliner ikiwa na watalii wengi itasaidia sana kupata pesa za kigeni.
Kuhusu Barabara sina cha kuongeza ukipita Kenya basi uamuzi wako. Rais Magufuli ashasolve tatizo.
Lakini tufahamu ya kuwa Standard gauge inaanza ujenzi January 2017,Daraja la selandar Jan 2017, Chalinze Express way
2017, Busisi Kigongo bridge 2017/2018, Flyovers zileshaanza Dar. Ubungo interchange inahtaji Tanesco, Idara ya Maji na shell zibomolewe.
Wasifanye ajizi siasa ziondoke hatuwezi kuwa na interchange yenye mataa.
Dual carriageway Arusha na Mwanza. So.we are moving.

6:Hoja ya Safari za nje za viongozi.

Jamani eeh mnyonge mnyongeni Rais Magufuli apewe haki yake, kuna waziri mmoja awamu iliyopita alidiriki kusema at walikuwa wanagongana angani. Kodi ya watanzania imetumika ndivo sivyo lakini Rais Magufuli kakomesha, nilishangazwa na kauli ya Sugu kusema Rais asijifungie sijui hatajulikana nk. Pamoja na yote hayo Rais Magufuli kasababisha Coalition of Willing ya Kenya Uganda na Rwanda kufa kiaina. Tumeweza kupata mradi wa Bomba la.mafuta toka Uganda na Rwanda wako nasi Ktk Standard gauge. DRC wamesema wawekezaji wa kitanzania waende Kalemie wakajenge matank wasambaze mafuta Kongo mashariki. Nani wa kubeza juhudi zote hizi, ni kujijaza ujinga na mimi nimeshaweka wazi namuunga mkono Rais Magufuli ingawa ktk suala la Fao la Kujitoa hasomeki na ashauri aliangalie upya especially Sekta binafsi.

7: Hoja ya Matibabu

Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana tumeona Muhimbili inavyoimarika, magonjwa mengi sasa yanatibika hapa hapa CTscan ilikuwa ni nadra kuikuta inafanya kazi. Serikali hii imejipambanua na tunashukuru
Badala ya kujaza Mahospitali Dar na Pwani ningefurahi kuona Hospital ya Ben Mkapa Dom ikichukua hadhi ya Muhimbili pia.

8:Hoja ya Kuhamia Dodoma

Jambo halikuwahi kutamkwa siku za karibu lakini tumepiga kelele sana kuwa Dar iko congested, Mji umeshindwa kupumua. Tumekaa na tatizo lakini hakuna anayethubutu kuhamia Dodoma. JPM kaweka wazi 2019 serikali yote Itakuwa Dom.
Faida za kuhamishia serikali Dodoma zitaonekana moja kwa moja miji ya Manyoni,Kondoa,Kibaigwa na Gairo,Iringa nk. Kutakuwa na usafiri wa Kwenda na kutoka Dodoma hata saa nne usiku. Kwa anayepajua vizuri Chalinze basi avute picha hiyo na safari za kwenda Dar.

9: Hoja ya bei ya korosho na mazao ya wakulima

Ukifika kw wa korosho Mtwara JPM ni shujaa sana kwao. Bei ya korosho imetoka 1000Tsh mpaka 3500Tsh~4000Tsh. Ongezeko Asilimia mianne, hii ndio tofauti ya kuchagua viongozi wasio na tamaa ya kutaka kuingia ktk biashara. Naamini tungeshuhudia kubadilishwa kwa wafaidika tu, yaani angetolewa yule na kuwekwa huyu kwa sababu binafsi na anarcho Alaskan wangeeendelea kusoteshwa na bei kichaa.
Nani kama JPM, Nani karma Majaliwa.
Tutaona mengi mfano huo ktk pamba,kahawa nk

10:Kiwanda cha Dangote

kifupi ni kuwa makampuni makubwa yameshukuru sana ujio wa JPM, ujinga ulikuwa mwingi na ndio hao vibaraka wanalalama kila kukicha mara oooh kenya wamempa eneo bure ili ahamishie kiwanda. Alikata ngebe za hawa vijana Dangote mwenyewe kuja kuonana na Rais na kushusha roli zaidi ya miasita.
Kumbe matapeli yalitaka kumpiga Dangote haiku yakikubuhu kukwepa kodi. Tunashukuru sana maana kila hila mwisho wake inawadhalilisha hawa mawakala feki.
Nchi hii ni ya misheni town balaa, yaani tukipata japo awamu mbili za. Mfumo huu, only twenty years tz itakuwa one of the top seven African economic giants trust me.

