Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,155
- 137,167
CHADEMA ni ufupisho wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
DPRK ni ufupisho wa Democratic People’s Republic of Korea.
Hahahahaaa....inachekesha.
Hivi ndani ya CHADEMA kuna demokrasia gani?
Na hayo maendeleo ni maendeleo gani? Chama kimeshindwa hata kujenga makao makuu ya kisasa ndo kitaweza kuendesha serikali ili iwaletee maendeleo Watanzania?
Wakati mwingine jina linapaswa kuakisi uhalisia wa utambulisho wake.
Ni kituko kwa Korea Kaskazini kujiita ni jamhuri ya kidemokrasi ilhali ni mali ya ukoo wa akina Kim.
Na CHADEMA ni hivyo hivyo. Ni kituko kujiita chama cha demokrasia na maendeleo ilhali ndani ya chama hamna demokrasia yoyote ile iliyo ya maana na maendeleo ndani ya chama hakuna!
Miaka zaidi ya 20 bado mko kwenye kajumba kanakosubiri kudondoka!
Aibu.
DPRK ni ufupisho wa Democratic People’s Republic of Korea.
Hahahahaaa....inachekesha.
Hivi ndani ya CHADEMA kuna demokrasia gani?
Na hayo maendeleo ni maendeleo gani? Chama kimeshindwa hata kujenga makao makuu ya kisasa ndo kitaweza kuendesha serikali ili iwaletee maendeleo Watanzania?
Wakati mwingine jina linapaswa kuakisi uhalisia wa utambulisho wake.
Ni kituko kwa Korea Kaskazini kujiita ni jamhuri ya kidemokrasi ilhali ni mali ya ukoo wa akina Kim.
Na CHADEMA ni hivyo hivyo. Ni kituko kujiita chama cha demokrasia na maendeleo ilhali ndani ya chama hamna demokrasia yoyote ile iliyo ya maana na maendeleo ndani ya chama hakuna!
Miaka zaidi ya 20 bado mko kwenye kajumba kanakosubiri kudondoka!
Aibu.