11:Hoja ya Madawati na elimu Bure.

Wanamuziki pia wawemeimba mmojawapo Kala Jeremiah. Chadema kama vuvuzela flani ivi, wanapiga kelele watoto hawaendi shule madarasa yakajengwa, wakasema hakuna maabara nazo zimejengwa madawati yamepatkana kwa nini hakuna anayepaza sauti ya shukrani? Jamii gani isiyoapreciate. Hapa kwa kweli serkali inastahili kupewa pongezi sana sana.
JPM alithubutu kujibana kwa kutumia bajeti ya JK 2015/16 ambayo haikuwa na elimu bure lakini ilifanikiwa ingawa jamaa wale waliona changamoto zaidi kuliko solutions ambazo zimepatkana.

12: Hoja ya elimu ya juu.

Tangu 1994 Tanzania imeshakopesha zaidi ya 3trillions, HESLB ilikuwa inapata ugumu kuwapata wafaidika lakini baada ya mkakati wa vitambulisho vya uraia na uhakiki kufanikiwa hasa serikalini imerahisisha sana kufahamu nani yuko wapi.

Mimi naamini ndani ya miaka michache ijayo HESLB itaanza kutoa ruzuku serikalini kutokana na makusanyo ya kila mwezi.
Nani wa kubeza yote haya''YAYA GETE''


Kwa kweli.unaweza kuandika mengi, lakini kwa kifupi hayo ndio majibu yenu.
Siasa za maji taka
 
Kwanza nimpongeze Mhe Rais kwa uimara na misimamo yake thabiti bila shaka anaitambua methali isemayo ''Ukicheka na Nyani utaokota Mabua''

Rais amejibu shauku ya wanamabadiliko ya kweli na hata waliobakia ni wale waliotaka mabadiliko Maslahi, Hao fuata upepo, jamii ya mifugo au wanyama wengine walao majani. Yalipo wapo.

1: Hoja ya rais dhaifu.

CHADEMA hawa hawa walimsema sana JK kuwa ni dhaifu, walidiriki mpaka kusema inchi ina ombwe la.uongozi.
Rais kwa kulijua hilo wakati wa kampeni alisema wazi hana mda wa kuhamisha mtu, ni hapo hapo kazi huna.
Nashindwa kuwaelewa hawa ndg walichotaka ni nini maana ni matusi tuu na kebehi za kitoto.

2:Hoja ya Ufisadi nchini

Katika masuala ambayo yametumia ruzuku nyingi za chama cha chadema ni suala la ufisadi. Tuhuma hizi zilipelekea serikali ya JK kupangua mawaziri mara kadhaa na kusababisha mpaka Lowasa kuachishwa kazi na Pinda kuchukua nafasi ya PM.
Sina hakika kama makelele ya ufisadi yaliyosemwa na chadema yalikuwa ya kweli ama uongo sina hakika. KABISA! Wanakawaida ya kutaja kutamka tuhuma na kudai kama.serikali inabisha itoe ushahidi. Sasa hivi wana watu waliowatuhumu ati ktk uongozi wao waliliingizia taifa hasara. Ref uuzwaji wa nyumba chini ya PM Sumaye na Tuhuma ya Richmond chini ya PM Lowasa.

Magazeti ya kubenea yalipata umaarufu kwa kumhusisha PM edo na Richmond lakini leo amefyata mkia.

Siskii tena neno ufisadi bila shaka umeisha au Chadema wameungana na mafisadi.

3: Hoja ya ukusanyaji wa Kodi

Ilikuwa ni matusi kupindukia kuwa serikali.haikusanyi kodi, Rais Magufuli kaingia na speed ya hatari. Lango kuu la nchi'Bandarini' nadhani ndio eneo limeongoza kwa kushtukizwa na PM Majaliwa na Rais Magufuli
NilichoJifunza tena Baada ya kutumbua tumbua kumbe viongozi wengi hata wa upinzani ni wafanyabiashara. Kwa hiyo nao walifaidika either bila kujua au kwa kujua lakini waliamini hawataguswa. Saizi unaingia ktk kumbi za starehe unapata risiti za kieletroniki za TRA.
Kwa sasa mapovu yanawatoka hao hao walio lalama. Wengine hawajalipa kodi za mapango NHC ,wanamadenini lukuki Twiga ni aibu sana.kwa viongozi tena waliojipambanua kupinga hayo

4: Hoja ya Usafiri wa Anga/Nchi kavu

Ilikuwa fedheha kwa nchi 1995~2002/3 wakati huo wazazi wengi walianza kusomesha watoto Kenya na Uganda. Wengi. walianza kutumia barabara hizo hizo kwenda Mwanza na Bukoba maana ni lami. Makampuni ya Akamba Coach, Falcon na Spider yamefanya biashara sana bila kusahau Scandinavia express (Hii scandnavia hii) awamu ya tatu chini PM Sumaye inaweza kutueleza what went wrong.

Shirika letu la ndege liliferi kila jitihada. Tulifikia hatua ya mpaka kuingia mgogoro na Kenya wakikataa vijana wetu wanaobeba watalii wasiende kuwabeba watalii Tokea Airport Kenya.
hatua za Rais Magufuli ni nzuri sana viwanja vyetu vya Zanzibar, JNIA, Kilimanjaro, Songwe na sasa Mwanza inakuja vitaweza kuipokea dreamliner ikiwa na watalii wengi itasaidia sana kupata pesa za kigeni.
Kuhusu Barabara sina cha kuongeza ukipita Kenya basi uamuzi wako. Rais Magufuli ashasolve tatizo.
Lakini tufahamu ya kuwa Standard gauge inaanza ujenzi January 2017,Daraja la selandar Jan 2017, Chalinze Express way
2017, Busisi Kigongo bridge 2017/2018, Flyovers zileshaanza Dar. Ubungo interchange inahtaji Tanesco, Idara ya Maji na shell zibomolewe.
Wasifanye ajizi siasa ziondoke hatuwezi kuwa na interchange yenye mataa.
Dual carriageway Arusha na Mwanza. So.we are moving.

6:Hoja ya Safari za nje za viongozi.

Jamani eeh mnyonge mnyongeni Rais Magufuli apewe haki yake, kuna waziri mmoja awamu iliyopita alidiriki kusema at walikuwa wanagongana angani. Kodi ya watanzania imetumika ndivo sivyo lakini Rais Magufuli kakomesha, nilishangazwa na kauli ya Sugu kusema Rais asijifungie sijui hatajulikana nk. Pamoja na yote hayo Rais Magufuli kasababisha Coalition of Willing ya Kenya Uganda na Rwanda kufa kiaina. Tumeweza kupata mradi wa Bomba la.mafuta toka Uganda na Rwanda wako nasi Ktk Standard gauge. DRC wamesema wawekezaji wa kitanzania waende Kalemie wakajenge matank wasambaze mafuta Kongo mashariki. Nani wa kubeza juhudi zote hizi, ni kujijaza ujinga na mimi nimeshaweka wazi namuunga mkono Rais Magufuli ingawa ktk suala la Fao la Kujitoa hasomeki na ashauri aliangalie upya especially Sekta binafsi.

7: Hoja ya Matibabu

Serikali yetu imefanya juhudi kubwa sana tumeona Muhimbili inavyoimarika, magonjwa mengi sasa yanatibika hapa hapa CTscan ilikuwa ni nadra kuikuta inafanya kazi. Serikali hii imejipambanua na tunashukuru
Badala ya kujaza Mahospitali Dar na Pwani ningefurahi kuona Hospital ya Ben Mkapa Dom ikichukua hadhi ya Muhimbili pia.

8:Hoja ya Kuhamia Dodoma

Jambo halikuwahi kutamkwa siku za karibu lakini tumepiga kelele sana kuwa Dar iko congested, Mji umeshindwa kupumua. Tumekaa na tatizo lakini hakuna anayethubutu kuhamia Dodoma. JPM kaweka wazi 2019 serikali yote Itakuwa Dom.
Faida za kuhamishia serikali Dodoma zitaonekana moja kwa moja miji ya Manyoni,Kondoa,Kibaigwa na Gairo,Iringa nk. Kutakuwa na usafiri wa Kwenda na kutoka Dodoma hata saa nne usiku. Kwa anayepajua vizuri Chalinze basi avute picha hiyo na safari za kwenda Dar.

9: Hoja ya bei ya korosho na mazao ya wakulima

Ukifika kw wa korosho Mtwara JPM ni shujaa sana kwao. Bei ya korosho imetoka 1000Tsh mpaka 3500Tsh~4000Tsh. Ongezeko Asilimia mianne, hii ndio tofauti ya kuchagua viongozi wasio na tamaa ya kutaka kuingia ktk biashara. Naamini tungeshuhudia kubadilishwa kwa wafaidika tu, yaani angetolewa yule na kuwekwa huyu kwa sababu binafsi na anarcho Alaskan wangeeendelea kusoteshwa na bei kichaa.
Nani kama JPM, Nani karma Majaliwa.
Tutaona mengi mfano huo ktk pamba,kahawa nk

10:Kiwanda cha Dangote

kifupi ni kuwa makampuni makubwa yameshukuru sana ujio wa JPM, ujinga ulikuwa mwingi na ndio hao vibaraka wanalalama kila kukicha mara oooh kenya wamempa eneo bure ili ahamishie kiwanda. Alikata ngebe za hawa vijana Dangote mwenyewe kuja kuonana na Rais na kushusha roli zaidi ya miasita.
Kumbe matapeli yalitaka kumpiga Dangote haiku yakikubuhu kukwepa kodi. Tunashukuru sana maana kila hila mwisho wake inawadhalilisha hawa mawakala feki.
Nchi hii ni ya misheni town balaa, yaani tukipata japo awamu mbili za. Mfumo huu, only twenty years tz itakuwa one of the top seven African economic giants trust me.

11:Hoja ya Madawati na elimu Bure.

Wanamuziki pia wawemeimba mmojawapo Kala Jeremiah. Chadema kama vuvuzela flani ivi, wanapiga kelele watoto hawaendi shule madarasa yakajengwa, wakasema hakuna maabara nazo zimejengwa madawati yamepatkana kwa nini hakuna anayepaza sauti ya shukrani? Jamii gani isiyoapreciate. Hapa kwa kweli serkali inastahili kupewa pongezi sana sana.
JPM alithubutu kujibana kwa kutumia bajeti ya JK 2015/16 ambayo haikuwa na elimu bure lakini ilifanikiwa ingawa jamaa wale waliona changamoto zaidi kuliko solutions ambazo zimepatkana.

12: Hoja ya elimu ya juu.

Tangu 1994 Tanzania imeshakopesha zaidi ya 3trillions, HESLB ilikuwa inapata ugumu kuwapata wafaidika lakini baada ya mkakati wa vitambulisho vya uraia na uhakiki kufanikiwa hasa serikalini imerahisisha sana kufahamu nani yuko wapi.

Mimi naamini ndani ya miaka michache ijayo HESLB itaanza kutoa ruzuku serikalini kutokana na makusanyo ya kila mwezi.
Nani wa kubeza yote haya''YAYA GETE''


Kwa kweli.unaweza kuandika mengi, lakini kwa kifupi hayo ndio majibu yenu.

Umeandika kiduchu kuonyesha utendaji kazi mzuri, sasa kila wakati wanadai JPM anatekeleza ilani ya mafisadi wa chadema, yaani kusomea degree za usanii ni hatari, maana watu wote chadema hawasemi sera ila sera ni aliyekuwa mgombea. shame on you
 
Hawana hoja zaidi ya kutapa tapa
Haahahahahhaha aseee sasa mbona anawazuia wasifanye mikutank ka hawana hoja si ajifunze kwa museveni na kenyata ndio tujue kma kuna hoja ama laah anaogopa nni

Sheria kali za mtandaoni za nni kma hakuna hoja

Kma hatuna hoja bunge live wamezima la nni

Kma hatuna hoja mbona mnafungia magazeti yenye mrengo wakipinzani kma mawio ?je kma hatuna hoja mnayafungia ya nni??
Embu nisaidie hapo kwanza
 
Mtoa maada umejitahidi kudadavuwa mambo, magu amejitahidi kiasi chake aongeze bidii na anapaswa kuangalia upya baadhi ya misimamo katika upande wa democrasia nchini hii kidogo naona kama inaleta doa kwake ila mambo mengine anajitahidi.
 
Ukweli wanaujua sana
Hao cdm ndio kirusi kibaya kuliko vyote kwa sasa Tanzania!!
Umeona wapi watu wakawa wanafiki na wazandiki kama cdm!!?
Cdm inaviongozi wapuuzi kulio viongozi wa vyama vyasiasa duniani,
Wafuasi wake nao ndio shida na majanga kabisa.
Leo wanapenda hili
Kesho hilohilo likifanywa na serikali wanaanza kutapika viroba hovyo!!
Leo waki sema jambo vibaya
Wewe tulia kesho litakuwa zuri pale tu alie litenda jana kaungana nao!!

Ninacho mshukuru mungu nikuwa
Kampa uwezo Rais wetu kuelewa hawa watu niwapuuzi na wakupuuzwa
Ni wasaka tonge tu tena niwachafu kuliko vile wanavyo onekana,
Hivyo Rais ana wapuuza na kufanya kile anacho kiamini sio kufuata kile wanacho kiamini hawa Wanafiki.
Mkuu upinzani sio uadui ni kuleta hoja mbadala kw ajili ya maslahi mapana ya taifa na wote lzma tukubaliane bila upinzani serikali italala na kusahau majukumu yake kwa hyo unayetaka upinzani upuuzwe jiulize kesho magufuli akijikwaa ni nani wa kumkumbusha majukumu yake??? Kwahyo vyama vingi umuhim wake ndio huo licha ya madhaifu utakayoyaona ila heshim uwepo wa chama mbadala

Nirudi kwenye hoja yako ya msingi
Kusema kwamba tunachokitaka akikifanya magufuli tunalalamika tena hio sio kweli sababu wazo laweza kuwa moja ila utekelezaji ukawa tofauti kwa mfano hoja ya kuinua ELIMU tanzania hawa ccm wamewekeza kwenye kuongeza madawati kwa mfano ila lowassa alitaka aomgeze QUALITY ya elimu yaani hta kma mtoto anakaa chini for instance apate elimu yenye ubora kuliko mtu akae kwenye dawati lakini anamaliza darasa la saba hajui kusoma wala kuandika

Haya hapo kwa mfano huu huoni NIA ni moja ila utekelezaji ni tofauti??? Je wakimkosoa raisi hta kma kwei idea hyo upinzani walikuwa nayo bado ni kosa???
Kwa mfano tunataka katiba mpya ila unafiri magu akirudisha mchakato wa katiba mpya then rasimu ya chenge ndio ijadiliwe unafkiri hatutomkosoa just because eti tulotaka katiba mpya yeye kaileta kwa hyo hatuna haja ya kucriticise coz ilikuwa wazo letu pia?? HAPANA mkuu hta kma wazo letu yeye akalitekeleza ila kma utekelezaji wake ni mbovu lazma tucriticise na hyo ndo maana ya upinzani
 
Mkuu umeongea yapo ninayoyaunga mkono mimi japo ni mpinzani nakubali awamu ya tano inajitahidi ila ila kwenye sector ya afya bado sijaona ninapenda kuishauri serekali hospital kwa sisi wananchi wa chini tunahitaji kuziona zikiwa na dawa za kutosha maana kama kodi mnajitahidi kukusanya basi madawa yapewe kipaumbele kununuliwa ...
Mmh ni mpinzani wakwanza kusema kweli Mungu atakulipa kwa ukweli wako.
 
Naomba kuuliza tu. Moaka sasa JPM alishafanya yote hamna jioya tena tunalotegemea. Tunaomba tu atuachiee na sisi tujijenge. Uhutu wa vyombo vya habari na mikutano ya siasa iwepo jaman.
 

Similar Discussions

30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom